DP World: Zungu atinga mkutanoni na mafaili ya makubaliano

DP World: Zungu atinga mkutanoni na mafaili ya makubaliano

Hivi nini tofauti ya MKATABA na MAKUBALIANO?

Je, si kwamba MKATABA ni makubaliano ya pande mbili
na MAKUBALIANO ndiyo yanayoitwa mkataba?

Kama ndiyo hivyo, hawa wanasiasa wanataka ku - achieve nini kujaribu kuwafanya wananchi kama vile wajinga?

Kimsingi kilichopitishwa na bunge juzi ni Makubaliano kwa maana ya MKATABA mama kati ya kampuni ya DP World na Serikali ya Tanzania kuwaruhusu wachukue bandari zetu zote za bahari na maziwa makuu yote ya nchi ya Tanganyika na kuacha bandari za Zanzibar zote..!

Konachopingwa na watu sio makaratasi bali ni "intent" ya mkataba huo na "content" ktk vingi vya vifungu vyake, kwamba MKATABA huu intention yake ni kuiuza Tanganyika Kwa waarabu wa Dubai!!
Ikiwa wewe unajuwa, kwanini tena unauliza swali?

Wewe baki na navyojuwa na sisi tuwache tubaki na tunavyojuwa. Lakini jipume nafanikio, yako wewe na ya hao unaoona hawajuwi. Utapata jibu.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Zaidi ya uchawi pia ni mchawi, halafu alikuwa anauza unga, akapumzika Magufuli alivyoshika nchi, nadhani kwa utawala huu utarudia mambo yake
 
Jioneeni👇🏾




Mama anaupiga mwingi Kimataifa.

===
Akizungumza na wananchi wa jimbo lake, Mussa Azan amesema haya ni makubaliano ya Tz na UAE sio mkataba na DP-World. Amesema mkataba ukishapita ndipo Tz itaingia mkataba na DP-World ambapo ndipo wataenda kuweka mbele maslahi ya nchi sio sasa kwenye IGA(Inter Government Agreement)

Amesema Tz itakapoingia mkataba na DP-World ndipo sheria za ndani zitakapotumika. Hivyo ametaka wananchi wa Ilala wawapuuze wanaopinga mkataba huo.

adeal kwanza na soko lake jeusi la ilala
 
Hautaki maendeleo? unataka nyumba alizodhulumu watu Nyerere zibaki mpaka leo na uchakavu wake?

Hilo ni zoezi la Tanzania nzima, kama ulikuwa huelewi, hapo ni mwanzo tu. Tunataka. Kufuta kabisa makovu yote ya dhulma za Nyerere.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Stay in your idiotry as long as your curse is not inherited by others.
 
Zaidi ya uchawi pia ni mchawi, halafu alikuwa anauza unga, akapumzika Magufuli alivyoshika nchi, nadhani kwa utawala huu utarudia mambo yake
Muongo. Wakuja wewe utamjuwaje zungu?

Ma shaa Allah, Zungu ni moja katika watu wenye ubora wa hali ya juu Tanzania hii.
 
Saa hizi ni masaa al kheir.

Tumpe Mama Samia mauwa yake kwa hili la Bandari.

Mama Samia, kwa upendo, heshima na taadhima pokea mauwa yako👇🏾


View attachment 2660603


Mama Samia anaupiga mwingi Kimataifa.
Rais Samia Ni zawadi kwetu watanzania tunayopaswa kujivunia kuwa nayo hapa nchini,Watu na viongozi aina ya Rais Samia hawazaliwi kila siku na hawapatikani kila mahali,huja Kama zawadi na huja na Neema mkononi kwa mamilioni ya watu,huja Kama nuru katikati ya Giza,huja Kama Tumaini kwa waliokata Tamaa,huja Kama Faraja kwa wabubijikwao na machozi.
 
Jioneeni👇🏾




Mama anaupiga mwingi Kimataifa.

