DP World wameachia Bandari? TPA yatangaza kutafuta Mzabuni kuhudumia Makasha katika Terminal II

DP World wameachia Bandari? TPA yatangaza kutafuta Mzabuni kuhudumia Makasha katika Terminal II

Hii ni inside trick ya walioko kwenye system ili kuzima hoja kwamba tenda haikutangazwa kwa mujibu wa sheria ya PPPR!
Hiyo ngiyo Tanzania [emoji1241]
Wamechelewa, maana tarehe ya invitation na ya award zipo kinyume. Tayari watu wametunza kumbukumbu hii
 
Huko namba 8 mpaka 11 baada ya TICTS Kuondoka walipewa kampuni ya wahindi kuendesha kwa muda bila Tenda wanaitwa Addan Port Services. Walisema itatangazwa tenda rasmi kwa ajili ya muendeshaji mwingine
 
Tunawakumbusha tu TEC ,Profesa Tibaijuka, Kinana , GSM na wengine kuwa TPA wametoa tenda ya kuendesha bandari.

Kufuatia ule waraka wenu mliosa mmetumwa na watanzania sasa hapa ndipo tunataka waje wale wawekezaji wenu mliokuwa mnawasema kwenye ule waraka wenu wa ki intarahamwe kuwa kuwa watanzania wanaweza kufanya hii kazi.

Hatutaki mje kuanza kuwalaumu waarabu kwa haya mambo maana mmesema kuna watanzania wana uwezo,haya tangazo la kuitisha tenda hili hapa mkalisome makanisani kama mlivyousoma waraka ule ili wale mnaosema wana uwezo waje kuomba na wapewe kazi hii.
Mbona kama una muhali!!

Kwakuwa TICS wamekuwa wakifanya vizuri, wanaweza omba na kuendelea na KAZI ikiwa watashinda.
 
Kuna tangazo la tenda kutoka mamlaka ya bandari Tanzania ambalo limetolewa leo mwezi wa nane likiwataka wenye uwezo kuomba kuendesha gati namba 2 ya bandari iliyokuwa ikisemekana hapo kabla kuwa imechukuliwa na kampuni la DP world kutoka Dubai.

Je DP world wameachia?

Kama ni kweli, hongera sana Dk Slaa, wakili msomi Mwambukusi, Peter Madeleka, Mdude Nyagali na wengine wengi waliopambana na majizi ndani ya serikali yaliyokuwa yanauza bandari kimyakimya.

View attachment 2734362
Huna ujualo wewe.
Hiyo inatangazwa kutimiza matakwa ya sheria tu, lkn mwisho wa siku Dp World ndo atatangazwa mshindi
 
Mambo yanaenda kinyumenyume. Tulianza kwa kusaini mkataba kati yetu na mkandarasi, tukaja kuomba ridhaa bungeni (ili mkataba baina yetu na mkandarasi usainiwe), tumemaliza na kutangaza tenda (ili tumpate mkandarasi)
 
Tunawakumbusha tu TEC ,Profesa Tibaijuka, Kinana , GSM na wengine kuwa TPA wametoa tenda ya kuendesha bandari.

Kufuatia ule waraka wenu mliosa mmetumwa na watanzania sasa hapa ndipo tunataka waje wale wawekezaji wenu mliokuwa mnawasema kwenye ule waraka wenu wa ki intarahamwe kuwa kuwa watanzania wanaweza kufanya hii kazi.

Hatutaki mje kuanza kuwalaumu waarabu kwa haya mambo maana mmesema kuna watanzania wana uwezo,haya tangazo la kuitisha tenda hili hapa mkalisome makanisani kama mlivyousoma waraka ule ili wale mnaosema wana uwezo waje kuomba na wapewe kazi hii.
Povu la kiustadh hili. Na ninyi andaeni waraka wa kumpinga mkandarasi atakayeshinda tenda, msisubiri TEC watoe waraka na nyie mkurupuke kuwapinga
 
Huna ujualo wewe.
Hiyo inatangazwa kutimiza matakwa ya sheria tu, lkn mwisho wa siku Dp World ndo atatangazwa mshindi
Bado itakuwa ni ushindi, maana document ya tenda itakuja na mkataba mzuri, sio ule alioutengeneza yeye. Kumbuka watu tunapinga nkataba, sio uwekezaji. Akili itawakaa sawa tu
 
Kuna tangazo la tenda kutoka mamlaka ya bandari Tanzania ambalo limetolewa leo mwezi wa nane likiwataka wenye uwezo kuomba kuendesha gati namba 2 ya bandari iliyokuwa ikisemekana hapo kabla kuwa imechukuliwa na kampuni la DP world kutoka Dubai.

Je DP world wameachia?

Kama ni kweli, hongera sana Dk Slaa, wakili msomi Mwambukusi, Peter Madeleka, Mdude Nyagali na wengine wengi waliopambana na majizi ndani ya serikali yaliyokuwa yanauza bandari kimyakimya.

View attachment 2734362

Tukisema watz ni wapumbavu kwa kukurupuka mnasema sie ni machawa [emoji28][emoji28]mda hua unasema kweli mdogo mdogo mtajua hao kina slaa ni wahuni
 
Haya sasa nafasi zipo wazi terminal II, muwahi msije baadae kusema tangazo halikutolewa muanze kulaumu DP WORLD.

View attachment 2734429
Kwa wiki mbili utakuwa unapoteza wakati wako. Hamna mahali wametaja tender documents zinapatikana wapi. Na kwa kitu kama hiki walitakiwa waanze kwa kurabisha expressions of interest ili wachuje wale wasio na uweza. Hii ina walakin.

Amandla...
 
Back
Top Bottom