DP World inatisha. Musukuma alisema kweli

DP World inatisha. Musukuma alisema kweli

Msukuma alisema kweli, muone binti akishusha makontena kama anacheza video game[emoji1484]




Tafsiri ya Kiswahili kwa msaada wa AI:

Hi

Jina langu ni Amna Ghanem.

Mimi ni msimamizi (supervisor) wa uendeshaji kreni (cranes) kwa kutumia rimoti (remote control) katika bandari ya Jabel Ali inayoendeshwa na DP World, mojawapo kati ya bandari zenye shughuli nyingi Zaidi (busiest) ulimwenguni.

Unashuhudia hapa teknolojia ya hali ya juu ambayo imesaidia sana kubadilisha njia za kupakia na kushusha makontena kwenye meli.

Tunaanza na mafunzo kwa kutumia “simulators” zinazoonekana kama kitu halisi. Baada ya mafunzo ya wiki mbili kwenye “simulators” mwanafunzi anakuwa tayari kuanza kazi. Udhibiti wa mbali (remote) unaturuhusu kuendesha kreni (cranes) kutoka umbali wenye usalama kwa kutumia “joysticks” na vifungo badala ya kupanda mita 50 za ngazi kwenda juu ya kreni. Kamera zenye Vihisio (sensors) hukimbiza data kwa njia ya mtandao, ambao unatupa usalama kwa kutywezesha kufanya kazi kwa mbali lakini kama tupo karibu, chini ya vyombo hatari.

Kila siku nikifika hapa DP World naendelea kujisikia kuwa na msisimko wa kazi kwani kila kitu kinabadilika kwa haraka sana, hakuna kitu kinachooneka kipo vilevile kila kukicha.


Ushauri wangu (kwa kijana mwenzangu) ni kulenga kwenda kwenye kazi zenye ugumu, usiende kwa ajili ya wepesi wa kazi, kazi zenye ugumu zitakufanya ujielewe na kujijua wewe ni nani.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Umeshavimbiwa tayari.
 
Tunataka mkataba uweke bayana ni wa muda gani, pia tuwe huru kujitoa mwekezaji akizungua. Lastly, bandari husika iwe ni ya dar peke yake.
 
Hili pekee halitoshi kuwa kigezo cha ushawishi kumbuka teknolojia inanunuliwa ni suala la pesa tu
 
Mwarabu anahistoria mbaya na Tanzania hata sehemu alizopita zamani zimedumaa sijui Kuna uhusiano gani
 
Pole sana, kwenye hesabu za kibiashara kuna kitu kinaitwa "projection" au "forecasting".

Tumia Google ikuelekeze ni nini hivyo.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Asante sana, kwa ufafanuzi kuntu. Forecasting nadhani haitoki hewani, Ina kuwa based on existing situation/data na hizo data ni za variables tofauti kulingana na lengo la Projection/forecasting.

Kwa msingi ule ule wa kuwaelimisha watanzania ili watetee kwa nguvu zote uwamuzi wa serikali Yao, naomba utuwekee hapa namna hizo forecasting za kupata 60% zilivyofanywa.

Natanguliza Shukrani
 
Asante sana, kwa ufafanuzi kuntu. Forecasting nadhani haitoki hewani, Ina kuwa based on existing situation/data na hizo data ni za variables tofauti kulingana na lengo la Projection/forecasting.

Kwa msingi ule ule wa kuwaelimisha watanzania ili watetee kwa nguvu zote uwamuzi wa serikali Yao, naomba utuwekee hapa namna hizo forecasting za kupata 60% zilivyofanywa.

Natanguliza Shukrani
Sasa hivi bandari zetu zinachangia 30%ya bajeti yetu, kwa haraka bansqri ya Dar ndiyo inachabgia 90% ya hizo. Inategemewa kyibgeza kioato zaidi ya 100% baada ya mwaka mmoja tu wa mwanzo.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Sasa hivi bandari zetu zinachangia 30%ya bajeti yetu, kwa haraka bansqri ya Dar ndiyo inachabgia 90% ya hizo. Inategemewa kyibgeza kioato zaidi ya 100% baada ya mwaka mmoja tu wa mwanzo.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Usiku Mwema

Kazi Iendelee!
 



Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Mwarabu anahistoria mbaya na Tanzania hata sehemu alizopita zamani zimedumaa sijui Kuna uhusiano gani
Siyo kweli.


Unaijuwa Dar es Salaam?

Isome historia yake. Au nikuwekee link?



Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Hili pekee halitoshi kuwa kigezo cha ushawishi kumbuka teknolojia inanunuliwa ni suala la pesa tu
Tulikuwa wapii miaka yote hatukuinunuwa?



Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Tunataka mkataba uweke bayana ni wa muda gani, pia tuwe huru kujitoa mwekezaji akizungua. Lastly, bandari husika iwe ni ya dar peke yake.
Hayo yote mbona ni ya lazima na Waziri Mbarawa kishayatolea ufafanuzi.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Umeshavimbiwa tayari.
AlhamduliLlah, nafata adabu (etiquettes) za kula za Kiislam, hakuna kuvimbiwa ukizifata.


