DPP awafutia Tundu Lissu na Wahariri wa Gazeti la Mawio kesi ya Uchochezi

DPP awafutia Tundu Lissu na Wahariri wa Gazeti la Mawio kesi ya Uchochezi

Kweli mambo yamebadilika. Ila JPM atakuwa anateseka sana huko kaburini.
Kila kitabu na zama zake. Hizi ni zama nyingine lazima tukubali.

Halafu niwaambie kitu kimoja, maisha yangekuwa hayana utamu kama Ali H Mwinyi angefanya yaleyele aliyofanya Nyerere, Mkapa angepita njia ile ile ya Mwinyi na Kikwete angekopi ya Mkapa na leo Samia angekopi yaleyale ya Magu. M Mungu hakuyapanga maisha ya wanaadamu hivyo. Kwa maanahiyo tegemeeni aina fulani ya tofauti toka mikopo ya wanafunzi (HESLB) mpaka uchaguzi mkuu/chaguzi ndogo.

Hata kijinsia marais hawa wawili ni tofauti, itakuwaje afanye yote (hata kucheka) aliyefanya mtangulizi wake. Alishasema yeye hapigi kelele, lete vyoko kalamu itajibu.

Kazi iendelee!
 
Hiyo ilikuwa ni kutimiza matakwa ya dikteta John Pombe Joseph Magufuli ila kimsingi hakukuwa na kesi.

Hii katiba ikiachwa ikabaki kuna siku rais wa nchi hii itapambana uso kwa uso na Sniper.
 
Hatimaye lisu wamemuogopa. Kile kichwa kingewapeleka mpaka wote wachinjwe kama kuku. Bora jpm ambaye kashajifia mana lisu angemhenyesha,
 
Mambo muhimu sana kuhusu sala ya Baba yetu uliye mbinguni

Mathew 6:9 – 13 (ipo pia Luke 11:2 – 4)

Baba yetu uliye mbinguni (Adonai YAHWEH, El wa Abraham, Isaac na Israel),

Jina lako litukuzwe (Hallowed be your name, name/jina ina involve mamlaka yake, ambayo yana involve watu kutii amri zake 10 pamoja na kuwa na ushuhuda wa Yesu Kristo, kwahiyo hallowed be your name ina maanisha pia hallowed be your 10 commandments, ina maanisha pia hallowed be your seventh day Sabbath, wale 144,000, wa Ufunuo 14, wenye Jina la Baba kwenye vipaji vya nyuso zao ina maana wanazishika amri 10 za Mungu pamoja na Sabato ya siku ya saba, na pia wana ushuhuda wa Yesu Kristo. Unaweza pia ukacheki Isaya 56:6 “Na wageni, walioandamana na BWANA ili wamhudumu, na kulipenda jina la BWANA, kuwa watumishi wake; kila aishikaye sabato asiivunje, na kulishika sana agano langu;”. Kulitukuza jina la BWANA kuna jumuisha pia kulipenda jina la BWANA),

Ufalme wako uje (Mathayo 19:17 Yesu alimwambia “ukitaka kuingia katika uzima, zishike amri”……. “kisha njoo unifuate” yaani ashike amri 10 za Mungu na awe na ushuhuda wa Yesu Kristo. “Kuingia katika uzima” ni namna nyingine ya kusema “kuingia katika Ufalme wa Mungu”. Ufalme wake ukija, watakao ingia katika Ufalme wake ni wale watu wanaotii amri 10 za Mungu na pia wana ushuhuda wa Yesu Kristo),

Mapenzi yako yatimizwe (Your will be done, will yake ina involve watu kumtii na kuzishika amri 10 za Mungu, pamoja na kuwa na ushuhuda wa Yesu Kristo. Amri 10 za Mungu zina jumuisha pia Sabato ya siku ya saba, inayoanza jua likizama Ijumaa na kuisha jua likizama Jumamosi),
hapa duniani kama huko mbinguni.

Utupe leo riziki yetu (Utupe leo mkate wetu wa kila siku, Give us this day our daily bread, Luke 11:3 inasema “give us day by day our daily bread”. Wana wa Israel walivyokuwa jangwani walikula manna iliyoanguka siku 6, siku ya sita ilianguka manna ya siku mbili, ambayo waliitumia siku ya 6 na nyingine wali ihifadhi na kuitumia siku ya 7 (Sabato). Siku ya 7 (Sabato) manna haikuanguka. Hapa tunaona kwamba Mungu ndiye anaetupa chakula chetu/riziki yetu ya kila siku, na anataka tuitumie siku ya 7 kupumzika na kumuabudu, na kwamba atatulisha pia siku hiyo ya saba hata kama hatufanyi kazi kwenye siku hiyo, na hatutapungukiwa na kitu).

