DP WORLD: Mkataba wa Bandari kwa Kiswahili (tafsiri isiyo rasmi)

Umefanya utafiti kwa mikataba mingapi
Unataka kutudanganya watu wazima?
Hebu kafanya kazi upate mafuta ya kuweka kwenye vibatali vyako leo
 
Nguvu kubwa inatumika kutetea hili jambo la DP World.. Na watu wengi wanapinga .. Ni ishara ya kwamba kuna vitu havipo sawa.. ni swala la mda tu
Wanaopinga wanadanganywa na wenye maslahi yao binafsi
 
Shukran sana ukht
Jazakallahu khayran
 
Hiki ni kipengele muhimu sana ili tuendelee kunifaika mpaka mwisho wa mkataba
 
Ubovu wake uko wapi?
Ubovu wa huu mkataba ni obligation za dubai hakuna ila kwa upande wa Tanzania kila kitu ni shall. Na pia mkataba hauna muda maalum wa ukomo na pia mkataba huu umegeuka ibara ya 63(3)(e) huu ni just mkataba tuu siyo treaty kwahiyo bunge halina mamlaka ya kuratify na bunge liki ratify treaty inamana inakuwa sheria binding. Pia mkataba umejichanganya haweki wazi kati ya mahakama na bunge ni kipi kiuchambue huu mkataba vitu ni vingi in short mkataba huu uliandaliwa na upande mmoja alafu sisi viongozi wa Tanzania tuka weka sahihi kwa maelezo ya Mkataba huu hata ikitokea dp world wakavunja masharti ya mkataba Nchi ya Tanzania haina mamlaka ya kujitoa kwenye mkataba huo. Ndugu kwani huu ni mkataba tuu au ndoa ya kikatoliki?
Huu mkataba ni tricky na una loop holes kibao za kuleta migogoro mfano sheria itakayo tumika ni ya uingereza hapo hapo unaambiwa mgogoro ukitokea tuta utatua kwa njia ya arbitration Nchini south Afrika swali langu ni moja kwa wataalamu wa private international law hii ni sawa? mgogoro lazima utatuliwe pale ulipo anzia. Haya ndiyo mavitu ya rushwa kusafiri hovyo kutatua migogoro ya Tanzania kwenye nchi za watu. Sheria itumike ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania. Neno shall limetumika hapa kuikandamiza Tanzania kama sisi ndiyo weaker party kwenye mkataba yani shall limetumika mpaka nashangaa tunapelekeashwa vp na hawa mabedui? Tanzania sio nchi dhaifu kiasi hicho neno shall litumike kutudhoofisha
 
Huu mkataba unakwenda kuingia kwenye vitabu vya kihistoria.
Mkataba wa Kilaghai wa Chifu Hangaya
Yaani ni aibu hata kuutazama
Nawe ni thinker. Ukitaka ku comment kitu uliza kwanza kwa wenye akili
 
Mtu akishajitanabahusha ni MFIA DINI wenye welevu wanakaa pembeni!! Hawachelewi kuvaa mabo.u hawa wasaudi weusi.
Ndugu nikushauri
Unapotaka ku comment kwenye serious topics make sure uko na akili timamu
 
Tusisahau kuwa Dubai si nchi bali ni sehemu ya nchi iitwayo Umoja wa Falme za Kiarabu au kwa Kiswahili hufupishwa Himarati (United Arab Emirates).

Dubai ni jiji kubwa la biashara na anasa kama kwetu ilivyo Dar es Salaam. Tanzania ni nchi na dola kamili, ni kebehi na dharau kuingia mkataba na jimbo au sehemu tu ya nchi nyingine badala ya nchi yenyewe.
 
Huu mkataba siyo wa kampuni, usome hata mwanzo wake tu, unaonesha kuwa ni mkataba wa nchi na nchi.

Wacha kusema uongo.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Bibi unazeeka vibaya, tangu lini Dubai ikawa nchi? Sema mkataba kati ya nchi na jimbo. Yani wewe ukiingia mkataba wa kuzoa taka na jiji la Newyork utasema umeingia mkataba na USA?. Dubai iko chini ya UAE, ili uwe wa nchi na nchi ilibidi thingies na UAE sio Dubai
Acheni kujitoa ufahamu, huu mkataba umekaa kikanjanja sana, uhuni upo wa kutosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…