Averos
JF-Expert Member
- Aug 6, 2010
- 993
- 703
Umefanya utafiti kwa mikataba mingapiHakuna mkataba mbovu umewahi kutokea kama huu duniani
Samia akishirikiana na waziri na katibu mkuu wameiuza Tanganyika kwa waarabu
Watanganyika amkeni muitete nchi yenu wajukuu na vitukuu vyenu vitazaliwa km watumwa chini ya nchi ya waarabu ambao wameuziwa nchi
Mkumbuke viongozi waliofanya haya wananufaika na uuzwaji huu wa nchi
Unataka kutudanganya watu wazima?
Hebu kafanya kazi upate mafuta ya kuweka kwenye vibatali vyako leo