DP World: Zungu atinga mkutanoni na mafaili ya makubaliano

DP World: Zungu atinga mkutanoni na mafaili ya makubaliano

Akizungumza na wananchi wa jimbo lake(Ilala), Mussa Azan Zungu amesema haya ni makubaliano ya Tz na UAE sio mkataba na DP-World. Amesema mkataba ukishapita ndipo Tz itaingia mkataba na DP-World ambapo ndipo wataenda kuweka mbele maslahi ya nchi sio sasa kwenye IGA(Inter Government Agreement)

Amesema Tz itakapoingia mkataba na DP-World ndipo sheria za ndani zitakapotumika. Hivyo ametaka wananchi wa Ilala wawapuuze wanaopinga mkataba huo.
yuko sahihi Zungu hawezi kuwa poyoyo km wengine humu.
 
Akizungumza na wananchi wa jimbo lake(Ilala), Mussa Azan Zungu amesema haya ni makubaliano ya Tz na UAE sio mkataba na DP-World. Amesema mkataba ukishapita ndipo Tz itaingia mkataba na DP-World ambapo ndipo wataenda kuweka mbele maslahi ya nchi sio sasa kwenye IGA(Inter Government Agreement)

Amesema Tz itakapoingia mkataba na DP-World ndipo sheria za ndani zitakapotumika. Hivyo ametaka wananchi wa Ilala wawapuuze wanaopinga mkataba huo.
Kwa hiyo kwenye makubaliano hatuna sababu ya kuwa makini? Hayo makubiano si ndiyo msingi wa mikataba itakayofuata? Kwanini Zanzibar haipo?
 
Akizungumza na wananchi wa jimbo lake(Ilala), Mussa Azan Zungu amesema haya ni makubaliano ya Tz na UAE sio mkataba na DP-World.
Hayo Makubaliano si ndio litakuwa zao la Mkataba ? Au Mnakubaliana mengine alafu Mkataba mnaweka Mengine ? Ni nani atakayechunguza tena kama Mkataba una maslahi ya Taifa au ndio yaleyale ya Mikabata iliyopita ? Kwanini kwenye Makubaliano tusiondoe sintofahamu yoyote ?
Amesema mkataba ukishapita ndipo Tz itaingia mkataba na DP-World ambapo ndipo wataenda kuweka mbele maslahi ya nchi sio sasa kwenye IGA(Inter Government Agreement)
Kwahio kwenye Makubaliano hawakuweka mbele maslahi ya nchi
Amesema Tz itakapoingia mkataba na DP-World ndipo sheria za ndani zitakapotumika. Hivyo ametaka wananchi wa Ilala wawapuuze
Kwanini Makubaliano yasiangalie Sheria za ndani zinataka nini ? Why waste Time ?
wanaopinga mkataba huo.
Nilidhani huu sio Mkataba ni Makubaliano ?
 
Akizungumza na wananchi wa jimbo lake(Ilala), Mussa Azan Zungu amesema haya ni makubaliano ya Tz na UAE sio mkataba na DP-World. Amesema mkataba ukishapita ndipo Tz itaingia mkataba na DP-World ambapo ndipo wataenda kuweka mbele maslahi ya nchi sio sasa kwenye IGA(Inter Government Agreement)

Amesema Tz itakapoingia mkataba na DP-World ndipo sheria za ndani zitakapotumika. Hivyo ametaka wananchi wa Ilala wawapuuze wanaopinga mkataba huo.
Mkuu mbona huyo MBUNGE anatuchanganya? Yeye anasema ni makubaliano mara anawataka wananchi wa JIMBO lake wawapuuze wanaopinga Mkataba. Mimi simuelewi😂😂
 
Akizungumza na wananchi wa jimbo lake(Ilala), Mussa Azan Zungu amesema haya ni makubaliano ya Tz na UAE sio mkataba na DP-World. Amesema mkataba ukishapita ndipo Tz itaingia mkataba na DP-World ambapo ndipo wataenda kuweka mbele maslahi ya nchi sio sasa kwenye IGA(Inter Government Agreement)

Amesema Tz itakapoingia mkataba na DP-World ndipo sheria za ndani zitakapotumika. Hivyo ametaka wananchi wa Ilala wawapuuze wanaopinga mkataba huo.
Serikali haifanyi biashara. Tunawakabidhi DP World ambayo ni ya serikali ya Dubai
 
Ikiwa wewe unajuwa, kwanini tena unauliza swali?

