johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Lakini kafanya kosa gani?Fanya utafikiti utaona, angalia kama utasikia siku akidhalikishwa kama ilivyokwa wengine!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini kafanya kosa gani?Fanya utafikiti utaona, angalia kama utasikia siku akidhalikishwa kama ilivyokwa wengine!
Mbona wewe uliomba msamaha ulivyoitwa bungeni?
Wewe siku hizi sio tena Paskali, wewe ni Piskali.
Umenena vyema. Watu wengi wanamsupport Bashiru.Wananodi,
Baada ya Mbunge wa kuteuliwa Mhe. Dr. Bashiru Ali Kakurwa kutoa kauli hii,
CCM, kwachafuka, wengi wamemjia juu kama moto wa kifuu, kwa kumshukia kama mwewe, huku wengine wakimbeza, kumkashifu, kumkejeli na hata kumtukana!.
Huu ni ushauri wangu wa bure kwake, "Ushauri wa Bure kwa Mhe. Dr. Bashiru Ali Kakurwa, If You Are A Man of Principles, Hata Wapige Kelele Vipi, Watukane Vipi, Wakushukie Vipi kama Mwewe, Don't Do The Mistake ya ku Apologize!, Stand Firm With Your Opinion, Utalinda Integrity yako!, utaheshimika zaidi na zaidi, kwa kufuata kauli ya Mwanamapinduzi wa Cuba, Ernesto Che Guevara Quote: “Better to die standing, than to live on your. “Better to die standing, than to live on your knees.” — Ernesto Che Guevara.
Ila kama na yeye amenukuliwa vibaya, sio vibaya akatufafanulia, alimaanisha nini ili aeleweke vizuri, asiwe miss interp
Paskali
Kazungumza kweli.Mlala hoi ndio mwajiri wa serikali kupitia kura zake.Hapa kwetu mlala hoi hana sauti na kura zake zinachakachuliwa.Wananodi,
Baada ya Mbunge wa kuteuliwa Mhe. Dr. Bashiru Ali Kakurwa kutoa kauli hii,
CCM, kwachafuka, wengi wamemjia juu kama moto wa kifuu, kwa kumshukia kama mwewe, huku wengine wakimbeza, kumkashifu, kumkejeli na hata kumtukana!.
Huu ni ushauri wangu wa bure kwake, "Ushauri wa Bure kwa Mhe. Dr. Bashiru Ali Kakurwa, If You Are A Man of Principles, Hata Wapige Kelele Vipi, Watukane Vipi, Wakushukie Vipi kama Mwewe, Don't Do The Mistake ya ku Apologize!, Stand Firm With Your Opinion, Utalinda Integrity yako!, utaheshimika zaidi na zaidi, kwa kufuata kauli ya Mwanamapinduzi wa Cuba, Ernesto Che Guevara Quote: “Better to die standing, than to live on your. “Better to die standing, than to live on your knees.” — Ernesto Che Guevara.
Ila kama na yeye amenukuliwa vibaya, sio vibaya akatufafanulia, alimaanisha nini ili aeleweke vizuri, asiwe miss interp
Paskali
Ile milioni moja ina muuma sana....Pascal Mayalla umevurugwa eti eeh au ndo umepoteza matumaini
Matumaini yaliyeyuka kama barafu baada ya kutembeza bakuli JF ili awe mheshimiwa, lakini wakamtosa mazima mazima!!!!Pascal Mayalla umevurugwa eti eeh au ndo umepoteza matumaini
Kashaitwa kaka yake Kiroboto kawekeka na picha ya kiroboto, hujaona post?Usisahau pia kuwa Bashiri ni Muislamu, ndo maana hata jinsi anavyojibiwa ni kwa heshima husikii akiitwa kiroboto au sijui aambiwe “kazikwe naye Chato”, kuna limit how far they can go with him hata afanye nini huwezi kusikia kadhalilishwa utu wake hata siku moja, some people are more equal than others, and Muslims stick together no matter what, kama hauamini mshauri mtu kama Kabudi arudie ajilipue halafu utasikia huo moto wake,…
Si kweli, maelezo niliyonayo. Ni kuwa statement yake ilikuwa na kiulizo. Waliomihoji wakasema kiulizo hakijaonekana! Hii ni kama maelezo haya niliyonayo hayakuchakachuliwa.Mbona wewe uliomba msamaha ulivyoitwa bungeni?
