DP World inatisha. Musukuma alisema kweli

DP World inatisha. Musukuma alisema kweli

kama wataalamu wetu wana uwezo walikuwa wapi siku zote kuyafanya hayo,unajua ni kiasi gani cha mapato kitaongezeka kupitia maboresho ya mifumo hiyo ya TEHAMA kuboreshwa au unafuata ushabiki tu wa kupinga pinga...fuatilia kiwango cha mapato kitakachoongezeka baada ya maboresho ya mifumo hiyo
Aisee!!! Unajua maana ya utashi wa kisiasa lakini? Mwenzako kasema ni wizi wewe unasema Wataalamu wetu walizubaa!!! Kazi mnayo!
 
kama wataalamu wetu wana uwezo walikuwa wapi siku zote kuyafanya hayo,unajua ni kiasi gani cha mapato kitaongezeka kupitia maboresho ya mifumo hiyo ya TEHAMA kuboreshwa au unafuata ushabiki tu wa kupinga pinga...fuatilia kiwango cha mapato kitakachoongezeka baada ya maboresho ya mifumo hiyo
Vijana wetu wame table propasals kibao za maana za mifumo ya TEHAMA serikalini, tena zenye gharama ndogo na usalama wa kutosha ukilinganisha na za nnje,lakini zinapigwa chini bila sababu yoyote ya msingi, kisha wanapewa makampuni ya nnje kufunga mifumo hiyo kwa gharama maradufu.
 
Jiulize kwanini TICTS kwa miaka zaidi ya 20 ya uwepo wao Bandarini wamewekeza Dola million 100 tu,
Kwa hiyo TICTS wametuibia kwa miaka 20, na bado mmewaacha watambe! Mkuu, unatafakari kwa makini ujumbe unaouweka hapa ama unadhani unanikomoa?

Maswali ninayokuuliza ni kwa ajili ya Nia njema ili watanzania waelewe umuhimu wa Uamuzi unaofanywa na viongozi wao. Sasa ukijibu kama unanikomoa ama kukebehi, ujue unaharibu zaidi!!!


wakati DP World kabla haijaanza kazi rasmi wameshawekeza katika kuweka mifumo ya TEHAMA sawa kwa Dola million 500. DP World inatisha.
Madam Spika anasema Bunge harijaridhia Nia ya uamuzi wa serikali, Mkuu Sasa hivi unaueleza umma wa Watanzania kuwa DP world tayari wamewekeza 500mil USD. Sasa mkweli ni nani? Na hizo hela wameziwekeza kwa misingi ipi wakati kwa Mujibu wa Spika watanzania kupitia wawakilisbi wao hawajaridhia? Ebu tueleze vizuri jambo hili, maana tunahitaji watanzania wafaidike na nchi yako kwa kuiunga Mkono serikali Katika maamuzi inavyofanya kwa niaba Yao.
 
Kwa hiyo TICTS wametuibia kwa miaka 20, na bado mmewaacha watambe! Mkuu, unatafakari kwa makini ujumbe unaouweka hapa ama unadhani unanikomoa?

Maswali ninayokuuliza ni kwa ajili ya Nia njema ili watanzania waelewe umuhimu wa Uamuzi unaofanywa na viongozi wao. Sasa ukijibu kama unanikomoa ama kukebehi, ujue unaharibu zaidi!!!



Madam Spika anasema Bunge harijaridhia Nia ya uamuzi wa serikali, Mkuu Sasa hivi unaueleza umma wa Watanzania kuwa DP world tayari wamewekeza 500mil USD. Sasa mkweli ni nani? Na hizo hela wameziwekeza kwa misingi ipi wakati kwa Mujibu wa Spika watanzania kupitia wawakilisbi wao hawajaridhia? Ebu tueleze vizuri jambo hili, maana tunahitaji watanzania wafaidike na nchi yako kwa kuiunga Mkono serikali Katika maamuzi inavyofanya kwa niaba Yao.
Hawezi kujibu zaidi ya porojo
 
Vijana wetu wame table propasals kibao za maana za mifumo ya TEHAMA serikalini, tena zenye gharama ndogo na usalama wa kutosha ukilinganisha na za nnje,lakini zinapigwa chini bila sababu yoyote ya msingi, kisha wanapewa makampuni ya nnje kufunga mifumo hiyo kwa gharama maradufu.
Upo sahihi. Kuna mtaalamu mmoja wa IT anasema kandarasi ya kutengeneza interactive website waliikosa huko Nje ya nchi kisa wametenda chini sana kulikowe zao wa kampuni za huko kiasi client akadhani labda Wana uwezo fake.

Wataalamu wetu hawana tamaa!
 
Jiulize kwanini hatukuweza Kufanya miaka yote?

