mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,916
- 8,630
Akishatoa kauli kwamba kuna watu wanaiba pesa za Serikali maana yake ni kwamba wasaidizi wake waanze upelelezi hapo hapo !Ndicho ninachomaanisha, atoe kauli.
Matamko ya mkuu wa Nchi huwa ni maagizo moja kwa moja !!