DPP, IGP, DG TISS, DG- PCCB nyie ndiyo mnapaswa kuchukua hatua dhidi ya ufisadi

DPP, IGP, DG TISS, DG- PCCB nyie ndiyo mnapaswa kuchukua hatua dhidi ya ufisadi

CAG ndo 'meini stelingi' ndo kubwa la maadili maana anaingiaga laivu kukagua Hadi a/c za wahusika.
CAG kama haoni Hela nyiiingi zinaibwa vile asemavyo prezdaa maana yake ameshindwa kazi anapaswa kujiuzulu!!
"CAG AJIUZULU HARAKA SANA KAMA KWELI ANAMHESHIMU RAIS NA NCHI KIUJUMLA"
CAG anaichonganisha serikali na walipa Kodi Bora akae TU kimya kuliko anatangaza ufisadi na hakuna hatua zozote zitachukuliwa kwa wahusika zaidi ya ngonjera tu.
 
Akisema tu maana yake tayari ni maagizo !!
Inapaswa wanaohusika waanze upelelezi wakati huo huo !
Rais sio kazi yake kupeleleza kumfikisha mtuhumiwa Mahakamani na kisha kumfunga au kumwachia mtuhumiwa huru !

Mimi ninavyofahamu ni kwamba Rais akitamka kitu kama hicho maana yake ni kwamba ameshatoa go ahead ya wasaidizi wake waanze kazi. !
That’s it ![emoji120]
Sawa
Lakini iweje mamlaka muhimu za nchi kama hizo alizoziorodhesha mleta uzi zisubiri maagizo wakati jinai zinaonekana waziwazi ?
Wananchi wanalalamika mitaani na mh rais mwenyewe anasikia.
Binafsi sikutarajia rais alalamike, rais anatakiwa achukue hatua mara moja na wananchi waone.
 
Tumesikia namna Rais anavyolalamika kuhusu ufisadi sehemu mbalimbali. Hata PM Majaliwa naye tulimsikia last week akiwa ziaranya mkoa wa Mara.

Nauliza DPP, IGP, DG-TISS na DG TAKUKURU mnasubiri nini kuchukua hatua sitahiki dhidi ya watumishi ambao wametajwa kwenye hizo tuhuma?

Mkuu we ni miongoni mwa wale watu huwaita "slow learners " ukiiona tunaandama kudai katiba mpya ndo ujue mifumo haifanyi kazi Kijana, fikiri kama Kijana aliyepita shule kidogo
 
Bunge liko compromised na hii inatokana na watu walioingizwa na MAGUFULI mwaka 2020. Spika ni kituko na wabunge ni wa chama kimoja. Horrible

True. Bunge la CCM is compromised hata kabla ya JPM. It only got worse. Spika hana kiwango. Bora Ndugai, ingawa naye hakuwa Spika material.

To be honest we are going down. If we are not careful we'll be a Banana Republic in a few years to come.
 
Uliona wapi taku wakidili na kesi kubwa wao ni hizi hizi za kuonea watumishi wa chini,karani,mwalimu,nesi,kapokea elf tano ya mlalai na sio hizo Grand corruption.
Hasa TAKUKURU, wana deal na virushwa vidogo tu. Ikiwapa taarifa ya ki whistle-blower kwa rushwa kubwa unakuwa umewapa mahali pa kujipatia maokoto yao.
 
True. Bunge la CCM is compromised hata kabla ya JPM. It only got worse. Spika hana kiwango. Bora Ndugai, ingawa naye hakuwa Spika material.

To be honest we are going down. If we are not careful we'll be a Banana Republic in a few years to come.
Yaani unathubutu kusema bora NDUGAI? Au umesahau aliyewaapisha wabunge 19 akiwamo Halima Mdee ni nani? Na aliwaapisha kwenye garage ya ofisi za bunge.

Acheni mzaha ni hii mijitu miovu
 
Rais hayuko serious. Angekuwa serious angeifanyia kazi report ya CAG. Vilevile umeona mchezo ulivyochezwa Bungeni mwaka jana kuhusu report ya CAG. Ni uhuni mtupu.
Hapa ndio nilijua kumbe wote ni wale wale tu.

Na Spika Tulia Akasimamia Kidede kabisa Report isisomwe bungeni wala isijadiliwe na wabunge wa Jpm wote wakakubali.
 
Hasa TAKUKURU, wana deal na virushwa vidogo tu. Ikiwapa taarifa ya ki whistle-blower kwa rushwa kubwa unakuwa umewapa mahali pa kujipatia maokoto yao.
Haaaa......sasa wafanyeje maana hata wakisema watoe taarifa haifanyiwi kazi
 
kuwa mstahimilivu kua na subra....
Mawazo ya kijinga haya, bora ungekaa nayo mwenyewe!
Yaani wezi wanakuibia hadi huduma zinashindwa kuwafikia wananchi we unaendelea kuvumilia hadi lini?!
Sa100 anapaswa kuchukua hatua asap, kama hawezi atupishe!.
 
Mawazo ya kijinga haya, bora ungekaa nayo mwenyewe!
Yaani wezi wanakuibia hadi huduma zinashindwa kuwafikia wananchi we unaendelea kuvumilia hadi lini?!
Sa100 anapaswa kuchukua hatua asap, kama hawezi atupishe!.
sasa si upunguze mihemko 🐒

na ufanye bidii zaidi kuchukua hatua asap nyuma ya keyboard 🐒

atakupisha nani sasa na shombo mdomoni na mikononi, ulivyokosa ustaarabu, usie na ustahimilivu wala subra🐒
 
Tumesikia namna Rais anavyolalamika kuhusu ufisadi sehemu mbalimbali. Hata PM Majaliwa naye tulimsikia last week akiwa ziaranya mkoa wa Mara.

