DPW Special Thread: Uzi maalumu kuhusu kampuni ya DP World


Jussa ameongea ukweli kutoka moyoni, so acha kushabikia maovu yanyuma
 
Huo sio utafiti ni makisio

Tafiti inatakiwa uje na numbers

Wapya asilimia x
Existing asilimia x
 
Sa100 hasomi
 
Inawezekana na ndio maana kuna watu naona wamemute
Huo ndio ukweli mzee pale bandarini yupo Anuari wa TRH huyo muhindi ana gari zaidi ya 3000 unadhani akija muarabu ata survive? TICS wamempasia adani ila michezo ni ile ie sema watanzania wengi hatujui yanayoendelea pale bandarini.
 
Mimi wananikera mno kuingiza udini, ukabila na utaifa, yani mtu anaonyesha kabisa chuki kwa watu flani,, hoji suala la mkataba na sio kuingiza udini mara oh huyu mama mzanzibari mara hao wadubai ni ndugu zake, kwani akipewa mwarabu kuna shida gani!! Au mlitaka apewe mzungu, mchina au mhindi ndio mridhike!!
 
Kwani ulitakaje.
 
Wafanyakazi wa bandari na sukuma gang
 
wapo kazini. watu wanalipwa kalaga bao wenye akili tushajua nani yupo nyuma yao. mh Rais usiyumbishwe piga kazi watanzania watakuja kukushukuru badae.
Hujajibu hoja

Kwanini ni New members wenye kutumia Id za kujificha?


Ukweli ni Maccm(ktk lugha ya Lisu) Yana mgeuka Maza hivyo yanajipa majina yasijulikane unaweza kukuta yakuna Kasimu muokoaji ktk ndege iliyozama Bukoba ambaye yupo katibu na Maza yupo humu na Id feki
 
Very smart
 
Very smart
Ukweli wengi akili zetu hazi stuki haraka

Fikiri kama Maza baada ya kupata Uraisi aliweka wazi kuwa walikuwa Wana buruzwa na Jiwe

Itashindi kanaje Majaliwa muokoaji kujificha Kwa Id feki humu na kumsema Maza yupo hovyo?!!!?!!

Tabia za Maccm za hovyo Sana Manafiki kupitiliza yote ni Pangu Pakavu Tia Mchuzi
 
Hawakuwa member na wanataka kutumia hii forum kueleza dukuduku lao
 
Sio kwamba hawako makini,na wala hawajui consequences zake.
Kuna namna fulani wanapofushwa maksudi na wawekezaji.
 
Pye.... wewe ukitaka hao member wawepo tangu mwanzo wa jf :
1. Je DP-WORLD ilishakuwa imekuja Tanzania?
2. Kwa uelewa wako mdogo unadhani wale member wa zamani ndio wenye haki ya kuleta na kujadili hoja tuu!
3. Next time unapoanzisha mada tumia akili boya wewe!
 
Duuh 🙄
Mtetezi wa mkataba wa DPW FaizaFoxy njoo ujibu huku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…