Utusamehe deni zetu,
kama sisi nasi tuwasamehevyo wadeni wetu.

Na usitutie majaribuni,

lakini utuokoe na yule mwovu.

Kwa kuwa ufalme ni wako, na nguvu, na utukufu, hata milele. Amina.

So sala ya Baba yetu uliye mbinguni ina mahusiano na kutii amri 10 za Mungu na pia kuwa na ushuhuda wa Yesu Kristo.

Revelation 15:4 (KJV) Who shall not fear thee, O Lord, and glorify thy name? for thou only art holy: for all nations shall come and worship before thee; for thy judgments are made manifest. [“Glorify thy name” maana yake ni kulitukuza jina lako. “Judgements" zina mahusiano na amri 10 za Mungu.]

Isaiah 66:22-23 (KJV): 22 For as the new heavens and the new earth, which I will make, shall remain before me, saith the LORD, so shall your seed and your name remain.
23 And it shall come to pass, that from one new moon to another, and from one sabbath to another, shall all flesh come to worship before me, saith the LORD.

Isaiah 56:1 – 7 (KJV) 1 Thus saith the LORD, Keep ye judgment, and do justice: for my salvation is near to come, and my righteousness to be revealed. [“Judgement" ina mahusiano na amri 10 za Mungu.]

2 Blessed is the man that doeth this, and the son of man that layeth hold on it; that keepeth the sabbath from polluting it, and keepeth his hand from doing any evil.

3 Neither let the son of the stranger, that hath joined himself to the LORD, speak, saying, The LORD hath utterly separated me from his people: neither let the eunuch say, Behold, I am a dry tree.

4 For thus saith the LORD unto the eunuchs that keep my sabbaths, and choose the things that please me, and take hold of my covenant;

5 Even unto them will I give in mine house and within my walls a place and a name better than of sons and of daughters: I will give them an everlasting name, that shall not be cut off. [“Give them an everlasting name” ina maanisha atawapa uzima wa milele, atawaingiza kwenye ufalme wa Mungu. Matthew 25:34 (KJV) Then shall the King say unto them on his right hand, Come, ye blessed of my Father, inherit the kingdom prepared for you from the foundation of the world:]

6 Also the sons of the stranger, that join themselves to the Lord, to serve him, and to love the name of the LORD, to be his servants, every one that keepeth the sabbath from polluting it, and taketh hold of my covenant;

7 Even them will I bring to my holy mountain, and make them joyful in my house of prayer: their burnt offerings and their sacrifices shall be accepted upon mine altar; for mine house shall be called an house of prayer for all people.
 
Bwana Yesu Kristo alizaliwa during the Feast of Tabernacles.

Hii ni hakika na kweli kabisa kabisa.

The biblical Feast of Tabernacles starts from the 15th day of the biblical seventh month, and ends on the 22nd day of the same biblical seventh month.

This period falls between mid September and late October in our present day calendar.

Follow hii link inaelezea precisely: What day was Jesus born?

Kwa mwaka huu, the Feast of Tabernacles ina anza baada ya jua kuzama on the 20th of September 2021, na ina isha jua likizama on the 28th of September 2021.

Tutakiane kumbukumbu nzuri na sahihi ya kuzaliwa kwa Bwana Yesu Kristo.

Tukumbuke kuwa atakapo rudi mara ya pili, atarudi during the Feast of Tabernacles.

Hatujui atarudi mwaka gani, so hatujui itakuwa Feast of Tabernacles ya mwaka upi, na kwa hivyo pia hatujui itakuwa siku gani na saa gani.

Kuna kitu kingine nimeona.

Kitabu cha Numbers (Hesabu) 28 and 29, kinaonyesha kwamba The Feast of Tabernacles ilikuwa na sadaka nyingi za kuteketeza kuliko annual biblical feasts nyingine.
 
