DP World walipatikanaje kama hatukuona tenda ikitangazwa?

Closed circuit/circus deal

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utaitwa Muhaini Bure!!
 
Waziri Mbarawa alisema Kuna makampuni 8 yalijitokeza, then Dpw akashinda tenda. Hakusema tenda ilitangazwa lini na wapi, wala hakusema tenda ilfunguliwa lini na wapi.
Kwenye mkataba inaonyesha Dpworld ilpatikana kufuatia ziara ya rais Dubai. (Contradiction)
Tunasikia habari za wabunge wanahabari, wasanii walienda/walipelekwa Dubai. Hawa sio wataalamu wa masuala ya bandari, wala miundombinu, wala masuala ya uwekezaji. Walienda Kwa gharama za nani na kwa nia gani, hilo ni fumbo kama like la gharama za Royal tour.
Inaonyesha kuna makandokando mengi.
 
Hili swali ukimuuliz mabarawa na waziri mkuu huwa wanakuwa n majibu tofauto kama vile ni serikal mbili tofauti
 
Hujui sheria inatambua utaratibu wa single source?

Kwani zile shule zilizojengwa nchi nzima zilitangazwa tenda watu waombe?

Mnajitafanya mnajua kupost kumbe mnapost maujinga tu.
expand...Waziri Mbarawa alisema Kuna makampuni 8 yalijitokeza, then Dpw akashinda tenda. Hakusema tenda ilitangazwa lini na wapi, wala hakusema tenda ilfunguliwa lini na wapi.
Kwenye mkataba inaonyesha Dpworld ilpatikana kufuatia ziara ya rais Dubai. (Contradiction)
Tunasikia habari za wabunge wanahabari, wasanii walienda/walipelekwa Dubai. Hawa sio wataalamu wa masuala ya bandari, wala miundombinu, wala masuala ya uwekezaji. Walienda Kwa gharama za nani na kwa nia gani, hilo ni fumbo kama like la gharama za Royal tour.
Inaonyesha kuna makandokando mengi.
 
Dp walipatikanaje????Walijuaje bandari ya DSM inatafutiwa MTU??? Ni maswahili yananisumbua sana akilini .....
Mbarawa: Tulishindanisha kampuni nane toka nchi tofauti
Pm: Mama alipoenda Dubai, akampata Dpw.
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kama wamefanya utaratibu wa single source ambao unaruhusiwa kisheria shida iko wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…