DP World wameachia Bandari? TPA yatangaza kutafuta Mzabuni kuhudumia Makasha katika Terminal II

DP World wameachia Bandari? TPA yatangaza kutafuta Mzabuni kuhudumia Makasha katika Terminal II

Kuna tangazo la tenda kutoka mamlaka ya bandari Tanzania ambalo limetolewa leo mwezi wa nane likiwataka wenye uwezo kuomba kuendesha gati namba 2 ya bandari iliyokuwa ikisemekana hapo kabla kuwa imechukuliwa na kampuni la DP world kutoka Dubai.

Je DP world wameachia?

Kama ni kweli, hongera sana Dk Slaa, wakili msomi Mwambukusi, Peter Madeleka, Mdude Nyagali na wengine wengi waliopambana na majizi ndani ya serikali yaliyokuwa yanauza bandari kimyakimya.

View attachment 2734362
Ngojea uone nani atashinda. Diipiiweee.
 
Atashinda huyo huyo waliyepuna pesa zake!😁.

Hii ni reverse cowgirl, yaani unampata mzabuni kwa head hunting approach halafu ndiyo unaigiza kutangaza zabuni na jina mkononi.
 
Kuna tangazo la tenda kutoka mamlaka ya bandari Tanzania ambalo limetolewa leo mwezi wa nane likiwataka wenye uwezo kuomba kuendesha gati namba 2 ya bandari iliyokuwa ikisemekana hapo kabla kuwa imechukuliwa na kampuni la DP world kutoka Dubai.

Je DP world wameachia?

Kama ni kweli, hongera sana Dk Slaa, wakili msomi Mwambukusi, Peter Madeleka, Mdude Nyagali na wengine wengi waliopambana na majizi ndani ya serikali yaliyokuwa yanauza bandari kimyakimya.

View attachment 2734362
Wanarekebisha ila mshindi ni dp world
 
Kuna tangazo la tenda kutoka mamlaka ya bandari Tanzania ambalo limetolewa leo mwezi wa nane likiwataka wenye uwezo kuomba kuendesha gati namba 2 ya bandari iliyokuwa ikisemekana hapo kabla kuwa imechukuliwa na kampuni la DP world kutoka Dubai.

Je DP world wameachia?

Kama ni kweli, hongera sana Dk Slaa, wakili msomi Mwambukusi, Peter Madeleka, Mdude Nyagali na wengine wengi waliopambana na majizi ndani ya serikali yaliyokuwa yanauza bandari kimyakimya.

View attachment 2734362
Wanarekebisha ila mshindi ni dp world
 
Kuna tangazo la tenda kutoka mamlaka ya bandari Tanzania ambalo limetolewa leo mwezi wa nane likiwataka wenye uwezo kuomba kuendesha gati namba 2 ya bandari iliyokuwa ikisemekana hapo kabla kuwa imechukuliwa na kampuni la DP world kutoka Dubai.

Je DP world wameachia?

Kama ni kweli, hongera sana Dk Slaa, wakili msomi Mwambukusi, Peter Madeleka, Mdude Nyagali na wengine wengi waliopambana na majizi ndani ya serikali yaliyokuwa yanauza bandari kimyakimya.

View attachment 2734362
Acha nongwa na kijicho mtaje Lissu basi...

Btw nilishaleta uzi humu kuwa Samia ataachana na DP world!
 
Hamna chochote cha kufurahia hapo, hiyo ni michezo ya Samia kutaka kuhalalisha kwamba mwarabu alipewa bandari baada ya taratibu zote kufuatwa.

Mwanzo walilazimisha kubadili sheria ili iwanufaishe waarabu, wakaona mambo magumu, bunge likagoma na serikali ikakubali yaishe.

Sasa wamekuja na hii mbinu ya kutanganza tender, kwasababu wengi walilalamika mwarabu amepewa bila kushindanishwa, hapo wanamtengenezea mazingira mwarabu ashinde ili wapate uhalali wa kumpa bandari.

Lakini pia, hata ukisoma objectives za IGA, mwarabu amepewa aendeshe bandari zote Tanganyika, tena kwa muda usiojulikana, hivyo hata kama hiyo terminal 2 akiendesha mwingine, itakuwa ni kwa muda tu, kwasababu hiyo terminal 2 bado ipo ndani ya bandari ya Dsm ambayo mwarabu ameshakabidhiwa milele, msidanganyike.

Serikali ya Samia inatakiwa kuvunja ule mkataba wa hovyo wa IGA walioingia na mwarabu, wasitudanganye kwa hii michezo ya kitoto wanayocheza, ni utapeli mtupu.
Bunge gani limegomea serikali? Hili la Betina Tulia Ackson? Sema hivi serikali imesalimu amri imeondoa muswada yenyewe... hakuna kima yeyote mle bungeni wakugomea serikali kama spika mwenyewe yuko hovyo kiasi kile.
 
Hii ni inside trick ya walioko kwenye system ili kuzima hoja kwamba tenda haikutangazwa kwa mujibu wa sheria ya PPPR!

Hiyo ngiyo Tanzania [emoji1241]
Si inaonyesha tarehe ya leo lakini?
 
Wakiacha kutangaza tenda mtazua hoja..kwanini hamjatangaza?
..hivyo wameona wawalidhishe tu.
 
Back
Top Bottom