DP WORLD: Mkataba wa Bandari kwa Kiswahili (tafsiri isiyo rasmi)

DP WORLD: Mkataba wa Bandari kwa Kiswahili (tafsiri isiyo rasmi)

Wabongo hawawezi kusoma,watasubiria wapotoshaji Kwa minajiri ya Kisiasa wawafafanulie ndio Waanze kuropoka.
Tena ajabu sana, chadema wamemtumia kijana anaejulika kwa ushoga anaitwa Soka, ndiyo eti aanzishe maandamano ya kupinga bandari isiendeshwe na Waislam. Cheza na intelijensia ya Tanzania,

mwenyewe hakuwepo akabambwa huko huko laikojificha. akasema yeye ameahidiwa akianzisha maandamano atafanyiwa mpango apelekwe Denmark au Canada akapate ukimbizi. Akawataja na wengine wote aliowarubuni.

Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Tena cha 2o kimeelezea namna ya kutatuwa sintofahamu yoyote ikitokea, hapa nakuwekea kilichoweka muda kabisa...

article 5:4
Nchi Wanachama zinakubaliana kwamba Awamu ya 1 Miradi (kama ilivyoelezwa katika Kiambatisho 1) itakuwa miradi ya kipaumbele kwa ajili ya maendeleo na utekelezaji. Serikali ya Tanzania itahakikisha kuwa TPA haizingatii mapendekezo mengine yoyote ya Miradi yoyote ya Awamu ya 1 kwani kuanzia Tarehe ya Saini hadi tarehe kama hiyo kama majadiliano kati ya DPW na TPA kwa Miradi ya Awamu ya 1 yamesitishwa au kumalizika kwa kipindi cha miezi 12 kutoka Tarehe ya Saini ya Mkataba huu, Chochote ni cha zamani.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Ni mkataba wa miezi 12? Unaanza mwezi gani na mwaka gani na kuisha mwezi gani na mwaka gani?
 
Tena ajabu sana, chadema wamemtumia kijana anaejulika kwa ushoga anaitwa Soka, ndiyo eti aanzishe maandamano ya kupinga bandari isiendeshwe na Waislam. Cheza na intelijensia ya Tanzania,

mwenyewe hakuwepo akabambwa huko huko laikojificha. akasema yeye ameambiwa akianzisha maandamano atafantuwa pango apelekwe Denmarkau Canada akapate ukimbizi. Akawataja na wengune wote aliowarubuni.

Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Wewe huna hoja unabwaja bwaja ukiulizwa maswali unakwepa.
 
Ni mkataba wa miezi 12? Unaanza mwezi gani na mwaka gani na kuisha mwezi gani na mwaka gani?
Kumbe hujausoma mkataba? Wewe ulifikiri ni wa miaka mingspi?

Nakushauri kausome mkataba. Post ya mwanzo kabisa.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Wewe huna hoja unabwaja bwaja ukiulizwa maswali unakwepa.
Swali lako liko wapi?

Nakupa habari za Shoga la chadema linaitwa Soka, hutaki? Zinahusiana na bandari. Unamfamhamu?

Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Hongera japo kuna mapungufu mengi ya tafsiri, umecopy na ku paste.
 
Leta "version yako ambayo siyo ya "kunjunga". Tuloiweka hapa, vifungu vyake vilivyomo ni hivi...



JEDWALI LA YALIYOMO
SEHEMU YA I​
7​
UFAFANUZI, UFAFANUZI NA UPEO​
7​
MAKALA YA I​
7​
UFAFANUZI NA UFAFANUZI​
7​
PART Il​
12​
MAJUKUMU YA JUMLA​
12​
MAKALA YA 2​
13​
MALENGO YA MKATABA​
13​
MAKALA YA 3​
14​
USHIRIKIANO​
14​
MAKALA YA 12​
20​
ULINZI NA USALAMA​
20​
MAKALA YA 13​
21​
MAUDHUI YA NDANI, AJIRA NA UWAJIBIKAJI WA KIJAMII WA USHIRIKA​
21​
MAKALA YA 14​
23​
MATUMIZI YA​
23​
MAKALA YA 15​
23​
VIWANGO VYA MAZINGIRA, AFYA YA KAZI, KIJAMII NA USALAMA​
23​
MAKALA YA 16​
24​
VIWANGO VYA KIUFUNDI​
24​
MAKALA YA 17​
24​
HAKI ZA KAZI​
24​
SEHEMU YA Ill​
25​
UTAWALA WA FEDHA​
25​
MAKALA YA 18​
25​
KODI, WAJIBU NA TOZO NYINGINE​
25​
SEHEMU YA IV​
25​
MASHARTI YA MWISHO​
25​
MAKALA YA 19​
25​
MFULULIZO WA SERIKALI​
25​
MAKALA YA 20​
26​
MAKAZI YA MIGOGORO​
26​
MAKALA YA 21​
27​
SHERIA YA UTAWALA​
27​
MAKALA YA 22​
27​
MAREKEBISHO YA BAADAYE​
27​
MAKALA YA 23​
27​
MUDA NA KUKOMESHA​
27​
MAKALA YA 24​
28​
UHIFADHI, LUGHA NA VIAMBATANISHO​
28​
MAKALA YA 25​
29​
KUINGIA KATIKA NGUVU​
29​
MAKALA YA 26 29

