DP World wameachia Bandari? TPA yatangaza kutafuta Mzabuni kuhudumia Makasha katika Terminal II

Ngojea uone nani atashinda. Diipiiweee.
 
Atashinda huyo huyo waliyepuna pesa zake!😁.

Hii ni reverse cowgirl, yaani unampata mzabuni kwa head hunting approach halafu ndiyo unaigiza kutangaza zabuni na jina mkononi.
 
Wanarekebisha ila mshindi ni dp world
 
Wanarekebisha ila mshindi ni dp world
 
Acha nongwa na kijicho mtaje Lissu basi...

Btw nilishaleta uzi humu kuwa Samia ataachana na DP world!
 
Bunge gani limegomea serikali? Hili la Betina Tulia Ackson? Sema hivi serikali imesalimu amri imeondoa muswada yenyewe... hakuna kima yeyote mle bungeni wakugomea serikali kama spika mwenyewe yuko hovyo kiasi kile.
 
Hii ni inside trick ya walioko kwenye system ili kuzima hoja kwamba tenda haikutangazwa kwa mujibu wa sheria ya PPPR!

Hiyo ngiyo Tanzania [emoji1241]
Si inaonyesha tarehe ya leo lakini?
 
Wakiacha kutangaza tenda mtazua hoja..kwanini hamjatangaza?
..hivyo wameona wawalidhishe tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…