Uislam ni mwema sana, haujaacha kitu katika maisha ya kila siku ya mwanadam.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Msukuma alisema kweli, muone binti akishusha makontena kama anacheza video game👇🏾




Tafsiri ya Kiswahili kwa msaada wa AI:

Hi

Jina langu ni Amna Ghanem.

Mimi ni msimamizi (supervisor) wa uendeshaji kreni (cranes) kwa kutumia rimoti (remote control) katika bandari ya Jabel Ali inayoendeshwa na DP World, mojawapo kati ya bandari zenye shughuli nyingi Zaidi (busiest) ulimwenguni.

Unashuhudia hapa teknolojia ya hali ya juu ambayo imesaidia sana kubadilisha njia za kupakia na kushusha makontena kwenye meli.

Tunaanza na mafunzo kwa kutumia “simulators” zinazoonekana kama kitu halisi. Baada ya mafunzo ya wiki mbili kwenye “simulators” mwanafunzi anakuwa tayari kuanza kazi. Udhibiti wa mbali (remote) unaturuhusu kuendesha kreni (cranes) kutoka umbali wenye usalama kwa kutumia “joysticks” na vifungo badala ya kupanda mita 50 za ngazi kwenda juu ya kreni. Kamera zenye Vihisio (sensors) hukimbiza data kwa njia ya mtandao, ambao unatupa usalama kwa kutywezesha kufanya kazi kwa mbali lakini kama tupo karibu, chini ya vyombo hatari.

Kila siku nikifika hapa DP World naendelea kujisikia kuwa na msisimko wa kazi kwani kila kitu kinabadilika kwa haraka sana, hakuna kitu kinachooneka kipo vilevile kila kukicha.


Ushauri wangu (kwa kijana mwenzangu) ni kulenga kwenda kwenye kazi zenye ugumu, usiende kwa ajili ya wepesi wa kazi, kazi zenye ugumu zitakufanya ujielewe na kujijua wewe ni nani.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.

Si muuze Bandari ya Zanzibar then muifanyie promo namna hii? Mbona hii kitu ingekuwa rahisi sana mngeifanyia huko Unguja?! Why all these to Mainland?
 
Si muuze Bandari ya Zanzibar then muifanyie promo namna hii? Mbona hii kitu ingekuwa rahisi sana mngeifanyia huko Unguja?! Why all these to Mainland?
Hakuna bandari itayouzwa Tanzania hii.



Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Msukuma alisema kweli, muone binti akishusha makontena kama anacheza video game👇🏾




Tafsiri ya Kiswahili kwa msaada wa AI:

Hi

Jina langu ni Amna Ghanem.

Mimi ni msimamizi (supervisor) wa uendeshaji kreni (cranes) kwa kutumia rimoti (remote control) katika bandari ya Jabel Ali inayoendeshwa na DP World, mojawapo kati ya bandari zenye shughuli nyingi Zaidi (busiest) ulimwenguni.

Unashuhudia hapa teknolojia ya hali ya juu ambayo imesaidia sana kubadilisha njia za kupakia na kushusha makontena kwenye meli.

Tunaanza na mafunzo kwa kutumia “simulators” zinazoonekana kama kitu halisi. Baada ya mafunzo ya wiki mbili kwenye “simulators” mwanafunzi anakuwa tayari kuanza kazi. Udhibiti wa mbali (remote) unaturuhusu kuendesha kreni (cranes) kutoka umbali wenye usalama kwa kutumia “joysticks” na vifungo badala ya kupanda mita 50 za ngazi kwenda juu ya kreni. Kamera zenye Vihisio (sensors) hukimbiza data kwa njia ya mtandao, ambao unatupa usalama kwa kutywezesha kufanya kazi kwa mbali lakini kama tupo karibu, chini ya vyombo hatari.

Kila siku nikifika hapa DP World naendelea kujisikia kuwa na msisimko wa kazi kwani kila kitu kinabadilika kwa haraka sana, hakuna kitu kinachooneka kipo vilevile kila kukicha.


Ushauri wangu (kwa kijana mwenzangu) ni kulenga kwenda kwenye kazi zenye ugumu, usiende kwa ajili ya wepesi wa kazi, kazi zenye ugumu zitakufanya ujielewe na kujijua wewe ni nani.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.

Kumtambua mwenye akili kisoda si kazi ki vile, yaani ye anafurahia kushushwa makontena kwa ktumia vidole haangalii ye atanufaikaje na hiyo system ya kutumia vidole kushusha hizo kontena

Kwani madini yanachimbwa kwa sururu? We kama mtanzania unapata faida gani kwa huo uchimbaji wa kutumia ma mitambo heav?
 
Back
Top Bottom