DP WORLD: Mkataba wa Bandari kwa Kiswahili (tafsiri isiyo rasmi)

Tunahangaika na kitu fake,

Mkataba una mianya kibao kuuvunja.

Tukiwadhibiti tu waliyohongwa, kitu inavunjwa.

Asante, Adam kigoma Malima nawe kusaini petition.

Asante sana tai mwenye jicho Kali.
Petition inapatikana wapi aisee sijaisaini
 
Makosa mengi kwenye mkataba huu yako wazi ila ajabu kuna watu hapa wanachangia as if bado kuna teuzi za ma dc, njaa ikihamia kichwani ni tatizo kubwa.
 
Wanasema walipewa ruhusa na Mkuu kutoa Saini kwa barua yenye Saini ya Mkuu.
 
 
 
Forward slash hiyo, kama ilikuja kuwekwa baadae sn.

Kwa niaba ya.
 
Nguvu kubwa inatumika kutetea hili jambo la DP World.. Na watu wengi wanapinga .. Ni ishara ya kwamba kuna vitu havipo sawa.. ni swala la mda tu
Nimetembelea mitandao yote na nikagundua kuwa ni JF na Clubhouse tu ndio wanatumia nguvu sana na pesa kupinga Mkataba wa DP World. Nikajiuliza, hivi hawa watu wanalipwa na nani?
 
Kuwafananisha wabunge wa enzi za mwl na hawa wa sasa hivi ni uzalilishaji hili la sasa hivi ni genge la walanguzi linatumia jengo la bunge kuhalalisha ulanguzi
 
Nahisi ukiielewa kazi aliyoifanya kuibuwa madudu ya bandarini na hii vita anayopigwa utaelewa kwanini Mama Samia ni chaguo la Mwenyezi Mungu na kwanini hatetereki.
 
Tuwekee mkataba usio feki tuusasambuwe.
 
 
Nguvu kubwa inatumika kutetea hili jambo la DP World.. Na watu wengi wanapinga .. Ni ishara ya kwamba kuna vitu havipo sawa.. ni swala la mda tu

Upo sahihi sana mkuu kele ni nyingi sana,tupaze sauti
 
Ukitaka kujua vzr kuwa uelewa wa watanzania bado sana njoo kweny uzi kama huu afu anza kupitia coments..
 
Halafu Kuna kibibi kinasema sio mkataba, hicho hicho kilisema mkataba huu hapa.
 
Ubovu wake uko wapi?
Lugha ni ya kisheria mpaka mtaaluma wa sheria akufafanulie otherwise huwezi kuelewa kitu hapo.
Hata hivyo, huwezi jua aliyetafsiri, kwamba, anao weledi wa kutafsiri lugha, au, yupo upande upi; wanaopinga, au, wasiopinga.
 
Kumbe umetafsiri kupitia machinery. Ana lake jambo huyu. Halafu, kwa nini jamaa zetu waislamu wamejipambanua kuutetea kwa nguvu zote Makubaliano haya??
 
Serikali isipoteze muda na wapuuzi wachache ambao kwa maksudi hawataki kuelewa faida inayo patikana na uwekezaji wa DPW.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…