Embu niambie! Hapa hapatoshi kuwa na wasisi na mkataba huu kuwa kuna namna tunamendewa tuliwe?
Kwa Upande wa Tanzania
1. Mkataba ulitakiwa usainiwe na Katibu Mkuu na Kushuhudiwa na Mwanasheria mkuu wa Serikali.
#Mkataba umesainiwa na Waziri na umeshuhudiwa na Katibu mkuu.
Sehemu ya mshuhudia usainishaji ina rangi 2 za wino!
Sijui wakiwah nn!
Upande wa Dubai.
1. Mkataba umesainiwa na muhuni gani sijui ata cheo hana, umeshuhudiwa na Muhuni mwenzie ambae hajulikani cheo wala jina!
Tujisahihishe!
Tumejukwaa kwakweli.
PASCAL -SHIJAH
Pascal abely
FaizaFoxy
VUTA-NKUVUTE
ki2c
View attachment 2684113
Rangi mbili kwenye sahihi, inaonekana kama mwarabu alitaka adondoke sahihi kwa niaba ya waziri.. afu akastuka.