Dr. Bashiru, If you are a man of Principles, Hata Wakushukie vipi Stand Firm!, Don't Apologize!, Utaheshimika Zaidi na Zaidi!

Dr. Bashiru, If you are a man of Principles, Hata Wakushukie vipi Stand Firm!, Don't Apologize!, Utaheshimika Zaidi na Zaidi!

Wananodi,
Baada ya Mbunge wa kuteuliwa Mhe. Dr. Bashiru Ali Kakurwa kutoa kauli hii,


CCM, kwachafuka, wengi wamemjia juu kama moto wa kifuu, kwa kumshukia kama mwewe, huku wengine wakimbeza, kumkashifu, kumkejeli na hata kumtukana!.

Huu ni ushauri wangu wa bure kwake, "Ushauri wa Bure kwa Mhe. Dr. Bashiru Ali Kakurwa, If You Are A Man of Principles, Hata Wapige Kelele Vipi, Watukane Vipi, Wakushukie Vipi kama Mwewe, Don't Do The Mistake ya ku Apologize!, Stand Firm With Your Opinion, Utalinda heshima yako na integrity yako!, more and more kwa kuheshimika zaidi na zaidi.

Nashauri fuata kauli ya Mwanamapinduzi wa Cuba, Ernesto Che Guevara isemayo “Better to die standing, than living on your knees.” — Ernesto Che Guevara.

Ila kama na wewe umenukuliwa vibaya, sio vibaya akatufafanulia, alimaanisha nini ili aeleweke vizuri, asiwe misinterpreted na kueleweka vibaya.

Paskali
Hana lolote ameshiriki kuua watu 2020 na kuwafunga acha ashughulikiwe ikibidi hata wamuue kabisa ni msaliti mkubwa hafai
 
Sasa unajibu wewe kwani yeye hayupo humu au ndio kujipendekeza mkuu. Hata ukijipendekeza kwake huyu Piskali ameshakuwa useless hawezi kukusaidia lolote. Hakubaliki na chama, hakubaliki na upinzani kwa sababu ya undumilakuwili wake.


Remember ameshawahi kumchoma mwanahabari mwenzie, kaa nae mbali.
Paschal, Bashiru, Polepole, Kabudi, Mkumbo na wengine wasaka tonge usiwaamini hata kwa dak 1
 
Wananodi,
Baada ya Mbunge wa kuteuliwa Mhe. Dr. Bashiru Ali Kakurwa kutoa kauli hii,


CCM, kwachafuka, wengi wamemjia juu kama moto wa kifuu, kwa kumshukia kama mwewe, huku wengine wakimbeza, kumkashifu, kumkejeli na hata kumtukana!.

Huu ni ushauri wangu wa bure kwake, "Ushauri wa Bure kwa Mhe. Dr. Bashiru Ali Kakurwa, If You Are A Man of Principles, Hata Wapige Kelele Vipi, Watukane Vipi, Wakushukie Vipi kama Mwewe, Don't Do The Mistake ya ku Apologize!, Stand Firm With Your Opinion, Utalinda heshima yako na integrity yako!, more and more kwa kuheshimika zaidi na zaidi.

Nashauri fuata kauli ya Mwanamapinduzi wa Cuba, Ernesto Che Guevara isemayo “Better to die standing, than living on your knees.” — Ernesto Che Guevara.

Ila kama na wewe umenukuliwa vibaya, sio vibaya akatufafanulia, alimaanisha nini ili aeleweke vizuri, asiwe misinterpreted na kueleweka vibaya.

Paskali
Its a good advice but...... nachokiona mimi ni kuwa yupo nje ya Team ndio maana ya yote haya ila na yeye alipokuwa kwenye awamu iliyopita alishiriki kwenye ''praise team'' na hakukosolewa. Aliendesha/kuratibu magenge ya hatari na nguvu ya dola kuwatesa sana wapinzani wa utawala ule. Anapaswa kusoma alama za nyakati, he should not play hero.
 
Wananodi,
Baada ya Mbunge wa kuteuliwa Mhe. Dr. Bashiru Ali Kakurwa kutoa kauli hii,


CCM, kwachafuka, wengi wamemjia juu kama moto wa kifuu, kwa kumshukia kama mwewe, huku wengine wakimbeza, kumkashifu, kumkejeli na hata kumtukana!.

Huu ni ushauri wangu wa bure kwake, "Ushauri wa Bure kwa Mhe. Dr. Bashiru Ali Kakurwa, If You Are A Man of Principles, Hata Wapige Kelele Vipi, Watukane Vipi, Wakushukie Vipi kama Mwewe, Don't Do The Mistake ya ku Apologize!, Stand Firm With Your Opinion, Utalinda heshima yako na integrity yako!, more and more kwa kuheshimika zaidi na zaidi.

Nashauri fuata kauli ya Mwanamapinduzi wa Cuba, Ernesto Che Guevara isemayo “Better to die standing, than living on your knees.” — Ernesto Che Guevara.

Ila kama na wewe umenukuliwa vibaya, sio vibaya akatufafanulia, alimaanisha nini ili aeleweke vizuri, asiwe misinterpreted na kueleweka vibaya.