Nauliza DPP, IGP, DG-TISS na DG TAKUKURU mnasubiri nini kuchukua hatua sitahiki dhidi ya watumishi ambao wametajwa kwenye hizo tuhuma?

Huu mtandao uliibuliwa mwaka Jana na wahusika walisweka ndani ila Hadi Leo hii sijawahi ona popote wakihukumiwa.

Bila shaka walishatoka
 
CAG ndo 'meini stelingi' ndo kubwa la maadili maana anaingiaga laivu kukagua Hadi a/c za wahusika.
CAG kama haoni Hela nyiiingi zinaibwa vile asemavyo prezdaa maana yake ameshindwa kazi anapaswa kujiuzulu!!
"CAG AJIUZULU HARAKA SANA KAMA KWELI ANAMHESHIMU RAIS NA NCHI KIUJUMLA"
Ulichokinena ni sawa lakini reports ngapi zimeshatoka na zinaonesha ubadhirifu wa fedha za umma na hakuna hatua zilizochukuliwa? Au we unajua reports za ukaguzi zinatoka tu pale CAG anapojisikia?
Leo unaongea hivi baada ya mama kusema, subiri mwezi huu wa tatu tar 30 CAG atatoa report ya 2022/23 alafu tuone nini kitafanyika? Sio unaongea tu jiuzulu kabla hujajua CAG anafanya kazi kwakufuata misingi gani na kwa muda gani.
 
Hii ichi wizi,rushwa, na ufisadi hauwezi kuisha ikiwa ccm ipo madalakani .

Kwasababu kuanzia uongozi wa ju mpqka chini wengi wao wanapatikana kwa mambo hayo matatu.

Ikiwa uchaguzi mkuu polisi anawanalinda wizi wa kura na uchaguzi haramu ,kupititishwa kwa mabox ya wizi wa kura za ccm kuna nini hapo??

Viongozi wengi wa mikowa ,halimashauri na taasisi mbalimbali wanapatikana kwa rushwa,kujipendekeza kunanini hapo??

Hata ufisadi na mafisadi yakionekana wanahamishwa na si kufutwa kazi na kufilisiwa mali walizo iba kuna nini hapo??.

Umekuwa ni utaratibu kila mtu analalamika kuwa kuna wizi na upotevu wa pesa ,mali za umma ,wananchi wanalalamika na viongozi wanalalamika .

Wananchi wabadili mfumo wa utawala ,kuwe na katiba mpya ,na kuwe na mfumo mzuri wa kuwapata viongozi na watendaji wa serikali hapa tutafanikiwa na maendeleo halisi yataanza kupaa kwa kasi na si maendeleo ya kwenye makalatasi kama sasa ilivyo.

MUNGU IBARIKI TANZANIA ,MUNGU IBARIKI AFRIKA.
 
Rais Samia Suluhu Hasan: Kuna upigaji
Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba: Hakuna upigaji

Kama mwezi vile, taifa limepatwa. Sina la kuongezea.
 
Ulichokinena ni sawa lakini reports ngapi zimeshatoka na zinaonesha ubadhirifu wa fedha za umma na hakuna hatua zilizochukuliwa? Au we unajua reports za ukaguzi zinatoka tu pale CAG anapojisikia?
Leo unaongea hivi baada ya mama kusema, subiri mwezi huu wa tatu tar 30 CAG atatoa report ya 2022/23 alafu tuone nini kitafanyika? Sio unaongea tu jiuzulu kabla hujajua CAG anafanya kazi kwakufuata misingi gani na kwa muda gani.
CAG anapaswa aikazie ripoti yake na achanganue bila chenga maana tunapigwa saana tusitetee mambo yaliyopinda.
Huwa haelezi waziwazi pale anapoona WIZI usio na mashaka anaeleza kwakufichaficha alitakiwa anyooshe maelezo pale anapoona WIZI live!
Asijidai anatoa ripoti kitaalamu wakati tunapigwa mmno.
Kijana Mimi nimepita halmashauri najua mapigo kadhaa yanayopigwa NAHUYO CAG wako Bora wala hawavumbui...tusitetee vitu vyahovyo ukweli nikuwa hiyo ofisini bado haiisaidii nchi ipasavyo imejaa kuisafisha serikali Kwamba inauwazi na mambo yanaenda vizuri FULL STOP!
 
Kauli za kibabe hazisaidiii chochote zaidi watu wanakuchora tu.

Tusibase kwenye Ubabe kwani sheria za Nchi si zipo?

Wamtie mwizi mmoja ndani wawili watatu uone kama wizi utarudia tena.
Aliyekuwa anatoa maagizo ni JPM.
Hapo ni kama mtu anatoa takwimu tu.

Amiri jeshi mkuu inapaswa unakuwa na kauli tena za kibabe hasa kwa wafanya kazi wasio waaminifu na kuonyesha mfano kwa wengine.

Kauli za kibabe zinasaidia nini Mkuu hata kikatiba? Au kisheria?

Sheria ndio inatakiwa kufuatwa. Kauli zako hata Uongee kama radi kama hutekelezi sheria ni kazi bure. Ni kama mbwa koko anayebweka
 
Back
Top Bottom