DP World walipatikanaje kama hatukuona tenda ikitangazwa?

DP World walipatikanaje kama hatukuona tenda ikitangazwa?

CT0007

Member
Joined
Oct 11, 2022
Posts
20
Reaction score
16
Kuhusu bandari mimi siungi mkono ubinafsishaji wake hata kidogo! Ibinafsishwe ili sisi tufanye nini? Kwani uendeshaji wake unagharimu nini ambacho hatukimudu kama nchi? Mbona ATCL inapewa ndege mpya na serikali na bado inapata hasara ila haibinafdishwi?

Bandari inaingiza hasara gani mpaka tuone inatuelemea? Kama Nyerere aliacha madini tuje kuchimba, sisi tukikua kiakili na kiteknolojia, sisi tunashindwaje kutunza bandari tuje kurithisha wanetu?

Naunga mkono uwekezaji wa bandari ila ufanywe na serikali yenyewe au ishirikishe sekta binafsi ya ndani. Sekta binafsi ikajifunze Kwa waliofanikiwa, kisha ije iendeleze bandari ikishirikiana na serikali!( Kama NMB Bank ilivyo, serikali ina hisa na private sekta nayo ipo).

Kwani ni lini serikali ili tangaziaumma na dunia kwamba bandari inabinafsishwa ili umma utume maombi? DP World walishindanishwa na nani kwenye tenda? DP World walijuaje kwamba bandari Dar es Salaam inabinafsishwa? Wamepatikanaje sasa?

Ndugu mdau wa JF, toa ushauri wako nami nijifunze.
 
Rushwa rushwa rushwa
Chief rushwa IPO kila sehemu, ukibinafsi haimaanishi rushwa imeisha umehamisha kutoka Kwa watu wa kitengo cha chini Hadi Kwa wakuuu wenye mamlaka.

Pia rushwa IPO Hadi Kwa mataifa makubwa, sehemu wao Wana operate kwenye Invoice hakuna jipya zaidi hapo.

Pia kama Taifa tunaonyesha weakness mdogo Sana kushindwa kudhibiti Rushwa
 
Chief rushwa IPO kila sehemu, ukibinafsi haimaanishi rushwa imeisha umehamisha kutoka Kwa watu wa kitengo cha chini Hadi Kwa wakuuu wenye mamlaka.

Pia rushwa IPO Hadi Kwa mataifa makubwa, sehemu wao Wana operate kwenye Invoice hakuna jipya zaidi hapo.

Pia kama Taifa tunaonyesha weakness mdogo Sana kushindwa kudhibiti Rushwa
Hujanielewa namaanisha viongozi wetu wanapenda rushwa haswa
 
Kuhusu bandari mimi siungi mkono ubinafsishaji wake hata kidogo! Ibinafsishwe ili sisi tufanye nini? Kwani uendeshaji wake unagharimu nini ambacho hatukimudu kama nchi? Mbona ATCL inapewa ndege mpya na serikali na bado inapata hasara ila haibinafdishwi?

Bandari inaingiza hasara gani mpaka tuone inatuelemea? Kama Nyerere aliacha madini tuje kuchimba, sisi tukikua kiakili na kiteknolojia, sisi tunashindwaje kutunza bandari tuje kurithisha wanetu?

Naunga mkono uwekezaji wa bandari ila ufanywe na serikali yenyewe au ishirikishe sekta binafsi ya ndani. Sekta binafsi ikajifunze Kwa waliofanikiwa, kisha ije iendeleze bandari ikishirikiana na serikali!( Kama NMB Bank ilivyo, serikali ina hisa na private sekta nayo ipo).

Kwani ni lini serikali ili tangaziaumma na dunia kwamba bandari inabinafsishwa ili umma utume maombi? DP World walishindanishwa na nani kwenye tenda? DP World walijuaje kwamba bandari Dar es Salaam inabinafsishwa? Wamepatikanaje sasa?

Ndugu mdau wa JF, toa ushauri wako nami nijifunze.
Kuna mtu aliulizia bei ya Toilet Paper, kindly find attached FYA..
 

