DP World: Zungu atinga mkutanoni na mafaili ya makubaliano

DP World: Zungu atinga mkutanoni na mafaili ya makubaliano

upumbafu
 

Attachments

  • images.jpg
    images.jpg
    28.2 KB · Views: 5
  • images.jpg
    images.jpg
    28.2 KB · Views: 5
Huwa inanishangaza kwelikweli pale mtu anapoingangania nyumba ya serekali au msajili /INACHEKESHA SANA KWA KWELI.
 
Akizungumza na wananchi wa jimbo lake(Ilala), Mussa Azan Zungu amesema haya ni makubaliano ya Tz na UAE sio mkataba na DP-World. Amesema mkataba ukishapita ndipo Tz itaingia mkataba na DP-World ambapo ndipo wataenda kuweka mbele maslahi ya nchi sio sasa kwenye IGA(Inter Government Agreement)

Amesema Tz itakapoingia mkataba na DP-World ndipo sheria za ndani zitakapotumika. Hivyo ametaka wananchi wa Ilala wawapuuze wanaopinga mkataba huo.
Walishatuona mabwege, yyeye ni mwarabu, Samia ana damu ya haohao, Mbarawa naye ni walewale, kwani walichokifanya Loliondo kina tofauti gani na hiki? Janjajanja yai inatafutiwa dawa wasubiri patachimbika
 
Jamani Zungu hayo mafaili anaweza kuyasoma kweli? umeona mkataba wa mwanzo ukishapita unaofuata ndio utarekebishwa....kwani toka mwanzo kuna ulazima wa kuingia huo mkataba? kama hawa jamaa ni wazuri kweli basi tuingie mkataba nao wa management tu wao walete managers TZ ina provide kila kitu
 
Huku zenji mwarabu alivyo na dharau hakai foleni yoyote.
Dar watapigwa ngumi, sidhani wana akili ya watumwa kama huku ya kumpisha bwana mkubwa.
 
Hautaki maendeleo? unataka nyumba alizodhulumu watu Nyerere zibaki mpaka leo na uchakavu wake?

Hilo ni zoezi la Tanzania nzima, kama ulikuwa huelewi, hapo ni mwanzo tu. Tu nashukuru serikali kuliona hilo la kufuta kabisa makovu yote ya dhulma za Nyerere.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Au wanajengewa wazenji? Maana huku kutupu, wanahamia huku wote kulamba😂

Wasieneze tu mambo yetu kwa wanaume maana 99% bwaaaa mchele
 
At least Mchina yeye angeweza kujenga kitu kikadumu kwa muda mfupi!!

By the way uwekezaji maeneo nyeti, tena ambayo tumeshajenga wenyewe hayajawahi kuwa na tija.

Wapewe maeneo mampya wajenge Bandari zao wenyewe!!
Wacha porojo, tupe ushahidi wa TICTS waliotimuliwa na mama bandari hiyo hiyo ya makontena mwaka jana, ni kina nani na walilipa nini kwa miaka 30?



Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Amesema Tz itakapoingia mkataba na DP-World ndipo sheria za ndani zitakapotumika. Hivyo ametaka wananchi wa Ilala wawapuuze wanaopinga mkataba huo.
Chenye Saini ya Prof MMM kwa idhini ya Mama ni kitu gani? Mbona sentensi hazinyooki
 
Wacha porojo, tupe ushahidi wa TICTS waliotimuliwa na mama bandari hiyo hiyo ya makontena mwaka jana, ni kina nani na walilipa nini kwa miaka 30?



Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Lengo ni Tanzania kupata pesa nyingi kutoka kwa wawekezaji ama lengo ni kuwawezesha watanzania kuwa mahiri katika kusimamia rasilimali zao ili wapate uwezo wa kiuchumi na kusonga mbele katika nyanja nyingine?

Mtanzania akiwa na mapungufu kuhusu uwezo Fulani unamtupilia mbali ama unamuwezesha awe aondoe mapungufu hayo ili awe na uwezo huo?

Haya ni maswali mepesi sana kwako lakini utanipa majibu magumu. Nitayapokea hivyo hivyo kigumugumu!!!
 
Back
Top Bottom