Ana kesi zaidi ya 5. Hiyo ni 1. Wanatakiwa kufuta zote, maana zilikuwa za kijinga, zenye lengo la kuwafanyiamental torturena usumbufu.Ni jambo jema!
Tundu Lisu na familia yake warudi nyumbani sasa!
Na NdugaiGenge la akina Polepole bado liko
Sukuma Gang watapinga!!Criminal Case No.208/2016 iliyokuwa ikimkabili Tundu Lissu na wenzake watatu katika Mahakama ya Kisutu, imefutwa na DPP kwa mujibu wa Kifungu cha 91(1) cha Sheria ya Mwenendo ya Makosa ya Jinai. Watuhumiwa wote wako huru.
Tuzidishe dua Mungu atende tenaHizo ni kesi za siasa za kupuuzi za yule dhalimu. Na sasa mama wa kambo naye ameamua kuiga tembo kunya.
Katiba yetu ni mbaya. Imemuumba mungumutu anaeitwa DPP . Unafanyiwa figisu miaka yote hiyo. Halafu anajitokeza DPP baadaye anasema hana nia ya kuendelea na kesi !!. UjingaCriminal Case No.208/2016 iliyokuwa ikimkabili Tundu Lissu na wenzake watatu katika Mahakama ya Kisutu, imefutwa na DPP kwa mujibu wa Kifungu cha 91(1) cha Sheria ya Mwenendo ya Makosa ya Jinai. Watuhumiwa wote wako huru.
Kwaiyo mama anakosea nae kwenye utawala wake kufuta kesi zisizo na maana??! Nyie mbwa hamna shukrani kabisaHizo ni kesi za siasa za kupuuzi za yule dhalimu. Na sasa mama wa kambo naye ameamua kuiga tembo kunya.
Wacha uboya. Si mlisema mtamfunga na makesi kibao mbona hamweleweki mko kama mademu wa tandale.Naona leo lisu meno njenje baada ya ofisi ya DPP kufuta kesi yake na mwenzane wa gazeti la mawio Jabri Idrisa
Sasa lisu yuko huru kuna nchi imetoa msamaha hadi kwa wazandiki kama lisu
USSRView attachment 1948188
Kwamba kesi hii ndiyo iliyomfanya akimbilie ubalozi wa Ujerumani na baadaye kusindikizwa airport na mabalozi wa Germany, Belgium na USA kuelekea Ubelgiji!?Ni jambo jema!
Tundu Lisu na familia yake warudi nyumbani sasa!
Boys mamako mwambie aje aone shugliWacha uboya. Si mlisema mtamfunga na makesi kibao mbona hamweleweki mko kama mademu wa tandale.
Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
Ibilisi huendaYule marehemu alikuwa mtu wa hovyo sana.
Jiwe sijui alibemendwa maana sio kwa liroho lile
Unapotendewa jambo jema, ustaarabu ni kushukuru kwa yote hata kama ulionewa. Natoa wito kwa Tundu Lissu, amshukuru sana Mama SamiaCriminal Case No.208/2016 iliyokuwa ikimkabili Tundu Lissu na wenzake watatu katika Mahakama ya Kisutu, imefutwa na DPP kwa mujibu wa Kifungu cha 91(1) cha Sheria ya Mwenendo ya Makosa ya Jinai. Watuhumiwa wote wako huru.
Tena mbwa kweli kweliKwahiyo wamefuta za Lissu na kukomalia za Mbowe
Tukisema ccm ni mbwa muwe mnatuelewa
Mjinga kabisa katika jukwaa hili huwa ni wewe dada !!. Umekuwa ukivishabikia vitu hivi vya kipumbavu vya kupotezeana muda.Naona leo lisu meno njenje baada ya ofisi ya DPP kufuta kesi yake na mwenzane wa gazeti la mawio Jabri Idrisa
Sasa lisu yuko huru kuna nchi imetoa msamaha hadi kwa wazandiki kama lisu
USSRView attachment 1948188
Mzandiki kwani amemzindika mamakoNaona leo lisu meno njenje baada ya ofisi ya DPP kufuta kesi yake na mwenzane wa gazeti la mawio Jabri Idrisa
Sasa lisu yuko huru kuna nchi imetoa msamaha hadi kwa wazandiki kama lisu
USSRView attachment 1948188
Ni jambo jema!
Tundu Lisu na familia yake warudi nyumbani sasa!
Kwakweli huu ni ujinga dpp ana nguvu kuliko mahakama!! Sasa mahakama kama chombo cha kutoa haki hazina maanaKatiba yetu ni mbaya. Imemuumba mungumutu anaeitwa DPP . Unafanyiwa figisu miaka yote hiyo. Halafu anajitokeza DPP baadaye anasema hana nia ya kuendelea na kesi !!. Ujinga
Polepole mwenyewe siku hizi Ni mpinzani.Genge la akina Polepole bado liko
Tundu lisu amshukuru mama samia kwa lipi?Unapotendewa jambo jema, ustaarabu ni kushukuru kwa yote hata kama ulionewa. Natoa wito kwa Tundu Lissu, amshukuru sana Mama Samia
Ila pia sitashangaa iwapo shukrani haitatolewa kwasababu baadhi ya wenzetu hawana shukrani.
P