Wewe baki na navyojuwa na sisi tuwache tubaki na tunavyojuwa. Lakini jipume nafanikio, yako wewe na ya hao unaoona hawajuwi. Utapata jibu.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Sawa, wewe Baki hivyo. Lakini hujui
 
Akizungumza na wananchi wa jimbo lake(Ilala), Mussa Azan Zungu amesema haya ni makubaliano ya Tz na UAE sio mkataba na DP-World. Amesema mkataba ukishapita ndipo Tz itaingia mkataba na DP-World ambapo ndipo wataenda kuweka mbele maslahi ya nchi sio sasa kwenye IGA(Inter Government Agreement)

Amesema Tz itakapoingia mkataba na DP-World ndipo sheria za ndani zitakapotumika. Hivyo ametaka wananchi wa Ilala wawapuuze wanaopinga mkataba huo.
Zungu ni kabila eti?
 
Zungu ni mpotoshaji

Anasema mkataba haujaanza utekelezaji, kwamba yale makubaliano waliyoingia serikali na DP World ni ya mwanzo, hivyo wabara wasiogope, kwamba watakapokwenda kwenye mkataba halisi ndio wataingiza maslahi ya taifa!.

Kwanza nafurahi Zungu kukiri kwenye makubaliano ya mwanzo hakuna maslahi ya wabara, pia, kwasababu hao waarabu wameshaanza shughuli zao tangu October 2022, maana yake ni kwamba, wanatumia makubaliano waliyoingia mwanzo na serikali ambapo Zungu anakiri wabara hatuna chetu.

Hivyo mkataba kati ya DP World na serikali ya Tanzania, kwa kuahirikiana na bunge la Tulia, ni unyonyaji na ukoloni mamboleo kwa wabara, walaaniwe wote waliotupeleka utumwani Dubai.
Haya ni majangili, pia Zungu siyo mtanzania
 
Je wabunge wetu wameelewa mkataba wa Tanzania na Dubai au ni ushabiki tu?

Je kuna marekebisho gani wamependekeza?

Je wanajua ni wa Tanzania nzima?

Je wanajua unahuaisha mpaka anga ya Tanzania?
 
Je wabunge wetu wameelewa mkataba wa Tanzania na Dubai au ni ushabiki tu?

Je kuna marekebisho gani wamependekeza?

Je wanajua ni wa Tanzania nzima?

Je wanajua unahuaisha mpaka anga ya Tanzania?
Wauelewe wapi, ni bas tu bora ngoma itembee!!
 
Nitaunga mkono juhudi za mwenyekiti kwa nguvu zangu zote na kwa akili yangu yote ,naahidi kutopinga wala kwenda kinyume nae kwa namna yoyote ile .
 
watu woote wanaosaport mkataba huu, umiri wao wa kuishi kwa mtanzania umeshapita au upo ukingoni. walichokipata watakuwa wamekipata ila zigo wataachiwa wengine watakaoendelea kuishi. ndio maana Tibaijuka amesema vijana mjipende, nchi yetu ni sovereign.
 
naamini kwenye hili la mkataba wa uendeshaji wa huduma za bandari ya Tanzania na DP world una manufaa makubwa kwa nchi licha ya kuwa na mapungufu mengi na propaganda za kisiasa kuhusu mkataba huu ni maoni yangu serikali kupitia mwanasheria mkuu wa serikali liandaliwe jopo la wanasheria kufanya majadiliano na wanasheria ambao wanakosoa mkataba huu ili kutoa elimu ya uelewa kwa wananchi juu ya mkataba huu ili kuwe na uungwaji mkono na wananchi na kupata kujua hasara na faida zake na sehemu ambazo zitakua na maboresho wajitahidi kwa maslahi mapana kwa Taifa la Tanzania warekebishe
 
Zungu ni mpotoshaji

Anasema mkataba haujaanza utekelezaji, kwamba yale makubaliano waliyoingia serikali na DP World ni ya mwanzo, hivyo wabara wasiogope, kwamba watakapokwenda kwenye mkataba halisi ndio wataingiza maslahi ya taifa!.

Kwanza nafurahi Zungu kukiri kwenye makubaliano ya mwanzo hakuna maslahi ya wabara, pia, kwasababu hao waarabu wameshaanza shughuli zao tangu October 2022, maana yake ni kwamba, wanatumia makubaliano waliyoingia mwanzo na serikali ambapo Zungu anakiri wabara hatuna chetu.

Hivyo mkataba kati ya DP World na serikali ya Tanzania, kwa kuahirikiana na bunge la Tulia, ni unyonyaji na ukoloni mamboleo kwa wabara, walaaniwe wote waliotupeleka utumwani Dubai.
 
Back
Top Bottom