DP World: Zungu atinga mkutanoni na mafaili ya makubaliano

DP World: Zungu atinga mkutanoni na mafaili ya makubaliano

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
Akizungumza na wananchi wa jimbo lake(Ilala), Mussa Azan Zungu amesema haya ni makubaliano ya Tz na UAE sio mkataba na DP-World. Amesema mkataba ukishapita ndipo Tz itaingia mkataba na DP-World ambapo ndipo wataenda kuweka mbele maslahi ya nchi sio sasa kwenye IGA(Inter Government Agreement)

Amesema Tz itakapoingia mkataba na DP-World ndipo sheria za ndani zitakapotumika. Hivyo ametaka wananchi wa Ilala wawapuuze wanaopinga mkataba huo.
 
Zungu ni mpotoshaji

Anasema mkataba haujaanza utekelezaji, kwamba yale makubaliano waliyoingia serikali na DP World ni ya mwanzo, hivyo wabara wasiogope, kwamba watakapokwenda kwenye mkataba halisi ndio wataingiza maslahi ya taifa!.

Kwanza nafurahi Zungu kukiri kwenye makubaliano ya mwanzo hakuna maslahi ya wabara, pia, kwasababu hao waarabu wameshaanza shughuli zao tangu October 2022, maana yake ni kwamba, wanatumia makubaliano waliyoingia mwanzo na serikali ambapo Zungu anakiri wabara hatuna chetu.

Hivyo mkataba kati ya DP World na serikali ya Tanzania, kwa kuahirikiana na bunge la Tulia, ni unyonyaji na ukoloni mamboleo kwa wabara, walaaniwe wote waliotupeleka utumwani Dubai.
 
Jioneeni👇🏾




Mama anaupiga mwingi Kimataifa.

===
Akizungumza na wananchi wa jimbo lake, Mussa Azan amesema haya ni makubaliano ya Tz na UAE sio mkataba na DP-World. Amesema mkataba ukishapita ndipo Tz itaingia mkataba na DP-World ambapo ndipo wataenda kuweka mbele maslahi ya nchi sio sasa kwenye IGA(Inter Government Agreement)

Amesema Tz itakapoingia mkataba na DP-World ndipo sheria za ndani zitakapotumika. Hivyo ametaka wananchi wa Ilala wawapuuze wanaopinga mkataba huo.
 
Wilaya ya Ilala, Kariakoo Dar es Salaam wakazi wake wapatao 5,000 kuondolewa katika majengo Kariakoo, nani yupo nyuma ya mradi huu mkubwa wa kuvunja majengo yanayoitwa chakavu Mh. Musa Azzan Zungu ?

Wakaazi wa Kariakoo wajiuliza notisi hii kwa mamia na maelfu huku mikataba, hati za umiliki nyumba na apartments walizonazo wananchi zikipuuzwa - je spidi yake nani yupo nyuma yake Mh. Zungu mbunge wa Ilala?

 
Kariakoo Dar es Salaam wakazi wake wapatao 5,000 kuondolewa katika majengo , nani yupo nyuma ya mradi huu mkubwa wa kuvunja majengo yanayoitwa chakavu Mh. Musa Azzan Zungu ?

Wakaazi wa Kariakoo wajiuliza notisi hii kwa mamia na maelfu spidi yake nani yupo nyuma yake Mh. Zungu


Hautaki maendeleo? unataka nyumba alizodhulumu watu Nyerere zibaki mpaka leo na uchakavu wake?

Hilo ni zoezi la Tanzania nzima, kama ulikuwa huelewi, hapo ni mwanzo tu. Tu nashukuru serikali kuliona hilo la kufuta kabisa makovu yote ya dhulma za Nyerere.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Sabal'kheri chawa wa mama!
Saa hizi ni masaa al kheir.

Tumpe Mama Samia mauwa yake kwa hili la Bandari.

Mama Samia, kwa upendo, heshima na taadhima pokea mauwa yako👇🏾


1687020317429.png



Mama Samia anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Back
Top Bottom