DP WORLD: Mkataba wa Bandari kwa Kiswahili (tafsiri isiyo rasmi)

DP WORLD: Mkataba wa Bandari kwa Kiswahili (tafsiri isiyo rasmi)

Kusainiwa it's just one step to go but not gone yet...

Utekelezaji wake ilikuwa lazima mkataba uwe ratified na bunge. This is step two to go, but still not gone yet...

Serikali mbili hizi (Emirate of Dubai & Tanganyika ya Samia) zitafanya exchange ya documents hizo ambazo ziko ratified na mamlaka za nchi husika...

Hatua hii ndiyo ya mwisho na itaruhusu shughuli kuanza...

Hata hivyo, hii hatua bado na kwa jinsi moto ulivyowaka, tunaweza uwezo wa 85% umma kushinda na kuzuia jambo hili...

Wako uchi hawa. Hawaendi popote...
Unajidanganya,ukiondoa watu wachache tuliopo mitandaoni na wajaa chuki za kibaguzi wa huku mtaani,basi raia wengi wapo na shughuli zao na hawana hata 1 la kuongea juu ya mkataba huu.
 
Sijakuelewa.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Tuweke ushabiki wetu pembeni na mambo mengine yasiyo na tija. We need investors. Ila lazima kuweka vizuri mikataba yetu. Tuache kuchumia tumboni kwa gharama za wengi.

Halafu wananchi wa Tanzania, wengi sio wa kuhangaika kusoma. Wanapenda simulizi wakiwa wanakunywa gahawa. Unachowaambia ndio wanavyochukulia. Wasomi watanzania waanze kuelimisha watu kwa staha na bila kuweka agenda zenye utata
 
Mleta mada hii tunayojadili alisema Mwalimu alikuwa kiongozi mbovu na akamfungilia uzi. Nilisikitika sana.
Msamehe hajui anachofanya. Kimeumana sasa. Ndio akili zitakaa sawa. Mwalimu sio wa kuchukuliwa kispotspot...na waliojaribu kufanya hivyo, sasa hivi wanabaki kujitetea wakipewa platform waseme walichofanya
 
Nikitulia nitausoma vizuri alafu ndio nitajua nisimame na Mama au la
 
Tumeshadangsnysna sana mitandaoni kuhudu huu mkataba wa ushirikiano wa maendeleo.

Sasa upo wazi, kila mmoja ajio neemwenyewe.


Walitudanganya kuwa mkataba hauna ukomo. Ukomo tunauona wazi kwenye vioengele zaidi ya kimoja, mkataba umeonesha mpaka njia na hatua za kuchukuwa kabla ya kufikia ukomo.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
nani aliyekudanganya? Tumkamate achapwe viboko?
 
Mkataba upo vizuri sana, one of the best. Mengineyo ni chuki, husda na jakamoyo.

Mama anaupiga mwingi na tunampa maua yake.
Unaonekana hujausoma huo mkataba umekimbilia kwenye comment tu.
 
Jibu wewe Dubai Ni Nchi?
Dubai ni sehemu ya nchi inayoitwa UAE, kuna Abu Dhabi na majimbo mengine matano yanaunda kwa pamoja nchi inayotwa UAE. United Arab Emirates

Dubai ina mamlaka kamili ya kufanya shughuli za nchi kama ilivyo Zanzibar au Tanzania Bara.

Ni sawa na USA inavyotoa uhuru kwa majimbo yake kufanya biashara na mataifa mengine. United States of America
 
Kwa wanaohitaji mkataba wa DP world, kwa kiswahili nimeuweka hapa, tafsiri imetokana na mkataba ulioandikwa kwa lugha ya kiingereza lengo ni kila mtanzania asome na kutoa maoni kwa maslahi mapana ya Taifa.
Mbona haujasainiwa? Hivi wanatuona sisi mazuzu...hii si tafsiri tu waliyofanya ili kudanganya wabongo. Mkataba unaotufunga ni ule uliosainiwa na Mbarawa na yule Mzanziabr mwingine ambao ni wa kiingereza.
 
Kwa wanaohitaji mkataba wa DP world, kwa kiswahili nimeuweka hapa, tafsiri imetokana na mkataba ulioandikwa kwa lugha ya kiingereza lengo ni kila mtanzania asome na kutoa maoni kwa maslahi mapana ya Taifa.
Mmeanza brainwashing 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mbona haujasainiwa? Hivi wanatuona sisi mazuzu...hii si tafsiri tu waliyofanya ili kudanganya wabkngo. Mkataba unaotufunga ni ule uliosainiwa na Mbarawa na yule Mzanziabr mwingine ambao ni wa kiingereza.
exactly....... ukisoma takataka hii unaon imeandikwa kijuml jumla bila specifiction. Inatoa mamlaka kwa DPw kufanya lolote analotaka mfano, ardhi...imewekwa kuwa atapaha haki za ardhi, haki gani? lazima zitajwe
 
Kazi mbona imeshaanza, nenda PTA ukawaone.

Wale watu wa biashara, wanaifahamu faida watakayoingiza wao kwa biashara zao zingine kupitia bandari ya Dar.

Mapato ya bandari ya Dar hata yote 100% tuchukuwe sisi wala hawastuki.

Dubai umefika? Au unapasikia tu?

Watanzania wdngi, 99% hwtuns exposure, hatufshamu duniabi watu wsko wspi sasa hivi, sisi nchi nzima tunabishana vigati (berths) viwili vitatu.

Tunasikitisha sana. Waingereza wametujaza ujinga sana. Kuufuta ujinga tuluonao itatuchukuwa miaka 590 ijayo. Au upite muujiza wa Mungu tu.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Haya ni Madhara makubwa ya dini zilizoletwa na wazungu na waarabu.

Mmatumbi mweusi ambaye ni muislamu anajiona yuko karibu sana na mwarabu wa dubai kuliko mdengereko mweusi vivyo hivyo mdengereko mkatoriki anajiona yupo karibu sana na mzungu kutoka vatican kuliko mmatumbi mweusi.

Kwa sasa kinachoendelea kuhusu mkataba wa DP ni ushabiki wa kidini. Muislam anaikubali dp mkristu anaikataa.

Tukiachana na ushabiki wa kidini, huo mkataba wao ushavuja na ni mbovu sana. Hata kama wakijaza shingo na kuwekeza, hawatafikia mbali.
 
Mbona haujasainiwa? Hivi wanatuona sisi mazuzu...hii si tafsiri tu waliyofanya ili kudanganya wabongo. Mkataba unaotufunga ni ule uliosainiwa na Mbarawa na yule Mzanziabr mwingine ambao ni wa kiingereza.
Mkataba original ni ule uliosainiwa huu wa kiswahili umetafsiriwa kutoka ule wa kiingereza kwa malengo ya kuwafanya watanzania wengi wauelewe.
 
Kwnye mkataba wamesema wanawekeza shilingi ngapi??
Huo uboreshaji ni wa aina gani, mbona haujaainishwa maeneo na muda wa uboreshwaji?
Mbona mkataba hausemi mwekezaji akizingua tu, anatimuliwa? Yaani mkataba unaonyesha kumfeva zaidi mwekezaji kuliko nchi ya wenye bandari ?
Sijaona mkataba unaanza lini na unaisha lini, kwa maana ya timeframe ya mkataba. Mkataba upo hadi maekezezaji aamue yy basi
 
Back
Top Bottom