DPW Special Thread: Uzi maalumu kuhusu kampuni ya DP World

DPW Special Thread: Uzi maalumu kuhusu kampuni ya DP World

Ni wakati Sasa kama wazalendo tuwaombe radhi DP world Kwa kuwaghasi Kwa kejeli za kila namna.
1. Wao hawakujileta wenyewe nchini na wamefuata utaratibu wa makubaliano na mikataba halali.
2. Ikiwa Kuna kasoro iweje lawama apewe DP World? wao ni wafanyabiashara wanaangalia penye faida. Kama mmeshindwa ku-negotiate sio shida zake.
.....na tuyaone hayo mayai unayotaka kutaga, maana si kwa kuhangaika huko!
 
DP sio chama cha Siasa (cha kuwaza wapiga kura) wao wanafanya biashara (profit making) ikiwa mmeshindwa kuweka terms nzuri si wajibu wao.
 
Ni wakati Sasa kama wazalendo tuwaombe radhi DP world Kwa kuwaghasi Kwa kejeli za kila namna.
1. Wao hawakujileta wenyewe nchini na wamefuata utaratibu wa makubaliano na mikataba halali.
2. Ikiwa Kuna kasoro iweje lawama apewe DP World? wao ni wafanyabiashara wanaangalia penye faida. Kama mmeshindwa ku-negotiate sio shida zake.
Wamekutuma eeh F...a.l...a wewe
 
Ni wakati Sasa kama wazalendo tuwaombe radhi DP world Kwa kuwaghasi Kwa kejeli za kila namna.
1. Wao hawakujileta wenyewe nchini na wamefuata utaratibu wa makubaliano na mikataba halali.
2. Ikiwa Kuna kasoro iweje lawama apewe DP World? wao ni wafanyabiashara wanaangalia penye faida. Kama mmeshindwa ku-negotiate sio shida zake.
Unaleta utani au?
 
Ni wakati Sasa kama wazalendo tuwaombe radhi DP world Kwa kuwaghasi Kwa kejeli za kila namna.
1. Wao hawakujileta wenyewe nchini na wamefuata utaratibu wa makubaliano na mikataba halali.
2. Ikiwa Kuna kasoro iweje lawama apewe DP World? wao ni wafanyabiashara wanaangalia penye faida. Kama mmeshindwa ku-negotiate sio shida zake.
Ni walaghai!! Wameutumia vibaya umasikini wa tuliowaamini
 
Kwani anayelaumiwa ni DP World au Samia na serikali yake?

Culprits hapo ni Samia na wenzake.

Samia hata kujielezea na kuushawishi umma hawezi. Yeye ni mipasho tu.

Mimi binafsi wala siwalaumu hao DP.

Ni Samia tu kwa 💯%.

She is very inept in so many ways.
 
Hao waarabu ni matapeli, hawastahili kuombwa radhi. Matapeli kwa sababu wanatumia pesa kuwahonga wenye mamlaka ili wapate haki ya kuwekeza kitapeli kwenye nchi husika.

Hawajui kufanya kazi kwa weledi, hawajui kutumia ufanisi wao maeneo mengine walikowekeza ili kuwashawishi wengine kuvutiwa kufanya kazi nao.

Badala yake tunaona ndio wamefunguliwa kesi karibia kila nchi wapipokwenda kuwekeza, kuwaomba radhi matapeli wa sampuli hii kutatuonesha tulivyo wajinga wakubwa tusiojitambua.
 
Hao waarabu ni matapeli, hawastahili kuombwa radhi. Matapeli kwa sababu wanatumia pesa kuwahonga wenye mamlaka ili wapate haki ya kuwekeza kitapeli kwenye nchi husika.

Hawajui kufanya kazi kwa weledi, hawajui kutumia ufanisi wao maeneo mengine walikowekeza ili kuwashawishi wengine kuvutiwa kufanya kazi nao, badala yake tunaona ndio wamefunguliwa kesi karibia kila nchi wapipokwenda kuwekeza, kuwaomba radhi matapeli wa sampuli hii kutatuonesha tulivyo wajinga wakubwa tusiojitambua.
Weledi utaupata Ulaya na Marekani(Wazungu). Barani Asia na Afrika ni mwendo wa mlungula (paid trips, buying properties in Dubai, China na kuficha hela huko)
**Asia (Arabuni, China na India)
 
New members, mtasubiri sanaaa, watanzania tunakwenda mbele na mwarabu kwa maendeleo

Mlichobakia nacho ni kudhania dhania tu,
Mirija yote inazibwa mnaweweseka,
Kuanzia parokia, kunya land, warundi na wanyarwanda mjiandae tu hakuna namna, tuna rais mtanzania originally saa hii, si hao foreigners waliopita ukitoa wawi walio hai
Uchizi kamili.
Unajiachia wazi na kuonyesha hali yako halisi.

Usifikiri unaweza kunivuta kwenye kujadili ukichaa wako. Sina muda wa kupoteza na watu wa aina yako.
 
Back
Top Bottom