DP WORLD: Mkataba wa Bandari kwa Kiswahili (tafsiri isiyo rasmi)

DP WORLD: Mkataba wa Bandari kwa Kiswahili (tafsiri isiyo rasmi)

Hiyo shida yako haihusiani na huu mkataba wa maendeleo. Kafunguwe uzi unaohusu shida yako, tutakuja kuchangia. Usituchanganyie mada.

Hapa tunaongelea nkataba baina ya Nchi mbili kama ulivyo, tena nenda kafute uongo wako wa kusema huu ni nkataba wa kampuni.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
HAkuna nchi mbili hapo,ni kati ya nchi na kambuni.hakuna nchi inaitwa Dp
 
HAkuna nchi mbili hapo,ni kati ya nchi na kambuni.hakuna nchi inaitwa Dp
Ndiyo nini hako?

1688400033299.png
 
Hiv unajua Tanzania imekodisha bandari zote we kizee.

Kijana, mkataba huo hapo Post namba moja. Tafadhali tuoneshe kifungu kilichouza bandari.

Pia pitia post ya juu hapo namba 549 usikilize mtaalam wa sheria za mambo ya uchukuzi akiulizwa na kufafanua kwa kina, hata hiyo hoja yako kaijibu.
 
Hiyo maanna yake umeshindwa hoja sasa umeanza viroja.
Mi sisomi huo mliobadilisha kwa kiswahili ule original ndio nausoma Lakin nachowaahd hata ukipita akija rais mwingine huu mkataba atauvunja kwa any cost
 
Mkataba nimeuweka kwa Kiswahili kwa msaada wa tafsiri ya Google, kama ulivyo.

Kama kuna makosa ni ya kimtandao, muyaainishe tutayafanyia marekebisho (editing) kidogo kidogo.


Naona Watanzania tunadanyana sana hapa JF. Sasa kila mmoja wetu avione na avisome vipengele vyote walivyokubaliana serikali mbili na tutowe maoni yetu. Tuyajadili kiheshima.

Binafsi nauunga mkono huu mkataba wa maendeleo.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Umefanya jambo jema sana, in principle mkataba hauna tatizo kabisa, na wengi hawataki kuongelea vifungu ambavyo vingi vina nia njema sana.ukiangalia hiyo kampuni inakuja kuweka mtaji mkubwa sana katika bandari hivyo kama walivyo wawekezaji wote lazima wahakikishiwe kuwa uwekezaji na mitaji yao itakuwa salama,hata sheria ya TIC imetoa hakikisho hilo dhidi ya kwamfano expropriation na international arbitration katika usuluhishi.hakuna mtu atakayerisk kuwekeza pasipo kuwa na haki zote juu ya uwekezaji husika zimezingatiwa ikiwa ni pamoja na namna ya uvunjwaji mkataba lazima iwe in a way pande zote zitawajibika kwa haki.pia katika swala la duration ya mkataba (muda wa mkataba) hilo litawekwa kwenye HGA na Projects Agreements kwakuwa wao kwa sasa ndio wanasubmit project plan,projections,financials etc hiyo ndio itadetermie muda wa mkataba. Na pia ibara ya 22 ya IGA inaruhusu marekebusho kwa baadhi ya vifungu, so kama serikali inaona kunabaadhi ya vifungu vinahitaji mabadiliko na ili kuwaweka sawa wananchi waombe upande huo wapili warekebishe. Kama kifungu cha 23(4) kinaweza kurejewa ili mambo yaendelee kwani uwekezaji huu utatupeleka mbali sana na hakuna sababu ya kuchelewa! Hawa watu wana mitaji mikubwa na siyo longolongo. Mengi yameshazungumzwa na shauri mbalimbali sasa serikali imeshasikia so ifunge mjadala huu na kurekebisha hizo kasoro ambazo ni chache sana mambo yaendelee. Tukiendelea kuchelewa washindani wetu ndio wanaendelea kupasua anga, so tunachakula kwenye silver plate tayari tukisusa wengine watakula then tuendelee kubaki na umaskini wetu. Naunga mkono uwekezaji huu kwa asilima 100
 
Mi sisomi huo mliobadilisha kwa kiswahili ule original ndio nausoma Lakin nachowaahd hata ukipita akija rais mwingine huu mkataba atauvunja kwa any cost
Sisi tumeusoma na tunausoma ule ule original, huu tumewawekea wasiofahamu Kingereza.

Tena vyema sana, tuujadili mimi na wee huu mkaba kwa lugha yake.

Kuvunja mkataba mbona ni rahisi sana, Mradi ufate makubaliano tu. Pingu za maisha zinavunjwa itakuwa mikataba ya kibiashara?

Anaevunja anachotakiwa alinde maslahi ya nchi isiwe mapapara kama aliyoyafanya mwendazake kuvunja kubadili mikata kukatuumiza kila pembe. Ikifatwa makubaliano inakuwa wepesi sana na hakuna kuumia.

Unajuwa mapapara yetu mpaka leo kuna ndege mpya imeshikwa uhonzi?

