DP WORLD: Mkataba wa Bandari kwa Kiswahili (tafsiri isiyo rasmi)

DP WORLD: Mkataba wa Bandari kwa Kiswahili (tafsiri isiyo rasmi)

hatari sana! lile jengo la dodoma watu waliomo mle ni kikundi cha watu kinachoshirikiana na serikali kujiamulia mambo binafsi na wala siyo kwa ajiri ya umma.
Hawako huko bungeni kwa ridhaa ya umma, bali waliingizwa huko ndani na Magufuli ili wapitishe azimio la Magufuli kutawala zaidi ya miaka 10. Hivyo wanatii chochote itakacho serikali na sio watakacho wananchi.
 
Mkataba wa bandari unaopigiwa kelele kila siku usitekelezwe huu hapa , kwa kweli ni aibu kwa watu wanaojiita wabunge kupitisha mkataba uliojaa mapungufu mengi kiasi hicho, nilifikiri wanasiasa wa upinzani wanapotosha kumbe mambo yenyewe yapo hivi aise[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] tunaenda wapi kama taifa, hili bunge la awamu hii limejivua uchi kuwa hakuna linachokifanya kuisimamia serikali wala kuishauli watu hawa hawafai kurudishwa 2025!

Asubuhi njema leo jumapili tukumbuke kuendelea kuliombea taifa linapita katika miiba mikali na mkataba wa kinyonyaji , tunajuwa mungu hawezi kutuacha na mateso haya atafanya jambo! [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2682567
Asubuhi njema leo jumapili tukumbuke kuendelea kuliombea taifa linapita katika miiba mikali na mkataba wa kinyonyaji , tunajuwa mungu hawezi kutuacha na mateso haya atafanya jambo! [emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Samia amefanya kazi kubwa sana kuikuza nchi kisiasa na kijamii na kujenga uchumi kwa kumaliza miradi iliyoanzishwa na mtangulizi wake.

Tuendelee kumkosoa kwenye suala la Bandari na DP WORLD kwa staha lakini tusimkosee heshima kwa matusi na dharau.

Tanzania bado iko mikono salama chini ya Samia kwa hii miaka 3 kuliko ilivyokuwa kati ya 2015 -2021
 
Embu niambie! Hapa hapatoshi kuwa na wasisi na mkataba huu kuwa kuna namna tunamendewa tuliwe?

Kwa Upande wa Tanzania
1. Mkataba ulitakiwa usainiwe na Katibu Mkuu na Kushuhudiwa na Mwanasheria mkuu wa Serikali.

#Mkataba umesainiwa na Waziri na umeshuhudiwa na Katibu mkuu.

Sehemu ya mshuhudia usainishaji ina rangi 2 za wino!

Sijui wakiwah nn!

Upande wa Dubai.

1. Mkataba umesainiwa na muhuni gani sijui ata cheo hana, umeshuhudiwa na Muhuni mwenzie ambae hajulikani cheo wala jina!

Tujisahihishe!
Tumejukwaa kwakweli.
PASCAL -SHIJAH
Pascal abely
FaizaFoxy
VUTA-NKUVUTE
ki2c
Screenshot_2023-07-10-19-40-31-17_f541918c7893c52dbd1ee5d319333948.jpg
 
Kinachoonekana kwenye hizo sahihi ni kwamba huyo aliyeweka sahihi ya kijani alianza kukosea sehemu aliyotakiwa kuweka sahihi yake na kujikuta keshaanza kutia saini mahali pasipo sahihi. Ukiangalia initiation ya sahihi kwenye wino wa kijani hapo chini na juu zinafanana.

Kwa mantiki hiyo huo mkataba tayari ni batili kwani sahihi zimekosewa, na kama ulivyosema mkataba wa serikali lazima utiwe sahihi na mtumishi/mtendaji wa serikali ambaye kwa muktadha huu ni katibu mkuu wa wizara na siyo waziri ambaye ni mwanasiasa, jambo ambalo linatakiwa kushuhudiwa na mwanasheria mkuu wa serikali kwani ndo mwenye wajibu wa kuhakikisha maswala ya kisheria ya nchi ikiwemo mikataba ambayo nchi inaingia.​
 
Hakuna mkataba hapo ni kanjanja tu. Kila siku ukichunguza sana unakutana na tukio la kijuha kwenye huo mkataba. Daah mtu asie na chogo hana maumivu kabsaaa na Mali ya Tanganyika, almradi ni Mali ya Tanganyika bas we puyanga tu, watajijua wenyewe almradi sisi ni WaZanzibar basi tupo salama kina chogo hawanaga shida.
 
Token front na mabango kukataa huu mkataba. Yaani tusipoamka kwa hili tumekwisha.
 
Hiyo tenda ya KAZI ya kuboresha bandari ni lini ilitangazwa na kampuni ngapi zilishindanishwa
 
Hiyo tenda ya KAZI ya kuboresha bandari ni lini ilitangazwa na kampuni ngapi zilishindanishwa
Wanadai walitumia sheria ya PPP, huenda hiyo haina kushindanisha kampuni........lakini kumbuka mjomba ni mama.
 
Back
Top Bottom