DP World walipatikanaje kama hatukuona tenda ikitangazwa?

DP World walipatikanaje kama hatukuona tenda ikitangazwa?

Futeni mkataba nukta
Acheni kutupigia kelele
Pelekeni hao wawekezaji kisiwani kwenu mbona mnalazimisha jambo?

Tanganyika mtuachie.
 
Muendelee kukaa bila kazi mkingoja mpate akili?

Madini yakichukuliwa unabakishiwa mashimo, bandari inapelekwa wapi?
Hiki ni kiwango cha chini sana cha uelewa..!! Kwahiyo, the fact kwamba bandari haihamishiki, basi wavurunde watakavyo..!!?? Hapa FaizaFoxy umefuka moshi wa kuni mbichi
 
Hiki ni kiwango cha chini sana cha uelewa..!! Kwahiyo, the fact kwamba bandari haihamishiki, basi wavurunde watakavyo..!!?? Hapa FaizaFoxy umefuka moshi wa kuni mbichi
Nyie mnadaganywa na mnadanyika, mambo ya maana mnapigwa changa la macho kwa kuwa mnawaamini wachungaji waliopotea.

Hivi anakuja skofu ambae kanisa lake limejaa ukosefu wa maadili dunia nzima anakwambia "hiki siyo sawa" wewe unakubali tu?

Hakina aliyewaita kondoo hajakosea.
 
Futeni mkataba nukta
Acheni kutupigia kelele
Pelekeni hao wawekezaji kisiwani kwenu mbona mnalazimisha jambo?

Tanganyika mtuachie.
Tabia hizi zikijaa kichwani mwako utajikuta unaanza kudhuru hata familia yako[emoji35]
 
Dp walipatikanaje????Walijuaje bandari ya DSM inatafutiwa MTU??? Ni maswahili yananisumbua sana akilini .....

Viongozi katika huu mkataba wa Bandari kutakuwa na donge nono la Rushwa kila Mwezi watakuwa wamecheza sio kwa kelele hizi na bado watu wanatiwa ndani kwa sababu ya Kupinga........

Ya pili ni huo uwekezaji wa joint venture.Ili kuifanya Serikali iweze kufanya monitoring ya ndani KABISA kuepuka kuhujumiwa kiuchumi kama unavyosema

Watu wanajificha kwenye kichaka Cha gharama ila wanaogopa kusema Kwani ni Hela inayolipika.
Gharama za uwekezaji bandari ni shilingi ngapi?

Hivi kweli tunaweza kumkodi MTU wa kutukamulia ng'ombe wetu mwenye maziwa mengi eti kwa sababu ng'ombe anarusha mateke sana?
Kwani kumfunga miguu inagharimu nini?

Si mwenye ng'ombe anaita majirani 2 anashirikiana nao kumfunga miguu , Kisha yeye ( mwenye ng'ombe) anaenda kumkamua???

Serikali iwekeze kuendeleza bandari, Mbona Magufuli alirudusha Heshima ya Serikali na hata mianya ya Rushwa yalipungua alituma njia gani kufanya Monitoring? Seriously, Mbaya zaidi aliyeko kwenye hicho kiti ndiyo analiyekuwa kaimu wake.

Kwa nini kila waziri/ wabunge/ Vibaraka WA utawala kama wabunge wote pomoja na machawa kama Kitenge na wezio- walihongwa wanatetea issue ya Bandari kuna nini hapa?
 
Kwa ufahamu wangu mdogo, sheria(bila shaka ya manunuzi), inataka utaratibu wa kutangaza tender utumike na kisha wahusika waombe na mchujo ufanyike kwa kuzingqtia vigezo vilivyoweka then mshindi apatikane na atangazwe.

Saaa najiuliza huyu DP WORLD alishindanishwa na nani na tangazo la tender liliandikwa au kutolewa kwenye gazeti/ chombo gani cha habari?

Tunaomba majibu kutoka kwa wahusika.
 
Kwa ufahamu wangu mdogo, sheria(bila shaka ya manunuzi), inataka utaratibu wa kutangaza tender utumike na kisha wahusika waombe na mchujo ufanyike kwa kuzingqtia vigezo vilivyoweka then mshindi apatikane na atangazwe.

Saaa najiuliza huyu DP WORLD alishindanishwa na nani na tangazo la tender liliandikwa au kutolewa kwenye gazeti/ chombo gani cha habari?

Tunaomba majibu kutoka kwa wahusika.
Hawa ni wajomba wa Mama. Mjomba ni mama. Ulitaka tuwashindanishe wajomba?
 
Kwa ufahamu wangu mdogo, sheria(bila shaka ya manunuzi), inataka utaratibu wa kutangaza tender utumike na kisha wahusika waombe na mchujo ufanyike kwa kuzingqtia vigezo vilivyoweka then mshindi apatikane na atangazwe.

Saaa najiuliza huyu DP WORLD alishindanishwa na nani na tangazo la tender liliandikwa au kutolewa kwenye gazeti/ chombo gani cha habari?

Tunaomba majibu kutoka kwa wahusika.
Tuliwapa wajomba
 
Hujui sheria inatambua utaratibu wa single source?

Kwani zile shule zilizojengwa nchi nzima zilitangazwa tenda watu waombe?

Mnajitafanya mnajua kupost kumbe mnapost maujinga tu.
Unajua mazingira ya tender kutolewa kwa single source au umekalili madesa.
 
Kwa ufahamu wangu mdogo, sheria(bila shaka ya manunuzi), inataka utaratibu wa kutangaza tender utumike na kisha wahusika waombe na mchujo ufanyike kwa kuzingqtia vigezo vilivyoweka then mshindi apatikane na atangazwe.

Saaa najiuliza huyu DP WORLD alishindanishwa na nani na tangazo la tender liliandikwa au kutolewa kwenye gazeti/ chombo gani cha habari?

Tunaomba majibu kutoka kwa wahusika.
Kama walianza kusaini huko Dubai kwenye maonyesho ya Dubai Expo, kushindanishwa kungetekelezwa vipi?!
 
Kwa mkataba kama huu kqma tunafuata Sheria ya manunuzi tenda lazima ingetangazwa na mchujo kufanyika na hatimaye mshindi kupatikana kwa njia ya halali kabisa. Mimi nadhani wawe waungwana tu kuwa kazi hii haikutangazwa. Short and clear.
 
Hao waarabu walitoa rushwa wakapewa bandari zetu zote waziendeshe milele, Samia hili kosa alilofanya hatakaa apate heshima milele kwa watanganyika.
 
Hujui sheria inatambua utaratibu wa single source?

Kwani zile shule zilizojengwa nchi nzima zilitangazwa tenda watu waombe?

Mnajitafanya mnajua kupost kumbe mnapost maujinga tu.
Jibu swali lake kama una jibu, acha kuhamisha mjadala.
 
Back
Top Bottom