Dr Chris cyrilo, Africa amani wanufaikaji zaidi ni Watawala ili waendelee kuiba na kula, huku masikini wakiwa hoi.

Dr Chris cyrilo, Africa amani wanufaikaji zaidi ni Watawala ili waendelee kuiba na kula, huku masikini wakiwa hoi.

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Nakubalina kabisa na mdau huyo kuhusu amani. Nyimbo za tuidumisje amani, tuitunze amani wanufaikaji ni watawala ili waendele kula kwa amami na raha mstarehe.
FB_IMG_1720266789052.jpg


Raia wanacho fanya huuziwa uoga wa vita ili wawe watulivu hata wasiulize yale ya msingi kwa faida yao.

Wakati watawala wanahubiri amani huwaezi hata siku moja kuwasikia wakiwa kwemye makongamano ya amani wanazungumzia mambo kama vile;

1. Raia wanao shinda njaa katika taifa la amani tele, bora kushinda njaa Congo.

2.Rushwa za pesa za umma, hili haliwezi gusiwa na wahubiri amani.Full rushwa kwenye taifa la amani.

3. Tatizo la ajira, hii wahubiri amani hutawasikia wanatia neno hapa.Vijana hawana ajira kwenye taifa la amani.

4. Upendeleo kwenye maswala kama ajira, hapa nako hutawasikia kabisa.

5.Matumizi mabaya ya Madaraka,kubambikia raia kesi, utekaji na kadhalika hapa hutawasikia kamwe.

6. Matumizi mabaya ya pesa za umma, matumizi ya anasa.

7. Mambo kama Kodi, tozo mazingira magumu hata ya wasio na kazi kujiajiri wenyewe, hutasikia wahubiri amani wanagusia.

8. Maswala kama Huda za afya, gharama kubwa za huduma za afya, watu wengi wanafariki kwa kukosa huduma za afya. Huwezi wasikia wahubiri amani wanazungumzia haya.
 
Kabla hujaandika bandiko ,uwe unajiuliza

Nchi nyingi afrika hazina amani zinautulivu

Zao la utulivu ,ni ujinga kunyimwa pata elimu bora

Kwasababu nchi zenye amani zinasifa kama hizo ,eg wananchi kupata elimu bora ,matibabu ya uhakika ,ajira pasipo shaka ,kutokuwepo kwa rusha nchini mwao, uhuru wakujieleza ,kuchaguliwa na kuchagua ongeza na yakwako
Ukiona ,nchi hizo zmekosa yahapo juu ,tambua zina utulivuna si amani
 
Kabla hujaandika bandiko ,uwe unajiuliza

Nchi nyingi afrika hazina amani zinautulivu

Zao la utulivu ,ni ujinga kunyimwa pata elimu bora

Kwasababu nchi zenye amani zinasifa kama hizo ,eg wananchi kupata elimu bora ,matibabu ya uhakika ,ajira pasipo shaka ,kutokuwepo kwa rusha nchini mwao, uhuru wakujieleza ,kuchaguliwa na kuchagua ongeza na yakwako
Ukiona ,nchi hizo zmekosa yahapo juu ,tambua zina utulivuna si amani
Naunga mkono hoja ako
 
Nakubalina kabisa na mdau huyo kuhusu amani. Nyimbo za tuidumisje amani, tuitunze amani wanufaikaji ni watawala ili waendele kula kwa amami na raha mstarehe.
View attachment 3034980

Raia wanacho fanya huuziwa uoga wa vita ili wawe watulivu hata wasiulize yale ya msingi kwa faida yao.

Wakati watawala wanahubiri amani huwaezi hata siku moja kuwasikia wakiwa kwemye makongamano ya amani wanazungumzia mambo kama vile;

1. Raia wanao shinda njaa katika taifa la amani tele, bora kushinda njaa Congo.

2.Rushwa za pesa za umma, hili haliwezi gusiwa na wahubiri amani.Full rushwa kwenye taifa la amani.

3. Tatizo la ajira, hii wahubiri amani hutawasikia wanatia neno hapa.Vijana hawana ajira kwenye taifa la amani.

4. Upendeleo kwenye maswala kama ajira, hapa nako hutawasikia kabisa.

5.Matumizi mabaya ya Madaraka,kubambikia raia kesi, utekaji na kadhalika hapa hutawasikia kamwe.

6. Matumizi mabaya ya pesa za umma, matumizi ya anasa.

7. Mambo kama Kodi, tozo mazingira magumu hata ya wasio na kazi kujiajiri wenyewe, hutasikia wahubiri amani wanagusia.

8. Maswala kama Huda za afya, gharama kubwa za huduma za afya, watu wengi wanafariki kwa kukosa huduma za afya. Huwezi wasikia wahubiri amani wanazungumzia haya.
👏👏👏👏👏
 
Back
Top Bottom