UBADILISHAJI WA IGA KUWA SHERIA YA KITAIFA 29

MAKALA YA 27 30

KUINGIA KATIKA UHUSIANO WA NGUVU KATI YA MKATABA HUU NA NYINGINE

MAJUKUMU YA KIMATAIFA NA YA NDANI KATIKA NCHI WANACHAMA 30

MAKALA YA 28 30

UWEZO WA VYAMA VYA SERIKALI NA WATIA SAINI WAO 30

MAKALA YA 29 30




UTENDAJI NA UTUNZAJI WA IGA NA MIKATABA MINGINE INAYOHUSIANA
NA MSAADA KWA SHUGHULI ZA MRADI 30

MAKALA YA 30 31

UTULIVU 31

MAKALA YA 31 31

KUBADILISHANA KWA MAKUBALIANO / MAKUBALIANO 31

KIAMBATISHO 1: MAENEO YA USHIRIKIANO 33

KIAMBATISHO 2: CHOMBO CHA FNGUVU YA ULL 34


Sema umeshushuka tu. Kifungu kipi kinachokupa shida hapo tukupe darsa?

Hapo sasa " 😂😂😂


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Kwa jinsi ulivyo na akili ndogo majibu haya yanatabirika kabisa.
 
Nyuzi nyingi nimefunguwa kuhusu Nyerere, iweke hiyo unnayosema halafu tukamjadili
===
Huu mwandiko unatofauti gani na aliyeanzisha uzi huo?
===
 
Hakuna mkataba mbovu umewahi kutokea kama huu duniani

Samia akishirikiana na waziri na katibu mkuu wameiuza Tanganyika kwa waarabu

Watanganyika amkeni muitete nchi yenu wajukuu na vitukuu vyenu vitazaliwa km watumwa chini ya nchi ya waarabu ambao wameuziwa nchi

Mkumbuke viongozi waliofanya haya wananufaika na uuzwaji huu wa nchi
Toa hoja kwanini unaamini tumeuzwa, ili kuhama kutoka kwenye ujamaa ambayo ni sera iliyofeli hapa nchini lazima baadhi ya vitu tuwape wawekezaji ili tukusanye Kodi ya kutosha, baadhi yetu tunaamini hivyo.
Hebu tushawishi basi ili tuwe pamoja kuupinga
 
Chuki za kibaguzi zimechangia kwa kiasi kikubwa Sana huu mjadala. Hii nchi haijawahi kuwa rahisi kuiongoza kama wewe ni mzanzibar au unatoka kwenye ile imani Fulani.
Watu wangejikita kwenye mapungufu ya mkataba sio uzanzibar wa rais au waziri, hii inadhihirisha chuki za wazi wazi
 
Kuna jamaa anasema eti mkakati ni Serikali ya Tanzania ni kujitoa kwenye kila idara inayongiza mapato na kukabidhi kwa sekta binafsi kwa njia ya ubinafsishaji ili kuongeza ufanisi hence mapato - yenyewe ibakie kukusanya mapato tu - alisikika shombe mmoja mzawa wa Tanganyika akiwa kwenye mkutano wa hadhara.

Kuyataja machache ni;
TRC
TANESCO
TTCL
DAWASCO (Idara za maji nchi nzima)
Bandari ( Tayari)
Viwanja vya ndege vyote
Hospitali zote za Rufaa na zile za Mikoa
Masoko yote makubwa nchini - tukianza na Kariakoo
 
Kusainiwa it's just one step to go but not gone yet...

Utekelezaji wake ilikuwa lazima mkataba uwe ratified na bunge. This is step two to go, but still not gone yet...

Serikali mbili hizi (Emirate of Dubai & Tanganyika ya Samia) zitafanya exchange ya documents hizo ambazo ziko ratified na mamlaka za nchi husika...

Hatua hii ndiyo ya mwisho na itaruhusu shughuli kuanza...

Hata hivyo, hii hatua bado na kwa jinsi moto ulivyowaka, tunaweza uwezo wa 85% umma kushinda na kuzuia jambo hili...

Wako uchi hawa. Hawaendi popote...
Hawa ni matapeli tupu
 
Imetumika Google translator na limeabdikwa hilo post za mwanzo mwanzo tu. Unaonesha umekurupuka bila ya kuupitia mjadala.

Andika wewe vizuri, unangoja nini?

Punguani wahed.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Nakumbuka kwenye hutuba yako furani ulisema unapenda taarabu huku unaperuzi mikataba hakika sio kwa michambo hiyo hakika unaupiga mwingi kiongozi tunae
NB: sheria sio hadithi kwamba utatafsiri kwa google translator ieleweke
 
Tazama ramani, utaona Nchi mzuri.
Yenye mito na mabonde mengi ya nafaka.
Nasema kwa kinywa, halafu kwa kufikiri!
Nchi hio mashuhuri huitwa Tanzania!

Majira yetu haya,
Yangekuwaje Sasa,
Utumwa wa Nchi, Nyerere amaukomesha!
 
Back
Top Bottom