Naona hujayasikia yaliyoongewa hapo. Roho mbaya tu, unaacha hoja unaanza ya uzee. Fala kweli wewe.Huyo mzee alitakiwa apumzike alee wajukuu tatizo ni uchawa kwake unalipa leo ni naibu spika.
Analinda ugali wake.
Hivi Jiwe alishindwa vipi kubomoa kale kapango kako pale Ilala? Ona sasa umepata tena uhai wa kidiniJioneeni👇🏾
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Hautaki maendeleo? unataka nyumba alizodhulumu watu Nyerere zibaki mpaka leo na uchakavu wake?Kariakoo Dar es Salaam wakazi wake wapatao 5,000 kuondolewa katika majengo , nani yupo nyuma ya mradi huu mkubwa wa kuvunja majengo yanayoitwa chakavu Mh. Musa Azzan Zungu ?
Wakaazi wa Kariakoo wajiuliza notisi hii kwa mamia na maelfu spidi yake nani yupo nyuma yake Mh. Zungu
Sabal'kheri chawa wa mama!Naona hujayasikia yaliyoingewa hapo. Roho mbaya tu.munaacha hojs unaanza ya uzee. Fala kweli wewe.
Utakufa nacho kijiba cha roho.
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Saa hizi ni masaa al kheir.Sabal'kheri chawa wa mama!
🤣🤣🤣🤣Saa hizi ni masaa al kheir.
Tumpe Mama Samia mauwa yake kwa hili la Bandari.
Mama Samia, kwa upendo, heshima na taadhima pokea mauwa yako👇🏾
View attachment 2660603
Mama Samia anaupiga mwingi Kimataifa.
Ma shaa Allah, kazi ya Mungu haina makosa.Hivi Jiwe alishindwa vipi kubomoa kale kapango kako pale Ilala? Ona sasa umepata tena uhai wa kidini
Kwa rangi yake, toto la Kariakoo hilo.Kwanini huyu jamaa aliitwa zungu!??
au lilikuwa zungu la mkaa
Anaishi Kigamboni huyuKwa rangi yake, toto la Kariakoo hilo.
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Vita ya kiuchumi siyo ya mchezo mchezo.Nguvu kubwa inayotumika ndio inatisha zaidi.
Inatisha tena!!
Umetumana kiume Leo.Naona hujayasikia yaliyoongewa hapo. Roho mbaya tu, unaacha hoja unaanza ya uzee. Fala kweli wewe.
Utakufa nacho kijiba cha roho.
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.