Wanakuwepo critical areas
Ujue wawekezaji wakija huja na teknolojia mpya ambazo huhitaji wanaozijua na serikali haiwezi kubali waje nao wakati watanzania wapo wanaozijua wakati TPA ilikuwa ikiendeshwa teknolojia za zamani hawakuhitaji vijana wajua teknolojia mpya
Aliyesoma mfano computer technology miaka ya 1980 huwezi linganisha na aliyesoma computer technology na kumaliza digrii mwaka jana Wa mwaka jana yuko more current na yuko advanced kuliko obsolete technology ya TPA iliyopo hivyo wataajiri vijana wapya
Pili wa marketing wengi wa TPA mfano wamesoma kingereza tu na digrii za kingereza tu hawana third language kama kifaransa .Soko la TPA liko hadi Central Africa nchi ya kongo ambako lugha kuu kifaransa
Definitely wataajiri watanzania vijana wapya marketing officers wenye digrii za marketing lakini wanajua kifaransa kwa ajili ya kuwa marketing officers wao soko la Kongo tofauti na TPA ambayo ilikuwa haijali hilo kuwa na maafisa masoko wajua kifaransa ambako kuna wateja wengi mizigo ipitayo bandarini
Wapya wataajiriwa wala sio siri.Kuna maeneo wafanyakazi wa TPA waliopo hawawezi enea hata wajitutumue vipi
Degree zao na uzoefu wao haywezi fit kwenye teknolojia za kisasa na utendaji wa kibiashara za kimataifa wa kisasa uletwao na DP World
Mfano Dp world ni kampuni ya kimataifa Auditor na wahasibu wakuu lazima wawe na certification za kimataifa ili wakusaini document wanahisa wa DP World wawe na confidence ya kuanzia mhasibu mkuu au mkrugenzi wa fedha sio awe na Sifa za CPA ya Tanzania awe mhasibu au Auditor wanatakiwa wenye certification za kimataifa kama ACCA nk sio CPA (T) International shareholders wa kampuni yeyote ya kimataifa huhitaji wenye certification za kimataifa.Na wapo na serikali haiwezi kubali waajiri wa nje wakati Tanzania wapo.TPA ilikuwa haiwahitaji hao wenye certification za kimataifa .Hiivyo ajira mpya zitakuwepo
Watanzania wenye sifa za kimataifa ajira zitakuwepo nyingi vitengo vyote iwe IT ,uhasibu,masoko,procurements,Engineering,Port operations etc wataajiri tu hawana ujanja