KotelaMamba
JF-Expert Member
- Apr 8, 2020
- 701
- 1,241
Zaidi ya kuuziwa kwa manufaa yao hakuna jingine!!Mbona Mbowe ana biashara zake huko Dubai?
refer: Loliondo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zaidi ya kuuziwa kwa manufaa yao hakuna jingine!!Mbona Mbowe ana biashara zake huko Dubai?
🤣🤣🤣 wanajaribu kupotosha kilichoandikwa.Naona huelewi maana ya mikataba ya IGA na HGA. Ukiilewa hutouliza tena hilo swali. Isikilize hiyo video clip iliyopo post namba moja, naibu spika anatowa darsa kuhusu ni nini IGA na nini HGA.
Mama Samia anaupiga mwingi Kimataifa.
Wewe mwenyewe ni Mama hovyo. Mtu hovyo atawajuaje watu wenye ubora?Muongo. Wakuja wewe utamjuwaje zungu?
Ma shaa Allah, Zungu ni moja katika watu wenye ubora wa hali ya juu Tanzania hii.
Nakusifia ulivyofikia kiwango cha juu cha idiotry.Sifahamu ulichokiandika. Unantukana au unansifia?
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Angeuziwa mchina basi😂😂Zaidi ya kuuziwa kwa manufaa yao hakuna jingine!!
refer: Loliondo
Madam naomba penyeza jina langu kwenye teuzi za ukurugenzi wa taasisi yoyote inahusu mafuta na gesi tuendelee kunywa asali.Saa hizi ni masaa al kheir.
Tumpe Mama Samia mauwa yake kwa hili la Bandari.
Mama Samia, kwa upendo, heshima na taadhima pokea mauwa yako👇🏾
View attachment 2660603
Mama Samia anaupiga mwingi Kimataifa.
Hujambo mchumba...!!😊Naona hujayasikia yaliyoongewa hapo. Roho mbaya tu, unaacha hoja unaanza ya uzee. Fala kweli wewe.
Utakufa nacho kijiba cha roho.
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Tuwe wakweli wa nafsi. Mama alikuja na ushetani wa hali ya juu, hata akawaweka watu ndani na kuwasingizia kesi za ugaidi akishirikiana na akina Kingai.Rais Samia Ni zawadi kwetu watanzania tunayopaswa kujivunia kuwa nayo hapa nchini,Watu na viongozi aina ya Rais Samia hawazaliwi kila siku na hawapatikani kila mahali,huja Kama zawadi na huja na Neema mkononi kwa mamilioni ya watu,huja Kama nuru katikati ya Giza,huja Kama Tumaini kwa waliokata Tamaa,huja Kama Faraja kwa wabubijikwao na machozi.
Mbona ww nikikufasiri na kukutafakari namwona Samia...au ww ndo Samia?Kwa rangi yake, toto la Kariakoo hilo.
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Fasiri upendvyo, upo huru.Mbona ww nikikufasiri na kukutafakari namwona Samia...au ww ndo Samia?
Kibandari pia yuko vizuriFasiri upendvyo, upo huru.
Mama Samia anaupiga mwingi Kimataifa.
Ila hujajibu swali ...Fasiri upendvyo, upo huru.
Mama Samia anaupiga mwingi Kimataifa.
Wote hapo kwenye Meza kuu wanapopoma utopolo shida ni njaa zao na matumbo Yao kinyume cha hapo hamna kitu! Haiwezekani wote wanania Moja ya kuipeleka Tanzania mbele!Jioneeni[emoji1484]
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
===
Akizungumza na wananchi wa jimbo lake, Mussa Azan amesema haya ni makubaliano ya Tz na UAE sio mkataba na DP-World. Amesema mkataba ukishapita ndipo Tz itaingia mkataba na DP-World ambapo ndipo wataenda kuweka mbele maslahi ya nchi sio sasa kwenye IGA(Inter Government Agreement)
Amesema Tz itakapoingia mkataba na DP-World ndipo sheria za ndani zitakapotumika. Hivyo ametaka wananchi wa Ilala wawapuuze wanaopinga mkataba huo.
Wewe una roho nzuri? Mitano tena 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Naona hujayasikia yaliyoongewa hapo. Roho mbaya tu, unaacha hoja unaanza ya uzee. Fala kweli wewe.
Utakufa nacho kijiba cha roho.
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Jioneeni👇🏾
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
===
Akizungumza na wananchi wa jimbo lake, Mussa Azan amesema haya ni makubaliano ya Tz na UAE sio mkataba na DP-World. Amesema mkataba ukishapita ndipo Tz itaingia mkataba na DP-World ambapo ndipo wataenda kuweka mbele maslahi ya nchi sio sasa kwenye IGA(Inter Government Agreement)
Amesema Tz itakapoingia mkataba na DP-World ndipo sheria za ndani zitakapotumika. Hivyo ametaka wananchi wa Ilala wawapuuze wanaopinga mkataba huo.
Duh. Mchunba aliyekubuhu!Hujambo mchumba...!!😊