Paskali
Shida ya DR. Bashiru ni kuyakana maneno yake mwenyewe. ivi kuna kipindi mtawala alisifiwa kama kipindi cha magufuli na yeye akiwa katibu mkuu? raisi yule alifikia kusema akifa sijui hiki atajenga nani na ujinga mwingi tu.... yote yalifanyika Bashiru akiwa katibu mkuu. leo inakuwa nongwa kusema mama anaupiga mwingi ambayo kimsingi siyo kauli ya serikali ........ tuache unafiki, bashiru huyu alinajisi ofisi kwa kununua wabunge ati wanaunga mkono juhudi? kisha wanarudishwa kwenye majimbo yaleyale tena kwa gharama za kodi zetu
 
Sitegemei Bashiru afanye huo ujinga alioufanya Ndugai, kama akifanya hivyo atakuwa mtu wa ajabu zaidi asiyejifunza kwa lolote, hizi kelele kwa namna moja au nyingine naamini lazima alizi anticipate hivyo sioni kama zitamsumbua kwa vyovyote.
Mwanasiasa awe na msimamo?
 
Wananodi,
Baada ya Mbunge wa kuteuliwa Mhe. Dr. Bashiru Ali Kakurwa kutoa kauli hii,


CCM, kwachafuka, wengi wamemjia juu kama moto wa kifuu, kwa kumshukia kama mwewe, huku wengine wakimbeza, kumkashifu, kumkejeli na hata kumtukana!.

Huu ni ushauri wangu wa bure kwake, "Ushauri wa Bure kwa Mhe. Dr. Bashiru Ali Kakurwa, If You Are A Man of Principles, Hata Wapige Kelele Vipi, Watukane Vipi, Wakushukie Vipi kama Mwewe, Don't Do The Mistake ya ku Apologize!, Stand Firm With Your Opinion, Utalinda heshima yako na integrity yako!, more and more kwa kuheshimika zaidi na zaidi.

Nashauri fuata kauli ya Mwanamapinduzi wa Cuba, Ernesto Che Guevara isemayo “Better to die standing, than living on your knees.” — Ernesto Che Guevara.

Ila kama na wewe umenukuliwa vibaya, sio vibaya akatufafanulia, alimaanisha nini ili aeleweke vizuri, asiwe misinterpreted na kueleweka vibaya.

Paskali
It's you Pascal Mayalla again!

Kilichochangia huyu Bashiru ashukiwe kama mwewe ni baadhi ya matendo na matamshi yake wakati mkono wake ulipokuwa unachovya kwenye buyu la asali enzi za utawala wa jiwe. Hiyo "Moral Authority" anaitowa wapi wakati alifanya ya hovyo enzi za utawala wa jiwe? Angeyasema haya enzi zile akiwa pale Mlimani usingesikia kelele zote hizi.
 
Wananodi,
Baada ya Mbunge wa kuteuliwa Mhe. Dr. Bashiru Ali Kakurwa kutoa kauli hii,


CCM, kwachafuka, wengi wamemjia juu kama moto wa kifuu, kwa kumshukia kama mwewe, huku wengine wakimbeza, kumkashifu, kumkejeli na hata kumtukana!.

Huu ni ushauri wangu wa bure kwake, "Ushauri wa Bure kwa Mhe. Dr. Bashiru Ali Kakurwa, If You Are A Man of Principles, Hata Wapige Kelele Vipi, Watukane Vipi, Wakushukie Vipi kama Mwewe, Don't Do The Mistake ya ku Apologize!, Stand Firm With Your Opinion, Utalinda heshima yako na integrity yako!, more and more kwa kuheshimika zaidi na zaidi.

Nashauri fuata kauli ya Mwanamapinduzi wa Cuba, Ernesto Che Guevara isemayo “Better to die standing, than living on your knees.” — Ernesto Che Guevara.

Ila kama na wewe umenukuliwa vibaya, sio vibaya akatufafanulia, alimaanisha nini ili aeleweke vizuri, asiwe misinterpreted na kueleweka vibaya.

Paskali
Majizi ndio yaliyomjia juu.
kwa hoja ndogo kama hii wanachanganyikiwa basi chama kipo hatua za mwishoni katika enzi
 
Hawezi Rudi kuomba radhi.

Ana backup ya watu wazito, CCM halisi. Warithi wa Babu.

Tulikuwa na kiapo chetu Cha TANU, " Nitasema KWELI daima, FITINA kwangu MWIKO".
 
Wananodi,
Baada ya Mbunge wa kuteuliwa Mhe. Dr. Bashiru Ali Kakurwa kutoa kauli hii,


CCM, kwachafuka, wengi wamemjia juu kama moto wa kifuu, kwa kumshukia kama mwewe, huku wengine wakimbeza, kumkashifu, kumkejeli na hata kumtukana!.

Huu ni ushauri wangu wa bure kwake, "Ushauri wa Bure kwa Mhe. Dr. Bashiru Ali Kakurwa, If You Are A Man of Principles, Hata Wapige Kelele Vipi, Watukane Vipi, Wakushukie Vipi kama Mwewe, Don't Do The Mistake ya ku Apologize!, Stand Firm With Your Opinion, Utalinda heshima yako na integrity yako!, more and more kwa kuheshimika zaidi na zaidi.

Nashauri fuata kauli ya Mwanamapinduzi wa Cuba, Ernesto Che Guevara isemayo “Better to die standing, than living on your knees.” — Ernesto Che Guevara.

Ila kama na wewe umenukuliwa vibaya, sio vibaya akatufafanulia, alimaanisha nini ili aeleweke vizuri, asiwe misinterpreted na kueleweka vibaya.

Paskali
Pascal pascal ukirudi kwenye ubora wako.
Bill ya wine kila wekend count on me bablai.

Nimekupenda tena🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom