Dr. Cheni aeleza sababu za kutojihusisha tena na filamu nchini

umesema kila kitu mkuu.
 
Bongo movies sijui bongo flavor ni wakuupuzwa tuu hamjitambui ndio maana mnatumiwa kama toilet paper
 
Na ikifika wakati wa uchaguzi wanazunguka na ccm nchi nzima,,pumbavu sana na sanaa itawalipa mtakapo pata akili.
 
Pole kada naona imekuuma
 
Acheni utani, hivi niache kuangalia 24 niangalie movie ya cheni sijui..
 
Tumehamia kwenye series hata bongo movie za buku buku sichukuiii
 
Bongo movie na wanamuziki mlijifanya mna akili sana, mlitumika kuwapa maujiko ccm mwaka jana kwahiyo tutaendelea kununua kazi bandia hadi mtakaposhtuka.
 
Pole kada naona imekuuma
Kwa kuwa Bavicha mna vipaji vya kuporomosha mitusi basi mmegeuza huu uzi ni wa kutoa mapovu yenu...ila kwa mtu mwenye kufikiri hamna hoja yoyote mnayoitoa yenye maana.

Hata Chibu angebuma mngeongea haya haya...ameshiriki kampeni, amevaa jezi za Chama pendwa na bado anawakalisha.

Video yake sasa hivi You tube inaenda view 7.5m, anavunja rekodi aliyoiweka yeye mwenyewe...hao wenu waliovaa kama Migambo kwenye kampeni zenu wako wapi? wengine ndio kwanza wanawatoroka na kurudi Chama Dume.

Chibu anasapoti Chama number one na yeye ni msanii number one...mmechooooka hamna hamu...mnapambana kila kukicha kutengeneza mpinzani wake lakini wapi.

Hata Fiesta ingebuma mngejazana humu kuinanga Clouds...lakini wapi jamaa wamewaziba midomo...mlisubiri kwa hamu kama Fisi anayevizia mkono wa Binadamu uanguke.

Kitakachowanufaisha hawa Wasanii ni kazi nzuri tu na sio huu utumbo mnaojaza humu kwenye uzi...hizi hoja zenu ni mufilisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…