Dr. Bashiru, If you are a man of Principles, Hata Wakushukie vipi Stand Firm!, Don't Apologize!, Utaheshimika Zaidi na Zaidi!

Kiukweli Bashiru hana principle zozote, ni njaa tupu. Anawezaje sasa kuwakosoa wanaomsifia Samia (Samia anaupiga mwingi) wakati jana alikuwa ni kwaya master wa kumsifia Magufuli (Magu ndio kila kitu)?
 
ameshakuwa useless hawezi kukusaidia lolote.
Moja ya signature yangu inaenda kwa maneno ya "kada wa mtu ni chawa na kada wa Chama ni mwanachama anayefuta malengo ya chama".

Mimi ni kada wa Tanzania moja. Yaani Mimi ni kada wa Jamhuri ya Muungano Tanzania.

Nimemaliza
 
Ana "principle" gani huyu ndie alienajisi demokrasia 2020.
Aheshimike kwa lipi kwa kukosa ugali?
Ataheshimika mtu ambaye dunia inajua alikuwa "mastermind" wa kupora kura za wapinzani 2020 chini ya hayati.
Heshima haina mabavu heshima ni matendo mema kuwatendea wengine.
 

Family to feed not community to impress - Lijualikali
 
Hata mhusika mwenyewe anaafiki!
 
Nikuondoe shaka, he is not a man of principles. Ni mganga njaa.
Angekua man of principles asingekubali maonevu ya mwenda zake. Pia kusingekuwa na harakati za kumsifia Mwendazake kiasi kile.

Ongezea na hili,Alisinamimi Mabadiliko ya Katiba lakini wakati wa Mwendazake ni yeye alipinga Katiba Mpya.Hana u principle wowote,Kinyongo tu kina mtesa
 
Kiukweli Bashiru hana principle zozote, ni njaa tupu. Anawezaje sasa kuwakosoa wanaomsifia Samia (Samia anaupiga mwingi) wakati jana alikuwa ni kwaya master wa kumsifia Magufuli (Magu ndio kila kitu)?

Jibu ni simple tu....anasifia anachokiamini...
 
Muache ashupaze shingo, wahenga walishasema itavunjika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…