Dr. Chris Mauki vs Kataa Ndoa: Je, ndoa ni suala la Kisaikolojia? Ni lazima Uoe? Hayo na mengine mengi yamejibiwa hapa, sogea karibu kushiriki mjadala

Dr. Chris Mauki vs Kataa Ndoa: Je, ndoa ni suala la Kisaikolojia? Ni lazima Uoe? Hayo na mengine mengi yamejibiwa hapa, sogea karibu kushiriki mjadala

Ninyi wanaume huwa mnachelewa kwenye mambo mengi sana, Sisi Feminists (not equalists) Tumeanza kuikataa dhana ya ndoa muda mrefu sana kabla yenu. Kwenye masomo yetu kuna "labelled "institution mbili ambazo zinatumika kwa kiasi kikubwa kumkandamiza mwanamke nazo ni 1. Dini 2. Ndoa.

Kila movement ina "tapo" zake: As long as watu wataendelea kupendana na kuhitaji kuishi pamoja SIO jambo rahisi kuiteketeza institution ya ndoa sababu ni hitaji binafsi. Mahitaji binafsi ni yale ambayo huwezi kuwainfluence watu wote wakubaliane na mtazamo wenye mlengo mmoja: Ndipo; tukaja na ideology ya kuwepo kwa ndoa inayoendana na mahitaji na mazingira ya usasa, Si hivyo tu tukaomba sheria zirahisishe mchakato wa talaka kwa watakao shindwana basi isiwe ngumu kuseparate wakati huo huo kulinda haki za yule ambaye si superior.

However, katika kila movement kuna maslahi binafsi na uelewa binafsi, ndipo mivutano inapotokea; one needs to understand unapokuwa feminist ni majukumu gani unatakiwa kuyabeba, na ni yapi hutakiwi kuyabeba ikiwa umekubali kuolewa. Naturally, mwanadamu ni mnyama huru/mnyama wa mabadiliko ndio maana kitu chochote chenye harufu ya utumwa kitakosa uungwaji mkono siku za usoni.

At all kama jamii hatupo pabaya, imebaki uelewa wa mtu mmoja mmoja na kuyaishi anayoyahubiri. Kwa kumaliza, ndoa ni hitaji binafsi sio lazima na ndio maana gerezani hakuna aliyefungwa kwa kutokuoa/kuolewa.

Binafsi napenda mapenzi, napenda companionship, nampenda pia mahi wangu, kwahiyo hitaji lakuwa naye ni priority, na tunaijenga taasisi yetu kuweza kuaccomodate mahitaji yetu binafsi.
 
Huu mjadala utakuwa hauna maana bila uwepo wa Rais wa Kataa ndoa.

Cc: Liverpool VPN
""Mwisho kabisa kuna kitu kinachanganywa hapa, watu hawakatai kuwa na mahusiano ya kimapenzi bali wanakataa ndoa. Ambayo ni mfumo wa kisheria wa kumkandamiza mwanaume dhidi ya mwanamke anayeishi naye kingono.""

Mwamba mtoa hoja Mgeni wa Jiji ametisha sanaa.
Sina cha kuongeza

SIFA ZIENDE KWAKE.

#YNWA
 
Endeleeni tu na hashtag zenu mwisho wa siku msijelalama hapa na watoto wenu wakiwa wa hovyo kwasababu ya kulelewa upande mmoja,wakati wasukuma na wapemba wakiijaza bongo nakuwa na stable family na malezi mazuri ya watoto wao ,,,ilianza Marekani,Europe,South Africa sasa Africa yote smh wazungu na wamarekani weusi wenyewe wanatoka kwao kuja huku kutafuta wake kwao hakufai,,,nyie huku mnatembeza hashtag niulize wazazi wako wasingekua pamoja ungekua wapi sasa!
Ni hisia tuu...

#YNWA
 
And women provide act of services all the time, washing, arranging, cooking, cleaning what so ever the domestic chores you name it... and what token of appreciation can you provide?

the problem is you compare so much with providing(money) to act of service done women (domestic chores) rather than mutual understanding and believing on what each of contribute and how it matters to the growth of health relationship.
Kwani siku hizi wanawake wanafanya hata hizo kazi kama sehemu ya wajibu wao basi?!!! Mmmh! Wanataka ama wanalazimisha wanaume wawasaidie kazi za nyumbani, mambo yakiwa mengi wanaomba kuletewa msaidizi wa kazi za nyumbani.... Maisha ya ndoa nowadays ni tafrani tupu
 
Mwanamke/mwanaume amemalala na wanawake/wànaume zaidi ya 30 Kwenye mihangaiko yake, Alafu wewe wa 31 ndo unataka kufunga Naye ndoa...
( Unajikorogea sumu mwenyewe) [emoji855][emoji855][emoji855]


. Kwa Sasa haina haja ya kuoa, hasa pale Kama siyo bikra.

