KotelaMamba
JF-Expert Member
- Apr 8, 2020
- 701
- 1,241
Whatever lakini kwanini watu wanabishana na maandishi?Vita ya kiuchumi siyo ya mchezo mchezo.
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
A itabaki kuwa A.
Kilichoandikwa kisipobadilishwa kwa kuandikwa, hakiwezi kubadilishwa kwa utetezi wa kwenye majukwaa!!
Halafu Mwarabu hana lolote