Unauliza au unajibu?Si kweli?
Nina jibu. Si kweli.Unauliza au unajibu?
Jiandae, usiyemtaka kaja! Ha hahahaha haaaa!Bashiru hana principles, hana heshima wala hana integrity yoyote.
Unamtaka alinde kitu asichokuwa nacho?
Integrity which? Heshima where?
Na ndivyo alivyo I guess. Few words. Lakini amesikika. Hizi siasa zetu za sasa zina shida gani na kukosoana au kuonyana? Mpaka wote tutumbukie shimoni?Wananodi,
Baada ya Mbunge wa kuteuliwa Mhe. Dr. Bashiru Ali Kakurwa kutoa kauli hii,
CCM, kwachafuka, wengi wamemjia juu kama moto wa kifuu, kwa kumshukia kama mwewe, huku wengine wakimbeza, kumkashifu, kumkejeli na hata kumtukana!.
Huu ni ushauri wangu wa bure kwake, "Ushauri wa Bure kwa Mhe. Dr. Bashiru Ali Kakurwa, If You Are A Man of Principles, Hata Wapige Kelele Vipi, Watukane Vipi, Wakushukie Vipi kama Mwewe, Don't Do The Mistake ya ku Apologize!, Stand Firm With Your Opinion, Utalinda heshima yako na integrity yako!, more and more kwa kuheshimika zaidi na zaidi.
Nashauri fuata kauli ya Mwanamapinduzi wa Cuba, Ernesto Che Guevara isemayo “Better to die standing, than living on your knees.” — Ernesto Che Guevara.
Ila kama na wewe umenukuliwa vibaya, sio vibaya akatufafanulia, alimaanisha nini ili aeleweke vizuri, asiwe misinterpreted na kueleweka vibaya.
Paskali
Kaka Tanzania Ina wapumbavu wengi mno, hawa mende wote walikuwa nakinyongo na hamu na bashiru nae kawapa walichotaka, tena ambacho hakina direct interpretation na uzuzu wao, kuna multiple dimensions za tafsiri ya maudhui yake.Wananodi,
Baada ya Mbunge wa kuteuliwa Mhe. Dr. Bashiru Ali Kakurwa kutoa kauli hii,
CCM, kwachafuka, wengi wamemjia juu kama moto wa kifuu, kwa kumshukia kama mwewe, huku wengine wakimbeza, kumkashifu, kumkejeli na hata kumtukana!.
Huu ni ushauri wangu wa bure kwake, "Ushauri wa Bure kwa Mhe. Dr. Bashiru Ali Kakurwa, If You Are A Man of Principles, Hata Wapige Kelele Vipi, Watukane Vipi, Wakushukie Vipi kama Mwewe, Don't Do The Mistake ya ku Apologize!, Stand Firm With Your Opinion, Utalinda heshima yako na integrity yako!, more and more kwa kuheshimika zaidi na zaidi.
Nashauri fuata kauli ya Mwanamapinduzi wa Cuba, Ernesto Che Guevara isemayo “Better to die standing, than living on your knees.” — Ernesto Che Guevara.
Ila kama na wewe umenukuliwa vibaya, sio vibaya akatufafanulia, alimaanisha nini ili aeleweke vizuri, asiwe misinterpreted na kueleweka vibaya.
Paskali
Sasa unajibu wewe kwani yeye hayupo humu au ndio kujipendekeza mkuu. Hata ukijipendekeza kwake huyu Piskali ameshakuwa useless hawezi kukusaidia lolote. Hakubaliki na chama, hakubaliki na upinzani kwa sababu ya undumilakuwili wake.Nina jibu. Si kweli.
Yaani Huwa mnawashauri wenzenu wasimame kama WANAUME Ila mkiambiwa msimame nyinyi hamuwezi...NOTEYeah Nami ninapenda mtu mwenye kusimama kwenye principles zake, binafsi sio mfuasi kabisa wa Dr.Bashiru na tunatofautiana mno kiitikadi, ila kwa hili he must stand as man ili ahesabiwe
Lakini kafanya kosa gani?