. Fuata step hizi
1. Tafuta mchumba
2. Zaa Naye
3. Kapime mtoto/watoto DNA
4. Anza kulea mtoto/watoto
5. Endelea kutafuta tela
6. Subiri kuzeeka Kisha kufa, story inaishia hapo.
Sikupingi mwamba. End of story
 
I'm personally all for people making their own decision based on what they believe, their desires, needs, and willingness to commit when it comes to marriage.

Ndoa should be the highest level of commitment towards one another, and therefore should not be taken lightly. Ila in recent years, watu wamekua wakiitumia kama kichaka chakupata mahitaji yao huku wakiendelea kuishi maisha mengine pembeni ambayo haya-align hata kidogo na concept nzima ya ndoa. The whole idea of loving eachother wholly and being there for better or worse doesn't apply to them.

As much as I hate yo admit this, baadhi yetu wanawake tunakimbilia ndoani tukiwa hatuko tayari ku-contribute chochote cha maana. Not financially japo tunaweza kuwa na kipato kizuri tu, not emotionally, not intellectually, not practically maana hata malezi ya watoto siku hizi ni jukumu la wadada, sometimes not even sexually. Na sio kama hatuwezi, ila hatutaki/hatuko tayari.

Huwa nikiona kina Mzee wa kupambania na genge lake wakiuliza wanawake wana nini chaku-offer zaidi ya sex kwenye mahusiano/ndoa nakasirika sana, hata kama vitu vingine walivyoongea ni point 💯 siwapi #LIKE 🥴 Nikijifikiria mimi na baadhi ya watu nnaowajua najisemea, "What a stupid question?" But, when I set aside my emotions and consider our society as a whole, I come to terms with the fact that it's a very valid question. Tukubali au tukatae, ukweli ni kwamba some of us are extremely self-centered.

Huko kwenye sheria ya kugawana mali mi sitaki kwenda, but perhaps it's time to review the entire legal framework surrounding marriage kwa faida ya wote...?🤔

Anyways, pamoja na yote hayo, ijulikane kwamba I HATE hii movement ya #KATAA NDOA

Sababu inayonifanya niichukie ni kwasababu baadhi ya vijana ni conformists. Hawahitaji kuelewa exactly what's being discussed, the magnitude of this current trend wala nini...watafuata tu mkumbo because, well...it's a new trend. Binafsi naamini wanahitaji kujitafuta na kujitambua bila kuwa influenced na hizi campaign. Ikifika mahali baadhi yao wakaamua kweli hawataki ndoa, basi iwe kwasababu zao binafsi na sio influence of others.
Aisee kumbe kuna ke mnatumia hizo chogo zenu vizuri kabisa.
Kuna mmoja nlikua natarajia awe mke ila amenidisappoint kwa majibu yake.
Yeye anachoamini ni kua mwanaume ndo anatakiwa kuprovide no matter what, hata yeye akiwa na kibunda na Me ukawa huna kitu, basi atakusubiri wewe Me uinuke uendelee kuprovide, nenda kafanye kibarua chochote yeye na wanae wale 😂😂.
 
the question of what you bring on the table for both men and women has brought fear of commitment hence people really don't want to get married but just wanna mingle around. This is why mostly people have multi lovers and the issue keeps on getting worse... not having a stable job or source of income can also be another case too, some men I know don't want to even be in a relationship with the idea of they can't really satisfy their partner's needs, so how a person like this get married and be there to contribute in providing for the new family?
You speak well on issue of financially for men it hard to marry if he can not have source of income.In my side there so many factors hinder married for men include the big of financially.
 
Aisee kumbe kuna ke mnatumia hizo chogo zenu vizuri kabisa.
Kuna mmoja nlikua natarajia awe mke ila amenidisappoint kwa majibu yake.
Yeye anachoamini ni kua mwanaume ndo anatakiwa kuprovide no matter what, hata yeye akiwa na kibunda na Me ukawa huna kitu, basi atakusubiri wewe Me uinuke uendelee kuprovide, nenda kafanye kibarua chochote yeye na wanae wale 😂😂.
Kimbia
 
Back
Top Bottom