Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinachonifurahisha ni kwamba Waislamu wanapambana na waislamu wengine.. Jakaya,Mohamed,mohamed,Seif,Seif tena,mohamed,Said,Seleman na kaimu wake Ahmed....Wanataka kumtoa Issah!!!Wangetupatia cv zake tumjue vizuri. Kama hali ni hivyo hawezi achiwa kwa dhamana. Labda walimtafuta sasa yuko kwenye kumi na nane zao hawamwachii. Waislam kazeni Dua Shehe asije potelea kizuizini
Salim Salim aliambiwa ni raia wa Oman na alishiriki kumuua rais karumeBurundi
tunajua marekani wameewafundisha ya kuwa kila muislam ni gaidi!!!hakuna marefu yasiyo na ncha!!allah yupo na waislam
........
kwa mujibu wa qur'an tukufu; walio karibu zaidi kwa urafiki na waislam ni wale wanaosema ni wakristo na walio maadui wa uislam ni mayahudi na wale wasiokuwa na kitaab!.
Sasa wewe suala la kwamba maadui wa waislam ni wakristo umepata wapi?[/SIZE]
.......
nilijua nitapingwa kumbe nitaunga mkono.asante shekhe wangu! hawa watu wanaotaka kutengeneza mazingira ya uadui kwa hoja za kutengeneza tuwakosoe.Qur'an, SURAT AL MAIDAH 5:14
teh, teh,teh!nilijua nitapingwa kumbe nitaunga mkono.asante shekhe wangu! hawa watu wanaotaka kutengeneza mazingira ya uadui kwa hoja za kutengeneza tuwakosoe.
Alshabab wapo
Tanzania?
tunajua Marekani wameewafundisha ya kuwa Kila muislam ni GAIDI!!!hakuna marefu yasiyo na ncha!!ALLAH yupo na Waislam
Huyu shehe Issa Ponda si ndio aliunda kikosi cha KUMPINDUA MUFTI WA TANZANIA MPAKA SERIKALI ILIPOINGILIA KATI?
Kinachonifurahisha ni kwamba Waislamu wanapambana na waislamu wengine.. Jakaya,Mohamed,mohamed,Seif,Seif tena,mohamed,Said,Seleman na kaimu wake Ahmed....Wanataka kumtoa Issah!!!<br />By babalao 2<br />
Wangetupatia cv zake tumjue vizuri. Kama hali ni hivyo hawezi achiwa kwa dhamana. Labda walimtafuta sasa yuko kwenye kumi na nane zao hawamwachii. Waislam kazeni Dua Shehe asije potelea kizuizini
Yaani hapo kuna<br />
Rais<br />
Rais<br />
makamu<br />
makamu<br />
makamu<br />
Jaji mkuu<br />
mkuu wa polisi<br />
mkuu wa polisi Dar<br />
kaimu mkuu wa polisi Dar.<br />
Anayelalamikiwa mfumo kristo ni mmoja tu....Eliezer Feleshi..Je wangekuwa wawili tena awe makamu tu wa rais si mngekuwa Nchi nzima mmewekwa ndani..Nyambaf