Unajuwa tumetemeshwa pesa nyingi sana ndege zilivyoshikwa Canada na South Africa. Unajuwa hata jengo letu la Ubalozi Washington lilishikwa?

Wewe soma uuoendao. Tatizo hamuoneshi tatizo liko wapi? Jionee hii video chini, mkataba unachumbuliwa:



When you aredy, lets discuss the agreement in English, since you are not conversant with the agrrement in Kiswahili.
Hebu tulia we msikiti. Unajua hata huyo niliyemquote ni juu ya nini?
Msikiti unahusiana nini na hii mada?

Au kuna mkataba wa kujenga msikiti hapo?

Mkataba wa kujenga msikiti alisaini mwendazake na Mfalme wa Morocco.
 
Sisi tumeusoma na tunausoma ule ule original, huu tumewawekea wasiofahamu Kingereza.

Tena vyema sana, tuujadili mimi na wee huu mkaba kwa lugha yake.

Kuvunja mkataba mbona ni rahisi sana, Mradi ufate makubaliano tu. Pingu za maisha zinavunjwa itakuwa mikataba ya kibiashara?

Anaevunja anachotakiwa alinde maslahi ya nchi isiwe mapapara kama aliyoyafanya mwendazake kuvunja kubadili mikata kukatuumiza kila pembe. Ikifatwa makubaliano inakuwa wepesi sana na hakuna kuumia.

Unajuwa mapapara yetu mpaka leo kuna ndege mpya imeshikwa uhonzi?

Unajuwa tumetemeshwa pesa nyingi sana ndege zilivyoshikwa Canada na South Africa. Unajuwa hata jengo letu la Ubalozi Washington lilishikwa?

Wewe soma uuoendao. Tatizo hamuoneshi tatizo liko wapi? Jionee hii video chini, mkataba unachumbuliwa:



When you aredy, lets discuss the agreement in English, since you are not conversant with the agrrement in Kiswahili.

Msikiti unahusiana nini na hii mada?

Au kuna mkataba wa kujenga msikiti hapo?

Mkataba wa kujenga msikiti alisaini mwendazake na Mfalme wa Morocco.

Nasema hivi, tulia we msikiti.
 
Vipengele vingi vinaelezaea haya makubaliano kuwa ni mkataba,sasa sijui kwanini unapenda kusema haya makubaliano siyo mkataba

Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
 
Mkataba wa bandari unaopigiwa kelele kila siku usitekelezwe huu hapa , kwa kweli ni aibu kwa watu wanaojiita wabunge kupitisha mkataba uliojaa mapungufu mengi kiasi hicho, nilifikiri wanasiasa wa upinzani wanapotosha kumbe mambo yenyewe yapo hivi aise[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] tunaenda wapi kama taifa, hili bunge la awamu hii limejivua uchi kuwa hakuna linachokifanya kuisimamia serikali wala kuishauli watu hawa hawafai kurudishwa 2025!

Asubuhi njema leo jumapili tukumbuke kuendelea kuliombea taifa linapita katika miiba mikali na mkataba wa kinyonyaji , tunajuwa mungu hawezi kutuacha na mateso haya atafanya jambo! [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment Dar_Port_Contract_Mkataba.pdf
 
hatari sana! lile jengo la dodoma watu waliomo mle ni kikundi cha watu kinachoshirikiana na serikali kujiamulia mambo binafsi na wala siyo kwa ajiri ya umma.
 
Mimi siyo mwanasheria ila kwenye Land Right hapo nakumbuka hata Dr Slaa alieleza hawa jamaa wakitaka kuvunja maghorofa wajenge reli hadi Uwanja wa ndege ,je fidia itakuwaje maana kwenye mkatba hawakusema kama serikali/dpw italipa fidia.
 
Mkataba wa bandari unaopigiwa kelele kila siku usitekelezwe huu hapa , kwa kweli ni aibu kwa watu wanaojiita wabunge kupitisha mkataba uliojaa mapungufu mengi kiasi hicho, nilifikiri wanasiasa wa upinzani wanapotosha kumbe mambo yenyewe yapo hivi aise[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] tunaenda wapi kama taifa, hili bunge la awamu hii limejivua uchi kuwa hakuna linachokifanya kuisimamia serikali wala kuishauli watu hawa hawafai kurudishwa 2025!

Asubuhi njema leo jumapili tukumbuke kuendelea kuliombea taifa linapita katika miiba mikali na mkataba wa kinyonyaji , tunajuwa mungu hawezi kutuacha na mateso haya atafanya jambo! [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2682567
Tuikatae CCM kwani ndio kampuni la wanasiasa wasio na uzalendo.
 
Ukiliangalia bunge letu ndiyo unaelewa ule msemo wa kusoma sio mwisho wa ujinga
Mkataba wa kimangungo umewezaje kupitishwa na bunge kama si rushwa ilitembezwa kabila
Hili bunge linaweza kusaini mkataba wa kuturudisha utumwani.
 
hilo siyo bunge mkuu ebu cheki tarehe 12/06/2023 walivyokuwa wakifrahia mkataba huo kupitisha pitia youtube utaona vichekesho na hilo kundi la watu wanaojiita wabunge wa JMT
 
Back
Top Bottom