green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Kichwa kikubwa ubongo wa sisimiziUko sahihi popoma. Bongo ina uhaba mkubwa wa wananchi wanaojielewa. Ukitoa makundi yafuatayo unaweza kukuta hata hao wanaojitambua 50k hawafiki;
1. Wafuasi wa Da Mange.
2. Wafuasi wa Mdude Chadema.
3. Wafuasi wa Dr Babutale.
4. Wafuasi wa manabii feki.
Rwanda mna bandari we mkimbiziYaani DP World wawepo hadi nchi kubwa ya watu wanaojitambua Duniani ya Uingereza halafu Waswahili wa Tanzania tuikatae?
Taratibu sasa naanza kuamini kuwa huenda Taifa letu lina bahati ya kuwa na population kubwa ya watu Milioni 61 na Vyuo Vikuu vingi ila wanaojielewa hasa wakawa hawazidi hata elfu hamsini (50,000).
Yaani DP World ashindwe kuharibu nchi ya Uingereza aliyomo (kiuwekezaji wa bandari) na nchi zingine 36 halafu akija Uswahilini Tanzania asiweze kufanya vyema huko aliko na alikofanya vyema?
DP World wapewe bandari tafadhali.
Mmebadili gia angani? Mkataba wa kuuza bandari mliupata wap?Hakuna mtu asie wataka , watu wanachokataa ni aina ya mkataba wake na Tz, kaangalie hu mkataba wa UK kama n wakifisadi kama wetu
umewaambia ukweliYaani DP World wawepo hadi nchi kubwa ya watu wanaojitambua Duniani ya Uingereza halafu Waswahili wa Tanzania tuikatae?
Taratibu sasa naanza kuamini kuwa huenda Taifa letu lina bahati ya kuwa na population kubwa ya watu Milioni 61 na Vyuo Vikuu vingi ila wanaojielewa hasa wakawa hawazidi hata elfu hamsini (50,000).
Yaani DP World ashindwe kuharibu nchi ya Uingereza aliyomo (kiuwekezaji wa bandari) na nchi zingine 36 halafu akija Uswahilini Tanzania asiweze kufanya vyema huko aliko na alikofanya vyema?
DP World wapewe bandari tafadhali.
We endelea na hizi mbanga, tutakuvua cheo cha upopoma with immediate effect😆Yaani DP World wawepo hadi nchi kubwa ya watu wanaojitambua Duniani ya Uingereza halafu Waswahili wa Tanzania tuikatae?
Taratibu sasa naanza kuamini kuwa huenda Taifa letu lina bahati ya kuwa na population kubwa ya watu Milioni 61 na Vyuo Vikuu vingi ila wanaojielewa hasa wakawa hawazidi hata elfu hamsini (50,000).
Yaani DP World ashindwe kuharibu nchi ya Uingereza aliyomo (kiuwekezaji wa bandari) na nchi zingine 36 halafu akija Uswahilini Tanzania asiweze kufanya vyema huko aliko na alikofanya vyema?
DP World wapewe bandari tafadhali.
St Augustine Mwanza!Nimegundua wewe Ni mweupe Sana kichwani au ni chawa fuata mkumbo.
Unadhani masharti ya kule uingerezani ndio haya ya huku?
Issue sio kutowataka DP acha kuchanganya mambo...watu wanahoji namna mkataba ulivyo na mashariti yake ikiwemo duration sawa?....wewe umeuona mkataba wa DP na UK?....Yaani DP World wawepo hadi nchi kubwa ya watu wanaojitambua Duniani ya Uingereza halafu Waswahili wa Tanzania tuikatae?
Taratibu sasa naanza kuamini kuwa huenda Taifa letu lina bahati ya kuwa na population kubwa ya watu Milioni 61 na Vyuo Vikuu vingi ila wanaojielewa hasa wakawa hawazidi hata elfu hamsini (50,000).
Yaani DP World ashindwe kuharibu nchi ya Uingereza aliyomo (kiuwekezaji wa bandari) na nchi zingine 36 halafu akija Uswahilini Tanzania asiweze kufanya vyema huko aliko na alikofanya vyema?
DP World wapewe bandari tafadhali.
