Dallas green
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 1,377
- 2,800
Kumahh tuTumia fursa hiyo, kaanzishe wewe bandari kavu, mbona wengi wanazo Dar?
Tena vigezo vyake ni kawaida tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumahh tuTumia fursa hiyo, kaanzishe wewe bandari kavu, mbona wengi wanazo Dar?
Tena vigezo vyake ni kawaida tu.
Ebj njoo PM tusemezane mrembo...😍Faragha unataka kunibaka, akaaa, mie simo.
Si ndo hapo tunachelewa.Na kuua ile dry port ilikuwa inataka kufunguliwa Zambia karibu na Mazabuka kwa ushirika wa Zambia, Malawi na Mozambique.
Mimi sitaki TICS wala DP World, minakutaka wewe mnyange binti mrembo kabisa....😍Umechelewa jamvini karamu imeshaliwa.
Mambo ni DP World tu, nani anataka TICTS?
Wakipewa wataondoa Ile foleni sababu ya utindio wetu wa ubongo.boda kubwa unakuawaje na njia moja utadhani ya mnazi mmojaWakipaweza tunduma, watakua wameepusha usumbufu wanaopata madereva kwa asilimia zaidi ya 70! Maana huko kwa sasa nasikia kuna foleni haina mwenyewe na ishu ni scanner
[emoji41][emoji41] Ushimen hujawahi kata tamaa na Mrembo wakoMimi sitaki TICS wala DP World, minakutaka wewe mnyange binti mrembo kabisa....[emoji7]
Huyu mtoto ananikosesha usingizi mkuu...🤣🤣[emoji41][emoji41] Ushimen hujawahi kata tamaa na Mrembo wako
Unauzungumziaje mkataba wa bandari shostiKipekee, korido mpya za biashara za kidijitali zilizoundwa na DUBUY.com zitasaidiwa na korido halisi ambazo DP World imejenga katika bara zima la Afrika, ikiwa ni pamoja na bandari, vituo na shughuli za usafirishaji.
Niliouona ni mkataba wa mahusiano baina ya nchi na nchi, bado sijauona mkataba wa kuendesha bandari.Unauzungumziaje mkataba wa bandari shosti
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] pambana mwenzio anaangalia fursa za bandariHuyu mtoto ananikosesha usingizi mkuu...[emoji1787][emoji1787]
Tayari wamewekeza Kigali na mizigo itasambazwa hukoDP world wawahi Wachangamkie waende tunduma border lipo eneo wakajenge Freeport pale kuziwini bandari za Angola,Congo na South Africa ili kuteka soko la Central and Southern Africa,sisi hatuwezi
Unaonaje kama tungewatumia wao kuwajengea uwezo watu wetu ili nasi mbele ya safari tukaendeshe bandari za wengineKama tumekubaliana watuendeshee bandari zetu kwa win win situation basi ni jambo jema sana. Mradi mikataba ya uendeshaji tuiandae vizuri, kila muhusika afaidike.
USD 720 = TZS 1,728,000/=ukiitwa kwenye fursa jua wewe ndie fursa mwenyewe. Yaani haya makorokocho yanauzwa kwa bei hiyo?View attachment 2658478
Kitu mnachishindwa kuelewa ni falsafa, ya uwepo wa DP World. Hii DUBUY kwa kuwa ni moja ya biashara za DP World, immediately imeanzisha kazi Tanzania hata kabla ya DP kuanza kazi kwa 100%USD 720 = TZS 1,728,000/=
Point kwa sisi watanzania hiyo dubuy iuze vitu kwa Bei ya chini Kama masoko ya China sio Bei za mafisadi ununue kiti Milioni moja huo Ni uwong,tujiulize watanzania wangapi wanamudu hayo mabei?Kitu mnachishindwa kuelewa ni falsafa, ya uwepo wa DP World. Hii DUBUY kwa kuwa ni moja ya biashara za DP World, immediately imeanzisha kazi Tanzania hata kabla ya DP kuanza kazi kwa 100%
Sasa fikiri wana biashara ngapi zingine na wana wabia nabwashirika wangapi wengine wataoipaparikia Tanzani?
Wewe jqa kiwango chako unayaona hayo walioweka ni ghali sana, lakini biashara zina targeted market, wapo wanaoona hsyi binkawaida kabisa.
Wakati huo huo wanalisoma soko letu, wakishalijuwa nnauhakika wartatupatia vile ambavyo vinaendana na uchumi wetu.
Hao ni wafsnys biadhara wenye uzoefu kuliko yeyote haoa kwetu.
Hujawahi kuisikia Dubai? Soko kubwa la Kimataifa linalo hudumia kuanzia matajiri wakubwa kabisa dunia mpaka akina sisi?
Pitia hivyo vitu vya DUBUY vitakupa picha ya watu wanaishi vipi, kuna uwezekano na wewe utahamasika ufikie viwango hivyo, uondokane na mitumba.
Angola wana bandari yaoDP world wawahi Wachangamkie waende tunduma border lipo eneo wakajenge Freeport pale kuziwini bandari za Angola,Congo na South Africa ili kuteka soko la Central and Southern Africa,sisi hatuwezi