DP WORLD: Mkataba wa Bandari kwa Kiswahili (tafsiri isiyo rasmi)

Wabongo hawawezi kusoma,watasubiria wapotoshaji Kwa minajiri ya Kisiasa wawafafanulie ndio Waanze kuropoka.
Tena ajabu sana, chadema wamemtumia kijana anaejulika kwa ushoga anaitwa Soka, ndiyo eti aanzishe maandamano ya kupinga bandari isiendeshwe na Waislam. Cheza na intelijensia ya Tanzania,

mwenyewe hakuwepo akabambwa huko huko laikojificha. akasema yeye ameahidiwa akianzisha maandamano atafanyiwa mpango apelekwe Denmark au Canada akapate ukimbizi. Akawataja na wengine wote aliowarubuni.

Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Ni mkataba wa miezi 12? Unaanza mwezi gani na mwaka gani na kuisha mwezi gani na mwaka gani?
 
Wewe huna hoja unabwaja bwaja ukiulizwa maswali unakwepa.
 
Ni mkataba wa miezi 12? Unaanza mwezi gani na mwaka gani na kuisha mwezi gani na mwaka gani?
Kumbe hujausoma mkataba? Wewe ulifikiri ni wa miaka mingspi?

Nakushauri kausome mkataba. Post ya mwanzo kabisa.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Wewe huna hoja unabwaja bwaja ukiulizwa maswali unakwepa.
Swali lako liko wapi?

Nakupa habari za Shoga la chadema linaitwa Soka, hutaki? Zinahusiana na bandari. Unamfamhamu?

Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Hongera japo kuna mapungufu mengi ya tafsiri, umecopy na ku paste.
 
Kwa jinsi ulivyo na akili ndogo majibu haya yanatabirika kabisa.
 
Nyuzi nyingi nimefunguwa kuhusu Nyerere, iweke hiyo unnayosema halafu tukamjadili
===
Huu mwandiko unatofauti gani na aliyeanzisha uzi huo?
===
 
Toa hoja kwanini unaamini tumeuzwa, ili kuhama kutoka kwenye ujamaa ambayo ni sera iliyofeli hapa nchini lazima baadhi ya vitu tuwape wawekezaji ili tukusanye Kodi ya kutosha, baadhi yetu tunaamini hivyo.
Hebu tushawishi basi ili tuwe pamoja kuupinga
 
Chuki za kibaguzi zimechangia kwa kiasi kikubwa Sana huu mjadala. Hii nchi haijawahi kuwa rahisi kuiongoza kama wewe ni mzanzibar au unatoka kwenye ile imani Fulani.
Watu wangejikita kwenye mapungufu ya mkataba sio uzanzibar wa rais au waziri, hii inadhihirisha chuki za wazi wazi
 
Kuna jamaa anasema eti mkakati ni Serikali ya Tanzania ni kujitoa kwenye kila idara inayongiza mapato na kukabidhi kwa sekta binafsi kwa njia ya ubinafsishaji ili kuongeza ufanisi hence mapato - yenyewe ibakie kukusanya mapato tu - alisikika shombe mmoja mzawa wa Tanganyika akiwa kwenye mkutano wa hadhara.

Kuyataja machache ni;
TRC
TANESCO
TTCL
DAWASCO (Idara za maji nchi nzima)
Bandari ( Tayari)
Viwanja vya ndege vyote
Hospitali zote za Rufaa na zile za Mikoa
Masoko yote makubwa nchini - tukianza na Kariakoo
 
Hawa ni matapeli tupu
 
Imetumika Google translator na limeabdikwa hilo post za mwanzo mwanzo tu. Unaonesha umekurupuka bila ya kuupitia mjadala.

Andika wewe vizuri, unangoja nini?

Punguani wahed.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Nakumbuka kwenye hutuba yako furani ulisema unapenda taarabu huku unaperuzi mikataba hakika sio kwa michambo hiyo hakika unaupiga mwingi kiongozi tunae
NB: sheria sio hadithi kwamba utatafsiri kwa google translator ieleweke
 
Tazama ramani, utaona Nchi mzuri.
Yenye mito na mabonde mengi ya nafaka.
Nasema kwa kinywa, halafu kwa kufikiri!
Nchi hio mashuhuri huitwa Tanzania!

Majira yetu haya,
Yangekuwaje Sasa,
Utumwa wa Nchi, Nyerere amaukomesha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…