===
Akizungumza na wananchi wa jimbo lake, Mussa Azan amesema haya ni makubaliano ya Tz na UAE sio mkataba na DP-World. Amesema mkataba ukishapita ndipo Tz itaingia mkataba na DP-World ambapo ndipo wataenda kuweka mbele maslahi ya nchi sio sasa kwenye IGA(Inter Government Agreement)

Amesema Tz itakapoingia mkataba na DP-World ndipo sheria za ndani zitakapotumika. Hivyo ametaka wananchi wa Ilala wawapuuze wanaopinga mkataba huo.

 
Jioneeni👇🏾




Mama anaupiga mwingi Kimataifa.

===
Akizungumza na wananchi wa jimbo lake, Mussa Azan amesema haya ni makubaliano ya Tz na UAE sio mkataba na DP-World. Amesema mkataba ukishapita ndipo Tz itaingia mkataba na DP-World ambapo ndipo wataenda kuweka mbele maslahi ya nchi sio sasa kwenye IGA(Inter Government Agreement)

Amesema Tz itakapoingia mkataba na DP-World ndipo sheria za ndani zitakapotumika. Hivyo ametaka wananchi wa Ilala wawapuuze wanaopinga mkataba huo.
 

Attachments

  • IMG_0667.MP4
    1.4 MB
  • IMG_0666.MP4
    2.8 MB
  • IMG_0644.MP4
    11.8 MB
Mtanikumbuka
 

Attachments

  • IMG_0547.MP4
    3.4 MB
  • AB9C972C-F91A-45A2-87E6-51BCD5C40291.jpeg
    AB9C972C-F91A-45A2-87E6-51BCD5C40291.jpeg
    32 KB · Views: 3
  • 94197970-2575-4EFD-9723-9E1C2A548340.jpeg
    94197970-2575-4EFD-9723-9E1C2A548340.jpeg
    75.7 KB · Views: 3
  • 4C0CEC6F-8239-4B44-BE93-3810861BDBD7.jpeg
    4C0CEC6F-8239-4B44-BE93-3810861BDBD7.jpeg
    131.1 KB · Views: 4
  • 8D3AB945-D2CE-4D0F-B494-E0901DAB9ED4.jpeg
    8D3AB945-D2CE-4D0F-B494-E0901DAB9ED4.jpeg
    55.3 KB · Views: 4
Rais Samia Ni zawadi kwetu watanzania tunayopaswa kujivunia kuwa nayo hapa nchini,Watu na viongozi aina ya Rais Samia hawazaliwi kila siku na hawapatikani kila mahali,huja Kama zawadi na huja na Neema mkononi kwa mamilioni ya watu,huja Kama nuru katikati ya Giza,huja Kama Tumaini kwa waliokata Tamaa,huja Kama Faraja kwa wabubijikwao na machozi.
Dah, umenitowa machozi.

Ukitazama ya kkna mbowe ya masheikh, ya walioikimbia nchi, ya waluofukuzwa kazi bila kufatwasheria, ya plea bargain, ya..ya...ya....

Na mama alivyiwarudishia uhai na matumaini ndani ya muda mchache wa utawala wake.

Ma shaa Allah kweli Mama ni tunu na zawadi adimu kutoka Mwenyezi Mungu kwa Taifa letu.



Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Amesema mkataba ukishapita ndipo Tz itaingia mkataba na DP-World ambapo ndipo wataenda kuweka mbele maslahi ya nchi sio sasa kwenye IGA(Inter Government Agreement)
Huku ni kutapatapa kwingi na kupotosha.
Huo mkataba wa IGA hauna maana yoyote? Kwa nini waliingia mkataba huo kama hauna maana.

Huo mkataba wa IGA una makubaliano gani waliyokubaliana na yote hayana athari zozote kwa Tanzania?
Kama huo mkataba wa IGA hauna madhara yoyote, kwa nini upelekwe Bungeni kupoteza muda wa wabunge na jambo lisilokuwa na athari yoyote kwa nchi

Hiyo mikataba ya DP World, ikishindikana kukubaliana juu ya hiyo mikataba, mambo yataishia hapo na kuwaambia hatuwezi kufanya kazi nao waondoke waende zao, tutatafuta watu wengine wa kufanya nao kazi hizo?

Mnahangaika sana na huu mkataba na kufanya kila muwezalo kuwalaza akili watu, lakini hamtafanikiwa.
 
Back
Top Bottom