Dr. Biteko anastahili kupewa nafasi yakuongoza nchi; ana hofu ya Mungu na anaheshimu mawazo, utu na maoni ya wasiompenda na wanaompenda

Dr. Biteko anastahili kupewa nafasi yakuongoza nchi; ana hofu ya Mungu na anaheshimu mawazo, utu na maoni ya wasiompenda na wanaompenda

Ana hofu ya Mungu imekuwa kichaka cha kujificha hiyo siyo sifa
 
Biteko ni Kiongozi mzuri mnyonge mnyongeni.
 
Katika siasa za Tanzania Dr. Biteko na Majaliwa wanayo nafasi kubwa yakuongoza nchi yetu. Ni viongozi wanaoamini kwenye mabadilishano ya hoja, mabadiliko na mchuano wa fikra.

Wote wana mapungufu yakibinadamu lakini wana mengi mazuri kuliko mabaya. Mwenyenzi Mungu awaepushe na tamaaaaa
Comments reserved
 
Katika siasa za Tanzania Dr. Biteko na Majaliwa wanayo nafasi kubwa yakuongoza nchi yetu. Ni viongozi wanaoamini kwenye mabadilishano ya hoja, mabadiliko na mchuano wa fikra.

Wote wana mapungufu yakibinadamu lakini wana mengi mazuri kuliko mabaya. Mwenyenzi Mungu awaepushe na tamaaaaa
Tuwe na Rais Mnyarwanda?

Kweli TISS walazimishe Katiba mpya haraka sana!
 
Wananchi tunamwamini Mungu hivyo tunahitaji kiongozi wa imani yetu.

Katafute nchi yako isiyoamini katika Mungu.

In GOD WE TRUST
Tangu uhuru kwa miaka 60 mmekuwa mnaongozwa na viongozi wa imani zenu, hawakosi kanisani au msikitini lakini kiko wapi ?
 
Mwenyenzi Mungu amekataza kuua, hawa watu wawili wanaweza kupambana na mauaji ya watu wanaodai haki
Ambao wamekuwa wanaua na wanaoua watu wanaodai haki sasa hivi ni wapagani?? Sio watu wanaohudhuria makanisani na misikitini??
 
Katika siasa za Tanzania Dr. Biteko na Majaliwa wanayo nafasi kubwa yakuongoza nchi yetu. Ni viongozi wanaoamini kwenye mabadilishano ya hoja, mabadiliko na mchuano wa fikra.

Wote wana mapungufu yakibinadamu lakini wana mengi mazuri kuliko mabaya. Mwenyenzi Mungu awaepushe na tamaaaaa
Nchi hii tunaupumbavu sana , hivi mnafikili Urais ni jambo jepesi kiasi hichi , kamtembelee D.c wa kimataifa alafu uje tena andika
 
Katika siasa za Tanzania Dr. Biteko na Majaliwa wanayo nafasi kubwa yakuongoza nchi yetu. Ni viongozi wanaoamini kwenye mabadilishano ya hoja, mabadiliko na mchuano wa fikra.

Wote wana mapungufu yakibinadamu lakini wana mengi mazuri kuliko mabaya. Mwenyenzi Mungu awaepushe na tamaaaaa
Naona watusi mmeanza kusongesha Ajenda
 
Katika siasa za Tanzania Dr. Biteko na Majaliwa wanayo nafasi kubwa yakuongoza nchi yetu. Ni viongozi wanaoamini kwenye mabadilishano ya hoja, mabadiliko na mchuano wa fikra.

Wote wana mapungufu yakibinadamu lakini wana mengi mazuri kuliko mabaya. Mwenyenzi Mungu awaepushe na tamaaaaa
Unachekesha dogo, mtu mwenye hofu ya mungu ana PhD ya magumashi
Alafu Yuko kwenye cha ambacho amezingukwa na majangili
 
Katika siasa za Tanzania Dr. Biteko na Majaliwa wanayo nafasi kubwa yakuongoza nchi yetu. Ni viongozi wanaoamini kwenye mabadilishano ya hoja, mabadiliko na mchuano wa fikra.

Wote wana mapungufu yakibinadamu lakini wana mengi mazuri kuliko mabaya. Mwenyenzi Mungu awaepushe na tamaaaaa
Siyo kwa unaya lakini kurudisha kijiti kanda ya ziwa (ziwa victoria) ni kuturudisha tulipo kuwa tunalima kwa meno 🙌
 
Katika siasa za Tanzania Dr. Biteko na Majaliwa wanayo nafasi kubwa yakuongoza nchi yetu. Ni viongozi wanaoamini kwenye mabadilishano ya hoja, mabadiliko na mchuano wa fikra.

Wote wana mapungufu yakibinadamu lakini wana mengi mazuri kuliko mabaya. Mwenyenzi Mungu awaepushe na tamaaaaa
Kwa hiyo mtu yoyote mwenye hofu ya Mungu na kusikiliza mawazo ya watu apewe nchi? Mbona hao watu wako wengi?
Kuongoza nchi ni zaidi ya hivyo kaka
 
Katika siasa za Tanzania Dr. Biteko na Majaliwa wanayo nafasi kubwa yakuongoza nchi yetu. Ni viongozi wanaoamini kwenye mabadilishano ya hoja, mabadiliko na mchuano wa fikra.

Wote wana mapungufu yakibinadamu lakini wana mengi mazuri kuliko mabaya. Mwenyenzi Mungu awaepushe na tamaaaaa
Huyu Mnyarwanda?
 
Huu Urais wa Tanzania mnauchukulia poa sana, basi tumpe Kingwendu kabisa maana imeshakuwa ujinga sasa
 
Back
Top Bottom