Tunaweza sana kuyafanya yote hayo, lakini wizi na ubadhirifu unatufanya tusifanye.
Kwa sababu pia tumeshindwa kuendesha nchi na serikali kutokana na WIZI na UFISADI, unaonaje basi tujisalimishe kwa MABEBERU tuwakabidhi IKULU YETU watuongoze?

MAUSHUNGI tutampa kazi ya kupanga mafaili kwenye makabati.
 
Wssiomtaka DP World, je mnaridhika na ufanisi wa sasa wa bandari zetu?
 
Tatizo mnawasifia Sana kana kwamba wataleta mbingu bongo.
 
Hapa kinachogomba sio miaka ya uwekezaji wala kiasi kilichowekezwa, kinachogomba ni vipengele vya kinyonyaji vilivyopo kwenye ule mkataba, huwezi kututoa sadaka na bandari zetu zote wabara za bahari na maziwa, kwa wajomba tena kwa muda usio na kikomo tukae kimya tu, sisi sio wajinga.

Article 23 ya ule mkataba inazungumzia duration, niambie wameweka miaka mingapi pale mpaka mwisho wa mkataba?
"ule mkataba" unaoungolea ndiyo upi?

Nnaamini unauonglea mkataba uliojadiliwa bungeni, au siyo?

Kama ni huo uliojadiliwa bungeni, elewa kuwa huo siyo mkataba wa uendeshaji bandari. Umebugii.

Tuoneshe mkataba wa uendeshaji bandari kama unao.

Mbona hilo limeelelezwa na waziri Mbarawa, limeelewa na Spika wa bunge, limeelezwa na naibu spika ws bunge, limeelezaa na Mwenyekiti wa kamati iliyoundwa kuupitia.

Na wote wametoa maoni na ushauri wao, na waziri Mbarawa kwa niaba ya serikali, amesema ushauri wote walioutowa utazingatiwa katika mikataba ya kuendesha bandari.


Halafu huo mkataba unaousoma, usome kipebgele cha 20 ukiri hapa kinasema nini.


Tunafshamu kinachowauma, Mwigulu kakisema alivyokuwa anahitimisha bajeti ya wizara ya fedha. Umesahau?


Kama hiyo haitoshi, mama Samia kila siku "anakumbusha kazi iendelee". Unaelewa kazi zipi?

Mwendazake, aliamuwa kibabe miradi yote mikubwa wapewe Waislam waiendeshe, akaanza kwa kuwapa Waturuki wajenge reli ya mwendo kasi. Ambapo tayari Kikwete alikuwa na Maelewano na Wachina, akapiga chini hayo maelewano kibabe.


Akawapa Bwawa la kufulia umeme aliloliita la bwawa la Nyerere, ambalo Kikwete tayari alikuwa na maelewano ya awali na Brazil, mwendazake
akapiga chini hayo maelewano kibabe.

Na mama Samia kawatowa kibabe shirika kubwa la kuendesha bandari duniani, waliokuwa wamilikiwa TICTS, kakubaliana na WAISLAM waje waendeshe bandari zetu.

Kama unatumia akili yako vizuri na hauna laana ya ubaguzi utaelewa kwanini.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Hao maharamia wakiarabu wana kesi kila taifa walipowekeza, kwani huko kote kwenye hayo makesi waliyofunguliwa hakuna mabinti wakuelezea teknolojia ya kushusha mizigo? Jiheshimu.

Samia ni shetani msaliti.
Tuwekee hiz kesi. Usuobgelee mate na wino upo.

Kunakampuni ipi kubwa duniani isiyo na kesi?


Binafsi ntaendelea kuwaelimisha kwa ushahidi wa DP World walipo duniani.

In Shaa Allah uzi wangu unaofatia utaiona DP World inafanya nini Uingereza. Kwa ushahidi wa video, siyo kama wewe unakuja na porojo zako binafsi.

Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Wao watishe tu. Hiyo si hoja. Hoja ni ukomo na aina ya masharti ambayo Tanganyika inapewa kwenye huo mkataba.
Mkataba upi unaouzungumzia? IGA au HGA.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Kachanganyikiwa huyo... imagine na uajuza wake naye anamwita Samia mama!! Imbecile!
Kila mwanamke ana hadhi ya u mama duniani.

Unafahamu neno "mama" lilianzaje?


Mama Samia anaupiga mwingi Kimataifa.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nae sasa anawaita waarabu wajomba zake!.
Siyo wajomba tu. Pitia uzi nimeelezea uhusiano wa waislam kwa undani zaidi ya ujomba.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Huyo Binti apelekwe huko Zanzibar akacheze hizo game. Sa100 hawezi uongozi kabisa
Tayari wenzake wapo Dar wanaweka mifumo ya TEHAMA.

Binti atskuja kufundisha wasimamizi cranes za kisasa zikishafungwa bandarini Dar.


Mama Samia anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Back
Top Bottom