Criminal Case No.208/2016 iliyokuwa ikimkabili Tundu Lissu na wenzake watatu katika Mahakama ya Kisutu, imefutwa na DPP kwa mujibu wa Kifungu cha 91(1) cha Sheria ya Mwenendo ya Makosa ya Jinai. Watuhumiwa wote wako huru...
MSAADA WA ELIMU YA SHERIA

Nini maana ya kitu kama hiki? Inamaanisha mlalamikaji ana ushahidi wa kutosha kuwa watuhumiwa wametenda jambo husika lakini kwa sababu zake binafsi ameona hana haja ya kuendelea na kesi au katika majadiliano imedhihirika tuhuma si za kweli na hivyo mlalamikaji kaona yaishe?

1.Kama sababu ni hiyo ya kwanza, mbona sasa inakuwa ni kama upotevu wa muda na kuendeleza uvunjifu wa sheria? Yani watu wametenda tukio ovu, leo unawaacha tu?

2.Kama sababu ni hiyo ya pili, kwanini tusiambiwe mlalamikaji atalipa fidia? Maana nina hakika hapo walalamikaji wana mengi ya kudai.

Ninaomba kupewa shule hapa
 
Bwana Yesu Kristo alizaliwa during the Feast of Tabernacles.

Hii ni hakika na kweli kabisa kabis...
Hii nadhani umekosea mkuu, ilipaswa kuwa uzi unaojitegemea kwa sababu hauhusiano na chochote kilichoandikwa hapa!
 
Criminal Case No.208/2016 iliyokuwa ikimkabili Tundu Lissu na wenzake watatu katika Mahakama ya Kisutu, imefutwa na DPP kwa mujibu wa Kifungu cha 91(1) cha Sheria ya Mwenendo ya Makosa ya Jinai. Watuhumiwa wote wako huru....

Watafuta kesi nyingi sana maana zilifunguliwa kumfurahisha Mwendakuzimu bila kuzingatia vigezo muhimu.

Pia hakukua na jinai wala misingi muhimu. Kifo cha Magufuli ni neema kwa taifa.

Boya yule alifikiri nchi ni mali yake. Hata mke wake amenawiri baada ya kifo chake maana yake alimchosha mwanamke na vitasa.
 
MSAADA WA ELIMU YA SHERIA

Nini maana ya kitu kama hiki? Inamaanisha mlalamikaji ana ushahidi wa kutosha kuwa watuhumiwa wametenda jambo husika lakini kwa sababu zake binafsi ameona hana haja ya kuendelea na kesi au katika majadiliano imedhihirika tuhuma si za kweli na hivyo mlalamikaji kaona yaishe?...
Bila shaka wanasheria watakuja kutudadavulia, ninachoelewa ni kwamba zipo sababu nyingi zinazoweza kumfanya DPP kuamua kufuta kesi ikiwa ni pamoja na ushahidi uliopo, akiona hii kesi serikali itashindwa mahakamani.

Busara ni kuifuta ili kupunguza idadi ya kesi serikali inazoshindwa ambayo inaweza kutafsiriwa kuwa serikali inawabambikia watu kesi zisizo na ushahidi! Lakini pia, kwa busara yake kwa kuzingatia mambo fulanifulani, ikiwemo taswira ya serikali, DPP ana mamlaka ya kufuta kesi na asieleze sababu!
 
Watafuta kesi nyingi sana maana zilifunguliwa kumfurahisha Mwendakuzimu bila kuzingatia vigezo muhimu.

Pia hakukua na jinai wala misingi muhimu. Kifo cha Magufuli ni neema kwa taifa.

Boya yule alifikiri nchi ni mali yake. Hata mke wake amenawiri baada ya kifo chake maana yake alimchosha mwanamke na vitasa.
Very cold reply!
 
Bila shaka wanasheria watakuja kutudadavulia, ninachoelewa ni kwamba zipo sababu nyingi zinazoweza kumfanya DPP kuamua kufuta kesi ikiwa ni pamoja na ushahidi uliopo, akiona hii kesi serikali itashindwa mahakamani, busara ni kuifuta ili kupunguza idadi ya kesi serikali inazoshindwa ambayo inaweza kutafsiriwa kuwa serikali inawabambikia watu kesi zisizo na ushahidi! Lakini pia, kwa busara yake kwa kuzingatia mambo fulanifulani, ikiwemo taswira ya serikali, DPP ana mamlaka ya kufuta kesi na asieleze sababu!
Asante.Kama hivi ndivyo. Inaudhi
 
Back
Top Bottom