Attachments

  • Screenshot_20230714.jpg
    Screenshot_20230714.jpg
    122.2 KB · Views: 3
Unaweza ukawa na nia njema katika jambo fulani lakini likapokelewa vibaya kutokana na njia uliyoitumia kuliendea jambo lenyewe.

Serikali sikivu, utawala bora na utawala wa sheria huja pale serikali inapofanya kazi kwa uwazi na ushirikishwaji wa wananchi pale panapohitajika ili kutoleta sintofahamu katika shughuli zake.

Responsibility and accountability is very huge bird for our developing countries
 
Kanuni za ununuzi wa umma hazikufuatwa.

Waambie waweke wazi Documents Tender No....huwa zinakuwepo tu katika tovuti/website ya wizara husika, TPA, na wale Procurement.

Hii ni bila bila.
 
Mbarawa anaendelea kusema uongo walitangaza tender DPW ndio wakashinda, huyu mzee hachoki kujishushia heshima kila siku, namshangaa sana.
 
Kuhusu bandari mimi siungi mkono ubinafsishaji wake hata kidogo! Ibinafsishwe ili sisi tufanye nini? Kwani uendeshaji wake unagharimu nini ambacho hatukimudu kama nchi? Mbona ATCL inapewa ndege mpya na serikali na bado inapata hasara ila haibinafdishwi?

Bandari inaingiza hasara gani mpaka tuone inatuelemea? Kama Nyerere aliacha madini tuje kuchimba, sisi tukikua kiakili na kiteknolojia, sisi tunashindwaje kutunza bandari tuje kurithisha wanetu?

Naunga mkono uwekezaji wa bandari ila ufanywe na serikali yenyewe au ishirikishe sekta binafsi ya ndani. Sekta binafsi ikajifunze Kwa waliofanikiwa, kisha ije iendeleze bandari ikishirikiana na serikali!( Kama NMB Bank ilivyo, serikali ina hisa na private sekta nayo ipo).

Kwani ni lini serikali ili tangaziaumma na dunia kwamba bandari inabinafsishwa ili umma utume maombi? DP World walishindanishwa na nani kwenye tenda? DP World walijuaje kwamba bandari Dar es Salaam inabinafsishwa? Wamepatikanaje sasa?

Ndugu mdau wa JF, toa ushauri wako nami nijifunze.
Aibuuu aibuuu aibuuu, Raisi kusakamwa kiasi hichi, mmama katia aibu ya mwaka
 
Kuhusu bandari mimi siungi mkono ubinafsishaji wake hata kidogo! Ibinafsishwe ili sisi tufanye nini? Kwani uendeshaji wake unagharimu nini ambacho hatukimudu kama nchi? Mbona ATCL inapewa ndege mpya na serikali na bado inapata hasara ila haibinafdishwi?

Bandari inaingiza hasara gani mpaka tuone inatuelemea? Kama Nyerere aliacha madini tuje kuchimba, sisi tukikua kiakili na kiteknolojia, sisi tunashindwaje kutunza bandari tuje kurithisha wanetu?

Naunga mkono uwekezaji wa bandari ila ufanywe na serikali yenyewe au ishirikishe sekta binafsi ya ndani. Sekta binafsi ikajifunze Kwa waliofanikiwa, kisha ije iendeleze bandari ikishirikiana na serikali!( Kama NMB Bank ilivyo, serikali ina hisa na private sekta nayo ipo).

Kwani ni lini serikali ili tangaziaumma na dunia kwamba bandari inabinafsishwa ili umma utume maombi? DP World walishindanishwa na nani kwenye tenda? DP World walijuaje kwamba bandari Dar es Salaam inabinafsishwa? Wamepatikanaje sasa?

Ndugu mdau wa JF, toa ushauri wako nami nijifunze.
Muendelee kukaa bila kazi mkingoja mpate akili?

Madini yakichukuliwa unabakishiwa mashimo, bandari inapelekwa wapi?
 
Back
Top Bottom