Mbona CAG yuko vizuri sana tu, au hukusoma ripoti ya mwaka janaCAG ndo 'meini stelingi' ndo kubwa la maadili maana anaingiaga laivu kukagua Hadi a/c za wahusika.
CAG kama haoni Hela nyiiingi zinaibwa vile asemavyo prezdaa maana yake ameshindwa kazi anapaswa kujiuzulu!!
"CAG AJIUZULU HARAKA SANA KAMA KWELI ANAMHESHIMU RAIS NA NCHI KIUJUMLA"
Kimsingi yeye ndio mwizi, hivyo hataki wizi uongelewe sana maana anaona ni kujiletea balaa.
Hahahaa jamaa una hasira nao.Nani anafuata sheria za nchi? Serikali yenyewe haifuati sheria.
Fisadi dawa yake ni kunyonga tu, zaidi miaka 60 bado mnajenga vyoo, hata China wamefika pale kiubabe, US wamefika pale kiubabe wanakuja wadanganya haki za binadamu wao wana print karatasi zinaitwa dollar na kuzamia middle east kununua mafuta kwa dollar ukikataa kichapo na mafuta wanachukua.
Fisadi nyonga tu, Mungu mwenyewe kasema atatuchoma moto milele kama kuni, binadamu ni wabishi bila ubabe hawaendi.
Wewe uliisoma? Embu tuambie alieleza WIZI wa Hela wa waziwazi maeneo gani? Alieleza kuhusu mifumo miwili inayoiibia serikali? Watu wangapi walishtakiwa kwawizi wawazi kama waziri mkuu aliyofanya?Mbona CAG yuko vizuri sana tu, au hukusoma ripoti ya mwaka jana
Rais hatakiwi kulalamika. Anatakiwa kutake action. Kama Rais analalamikia sisi wananchi tufanyeje.Tumesikia namna Rais anavyolalamika kuhusu ufisadi sehemu mbalimbali. Hata PM Majaliwa naye tulimsikia last week akiwa ziaranya mkoa wa Mara.
Nauliza DPP, IGP, DG-TISS na DG TAKUKURU mnasubiri nini kuchukua hatua sitahiki dhidi ya watumishi ambao wametajwa kwenye hizo tuhuma?
View attachment 2934268
Upo sawa Kamanda mwenzanguKimsingi yeye ndio mwizi, hivyo hataki wizi uongelewe sana maana anaona ni kujiletea balaa.
Umerudi CHADEMA tena?Upo sawa Kamanda mwenzangu
Majizi makubwa yapo kwenye Wizara na Mashirika ya ummaTumesubiri sana mpaka kazi ya CAG inakuwa USELESSView attachment 2934292
Huyu mama wa DP WORLD si ndo aliwaambia kwenye balaza la mawaziri wale kwa urefu wa kamba zao wasile sana.Tumesikia namna Rais anavyolalamika kuhusu ufisadi sehemu mbalimbali. Hata PM Majaliwa naye tulimsikia last week akiwa ziaranya mkoa wa Mara.
Nauliza DPP, IGP, DG-TISS na DG TAKUKURU mnasubiri nini kuchukua hatua sitahiki dhidi ya watumishi ambao wametajwa kwenye hizo tuhuma?
etiiHuyu Rais tumepatikana safari hii. Halafu anataka tena 2025. Mungu tutetee
Bunge liko compromised na hii inatokana na watu walioingizwa na MAGUFULI mwaka 2020. Spika ni kituko na wabunge ni wa chama kimoja. HorribleRais hatakiwi kulalamika. Anatakiwa kutake action. Kama Rais analalamikia sisi wananchi tufanyeje.
Hao Unapodai wanatakiwa kuchunguza ni wateule wa Rais.... Na wanatakiwa kuchunguza pia ni wateule wa Rais... Tena ambao wameruhudiwa kula kwa urefu wa kamba zao.
Rais hayuko serious. Angekuwa serious angeifanyia kazi report ya CAG. Vilevile umeona mchezo ulivyochezwa Bungeni mwaka jana kuhusu report ya CAG. Ni uhuni mtupu.