Yaani DP World wawepo hadi nchi kubwa ya watu wanaojitambua Duniani ya Uingereza halafu Waswahili wa Tanzania tuikatae?
Taratibu sasa naanza kuamini kuwa huenda Taifa letu lina bahati ya kuwa na population kubwa ya watu Milioni 61 na Vyuo Vikuu vingi ila wanaojielewa hasa wakawa hawazidi hata elfu hamsini (50,000).
Yaani DP World ashindwe kuharibu nchi ya Uingereza aliyomo (kiuwekezaji wa bandari) na nchi zingine 36 halafu akija Uswahilini Tanzania asiweze kufanya vyema huko aliko na alikofanya vyema?
DP World wapewe bandari tafadhali.
Tatizo MKATABA....Yaani DP World wawepo hadi nchi kubwa ya watu wanaojitambua Duniani ya Uingereza halafu Waswahili wa Tanzania tuikatae?
Taratibu sasa naanza kuamini kuwa huenda Taifa letu lina bahati ya kuwa na population kubwa ya watu Milioni 61 na Vyuo Vikuu vingi ila wanaojielewa hasa wakawa hawazidi hata elfu hamsini (50,000).
Yaani DP World ashindwe kuharibu nchi ya Uingereza aliyomo (kiuwekezaji wa bandari) na nchi zingine 36 halafu akija Uswahilini Tanzania asiweze kufanya vyema huko aliko na alikofanya vyema?
DP World wapewe bandari tafadhali.
👍💯Issue sio kutowataka DP acha kuchanganya mambo...watu wanahoji namna mkataba ulivyo na mashariti yake ikiwemo duration sawa?....wewe umeuona mkataba wa DP na UK?....
Punguza mdomo....fuatilia mambo kabla ya kukurupuka
SawasawaDpw hawawezi kuiharibu UK kwa kuwa si mbumbumbu, na mifumo (sheria)yao inajisimamia. Mkataba wetu unaona dhahiri, dpw wanatoa maagizo, sisi hatuonekani hata kutoa maagizo kwao.
Bado hakuna mkataba wa DP World, kama wewe unao tuwekee.
Hio mkataba wa DPW wa uendeshaji bandari uko wapi?Dpw hawawezi kuiharibu UK kwa kuwa si mbumbumbu, na mifumo (sheria)yao inajisimamia. Mkataba wetu unaona dhahiri, dpw wanatoa maagizo, sisi hatuonekani hata kutoa maagizo kwao.
Toka lini muuzaji akatoa maagizo kwa mnunuzi ? Ulisikia wapi ?Dpw hawawezi kuiharibu UK kwa kuwa si mbumbumbu, na mifumo (sheria)yao inajisimamia. Mkataba wetu unaona dhahiri, dpw wanatoa maagizo, sisi hatuonekani hata kutoa maagizo kwao.
Acha UJINGA terms and conditions za UK na TZ unazijua?😡😡😡Yaani DP World wawepo hadi nchi kubwa ya watu wanaojitambua Duniani ya Uingereza halafu Waswahili wa Tanzania tuikatae?
Taratibu sasa naanza kuamini kuwa huenda Taifa letu lina bahati ya kuwa na population kubwa ya watu Milioni 61 na Vyuo Vikuu vingi ila wanaojielewa hasa wakawa hawazidi hata elfu hamsini (50,000).
Yaani DP World ashindwe kuharibu nchi ya Uingereza aliyomo (kiuwekezaji wa bandari) na nchi zingine 36 halafu akija Uswahilini Tanzania asiweze kufanya vyema huko aliko na alikofanya vyema?
DP World wapewe bandari tafadhali.
Bi mkubwa hapo Ontario ni saa ngapi😎 kwanini hukutorokea Oman au SaudiaHio mkataba wa DPW wa uendeshaji bandari uko wapi?
Chawa wote walikua watu wa 'sup' nyingi na mwisho waliondoka na GPA ya below 3.0St Augustine Mwanza!
Chawa hatumii akili. Yeye Ni kusifu na kuabudu tu.Acha UJINGA terms and conditions za UK na TZ unazijua?😡😡😡