Umefanya utafiti kwa mikataba mingapiHakuna mkataba mbovu umewahi kutokea kama huu duniani
Samia akishirikiana na waziri na katibu mkuu wameiuza Tanganyika kwa waarabu
Watanganyika amkeni muitete nchi yenu wajukuu na vitukuu vyenu vitazaliwa km watumwa chini ya nchi ya waarabu ambao wameuziwa nchi
Mkumbuke viongozi waliofanya haya wananufaika na uuzwaji huu wa nchi
Wanaopinga wanadanganywa na wenye maslahi yao binafsiNguvu kubwa inatumika kutetea hili jambo la DP World.. Na watu wengi wanapinga .. Ni ishara ya kwamba kuna vitu havipo sawa.. ni swala la mda tu
Vice versaWanaopinga wanadanganywa na wenye maslahi yao binafsi
Shukran sana ukhtMkataba nimeuweka kwa Kiswahili kwa msaada wa tafsiri ya Google, kama ulivyo.
Kama kuna makosa ni ya kimtandao, muyaainishe tutayafanyia marekebisho (editing) kidogo kidogo.
Naona Watanzania tunadanyana sana hapa JF. Sasa kila mmoja wetu avione na avisome vipengele vyote walivyokubaliana serikali mbili na tutowe maoni yetu. Tuyajadili kiheshima.
Binafsi nauunga mkono huu mkataba wa maendeleo.
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Awamu yake inakuja, kuwa na amanKwanini bandari za Zanzibar zimeondolewa kwenye hiki mnachoita 'neema ya uwekezaji'?
Kampuni ya kitapeli inayoendesha Bandari za Uingereza au Australia?Mimi nakubali serikali waingie mkataba na hii kampuni ya kitapeli sina tatizo, ombi langu tu waondolewe kinga za kutoshitakiwa kwa maamuzi ya hovyo hapo baadae.
We unapinga au unaunga mkono?Faiza hii bandari wangepewa wa Taliano wa Vatican nahisi ungeupinga mpka ungevuwa ushungi live, Ndugu anamtetea nduguye
Hiki ni kipengele muhimu sana ili tuendelee kunifaika mpaka mwisho wa mkatabaHiki kipengere ni hatari kuliko hatari yenyewe, yaani hata isipo perform hakuna mtu kujitoa, ni kama ndoa ya kikristo hadi kifo kiwatenge.
“Nchi Wanachama hazitakuwa na haki ya kukemea, kujiondoa, kusimamisha au kusitisha Mkataba huu katika hali yoyote, ikiwa ni pamoja na katika tukio la uvunjaji wa nyenzo, mabadiliko ya msingi ya hali, kukatizwa kwa uhusiano wa kidiplomasia au wa kidiplomasia, au sababu nyingine yoyote inayotambuliwa chini ya sheria ya kimataifa. Bila kujali yaliyotajwa hapo juu, mgogoro wowote kati ya Nchi Wanachama kuhusiana na hali kama hizo utashughulikiwa kulingana na mahitaji ya Ibara ya 20 ya Mkataba huu.”.
Ubovu wa huu mkataba ni obligation za dubai hakuna ila kwa upande wa Tanzania kila kitu ni shall. Na pia mkataba hauna muda maalum wa ukomo na pia mkataba huu umegeuka ibara ya 63(3)(e) huu ni just mkataba tuu siyo treaty kwahiyo bunge halina mamlaka ya kuratify na bunge liki ratify treaty inamana inakuwa sheria binding. Pia mkataba umejichanganya haweki wazi kati ya mahakama na bunge ni kipi kiuchambue huu mkataba vitu ni vingi in short mkataba huu uliandaliwa na upande mmoja alafu sisi viongozi wa Tanzania tuka weka sahihi kwa maelezo ya Mkataba huu hata ikitokea dp world wakavunja masharti ya mkataba Nchi ya Tanzania haina mamlaka ya kujitoa kwenye mkataba huo. Ndugu kwani huu ni mkataba tuu au ndoa ya kikatoliki?Ubovu wake uko wapi?
Nawe ni thinker. Ukitaka ku comment kitu uliza kwanza kwa wenye akiliHuu mkataba unakwenda kuingia kwenye vitabu vya kihistoria.
Mkataba wa Kilaghai wa Chifu Hangaya
Yaani ni aibu hata kuutazama
Nguvu kubwa umeipimaje?Mbona inatumika nguvu kubwa kuutetea huu mkataba
Duh, hiyo ndiyo busara na hekima yako?We ajuza ni mjinga sn huna hoja wazee wenzako wana busara na hekina lakini wewe huna akili mpuuzi mkubwa wewe
Ndugu nikushauriMtu akishajitanabahusha ni MFIA DINI wenye welevu wanakaa pembeni!! Hawachelewi kuvaa mabo.u hawa wasaudi weusi.
Vifungu vipi vifutwe?Dada umepewa sh. Ngapi kuupigia debe huu mkataba??. Huu mkataba ubadilishwe au baadhi ya vifungu vifutwe.
Ukituliza akili yako (kama unayo) utaumgana na SerikaliHuyu mwanamke kichaa ndio anaunga mkono huu ujinga.
Bibi unazeeka vibaya, tangu lini Dubai ikawa nchi? Sema mkataba kati ya nchi na jimbo. Yani wewe ukiingia mkataba wa kuzoa taka na jiji la Newyork utasema umeingia mkataba na USA?. Dubai iko chini ya UAE, ili uwe wa nchi na nchi ilibidi thingies na UAE sio DubaiHuu mkataba siyo wa kampuni, usome hata mwanzo wake tu, unaonesha kuwa ni mkataba wa nchi na nchi.
Wacha kusema uongo.
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Nimekusa nasikiliza wanasheria mbali mbali wakichambua huko mktaba.. Kwa namna wanavyo chambua kama tumepigwa na kitu kizito sanaaaWanaopinga wanadanganywa na wenye maslahi yao binafsi