DR Congo, kubwa jinga linalokula mayenu tu bila aibu!

DR Congo, kubwa jinga linalokula mayenu tu bila aibu!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Nchi ya Congo na uongozi wake wanatutia aibu Afrika.

Kwa miaka nenda rudi wamejitawala lakini wana mindset ya kufanyiwa mambo yote na wau wengine.

Sasa hivi wanasumbuliwa na M23, lakini wao wanaona kulitatua tatizo ni kuwaite watu wa nchi nyingine wawatatulie tatizo hilo.

Huo ni ukubwa jinga!

Congo na utajiri wake, inashindwaje kutengeneza jeshi la askari 100,000 na kuwakabaili vilivyo M23?

Congo ujanja wao wote ni mayenu na kula bata tu, waache wafundishwe dunia na ka bwana mdogo Kagame.
 
Utatengenezaje jeshi kwenye nchi isiyotawalika?

Kwenye nchi ambayo nchi zote kubwa duniani zinataka wasielewane?
 
Utatengenezaje jeshi kwenye nchi isiyotawalika?

Kwenye nchi ambayo nchi zote kubwa duniani zinataka wasielewane?
WaCongo wanatakiwa waifanye nchi yao itawalike.
Hakuna nchi itawafundisha hilo.
 
Utatengenezaje jeshi kwenye nchi isiyotawalika?

Kwenye nchi ambayo nchi zote kubwa duniani zinataka wasielewane?
WaCongo wanatakiwa waifanye nchi yao itawalike.
Hakuna nchi itawafundisha hilo.
 
Utatengenezaje jeshi kwenye nchi isiyotawalika?

Kwenye nchi ambayo nchi zote kubwa duniani zinataka wasielewane?
inawezekana kabisa. unakamata vibaraka wao wa ndani unawanyonga au kifungo cha maisha kutegemeana na kosa. Na kila anayeibuka unamnyonga pasipo kuruhusu mazungumzo ya aina yo yote. Na kainchi jirani unakapiga mkwara kukavamia kwa kujenga kituo kikubwa cha jeshi kilometa chache kutoka mpakani na unaweka silaha za kutisha.

Ulishawahi kujiuliza kwa nini tz kuna vituo vya kijeshi songea, jkt kule mbamba bay, kaboya kagera, Monduli? na Tabora kwa ajili ya proxies kama za rukwa na kigoma aka jkt?
 
inawezekana kabisa. unakamata vibaraka wao wa ndani unawanyonga. Na kila anayeibuka unamnyonga pasipo kuruhusu mazungumzo ya aina yo yote. Na kainchi jirani unakapiga mkwara kukavamia kwa kujenga kituo kikubwa cha jeshi kilometa chache kutoka mpakani na unaweka silaha za kutisha.

Ulishawahi kujiuliza kwa nini tz kuna vituo vya kijeshi songea, jkt kule mbamba bay, kaboya kagera, Monduli? na Tabora ajili ya proxies kama za rukwa na kigoma aka jkt?
Mkuu tatizo wenzetu hawa wanapenda raha tu.
 
Nchi ya Congo na uongozi wake wanatutia aibu Afrika.

Kwa miaka nenda rudi wamejitawala lakini wana mindset ya kufanyiwa mambo yote na wau wengine.

Sasa hivi wanasumbuliwa na M23, lakini wao wanaona kulitatua tatizo ni kuwaite watu wa nchi nyingine wawatatulie tatizo hilo.

Huo ni ukubwa jinga!

Congo na utajiri wake, inashindwaje kutengeneza jeshi la askari 100,000 na kuwakabaili vilivyo M23?

Congo ujanja wao wote ni mayenu na kula bata tu, waache wafundishwe dunia na ka bwana mdogo Kagame.
Wewe kumbafu mambo yetu ya Congo 🇨🇩 yanakuwashaje! Hawa M23 unajua wanapigania nini kenge wewe
 
Mkuu tatizo wenzetu hawa wanapenda raha tu.
ni shida sana. wacongo ni wajinga na wavivu kupindukia. hata chakula wanaagiza kutoka africa ya kusini na zimbabwe. kinshasa hata nanasi zinaagizwa kutoka south...
 
Tanzania ndiyo ya hovyo sasa.toka tupate uhuru tunaongozwa na chama kimoja tena kwa kuiba kura na wtz wanaona safi tu.wacongo wanajitambua hawataki unafiki wa viongozi wezi ndiyo maana wanaamua kuwashughulikia kwa kupigana na hao wahuni .
 
Wewe kumbafu mambo yetu ya Congo 🇨🇩 yanakuwashaje! Hawa M23 unajua wanapigania nini kenge wewe
Wajinga wajinga kama wewe ndio hata kuweka point yako hujui.
Sasa wewe bibie kalalie hilo tako lako nuksi, hakuna anaye litaka.
 
Sisi M23 tunapigania haki zetu Congo! Kwa mfano tena nikupe uhalisia walifanya makosa sana kutupiga 2012, tulienda Mlima ya Sabinyo Uganda Kujipa na tumerudi tena! Wewe Mtanzania embu fikiri leo eti wamasai wapigwe waondoke Tanzania si haki kabisa kwani nao wana madai na haki zao za msingi. Ona sasa ndio maana ECRAF hata walipokuwa Bunagana (The Largest Military Facility in Nord Kivu) Force Kamanda Major General Jeff Nyagah alisema hakuja Congo kutupiga ila alisema yeye alikuja for peace talk. Akafitiniwa na Serekali ya Kinshasa na Kurudi kwao.

Sasa jua yafuatayo Congo itagawanyika na kutoa nchi nyingine ya kivu(North) na makao makuu yatakuwa Goma. Na pia South kivu nayo wataanzisha nchi yao na makao makuu yatakuwa Katanga. Reference is made to Southern Sudan 🇸🇩
(Jubanese)
 
Utajiri wao wa madini, misitu, ardhi na rasilimali nyingi umegeuka laana.
 
Nchi ya Congo na uongozi wake wanatutia aibu Afrika.

Kwa miaka nenda rudi wamejitawala lakini wana mindset ya kufanyiwa mambo yote na wau wengine.

Sasa hivi wanasumbuliwa na M23, lakini wao wanaona kulitatua tatizo ni kuwaite watu wa nchi nyingine wawatatulie tatizo hilo.

Huo ni ukubwa jinga!

Congo na utajiri wake, inashindwaje kutengeneza jeshi la askari 100,000 na kuwakabaili vilivyo M23?

Congo ujanja wao wote ni mayenu na kula bata tu, waache wafundishwe dunia na ka bwana mdogo Kagame.
Cc kwisha
 
Sisi M23 tunapigania haki zetu Congo! Kwa mfano tena nikupe uhalisia walifanya makosa sana kutupiga 2012, tulienda Mlima ya Sabinyo Uganda Kujipa na tumerudi tena! Wewe Mtanzania embu fikiri leo eti wamasai wapigwe waondoke Tanzania si haki kabisa kwani nao wana madai na haki zao za msingi. Ona sasa ndio maana ECRAF hata walipokuwa Bunagana (The Largest Military Facility in Nord Kivu) Force Kamanda Major General Jeff Nyagah alisema hakuja Congo kutupiga ila alisema yeye alikuja for peace talk. Akafitiniwa na Serekali ya Kinshasa na Kurudi kwao.

Sasa jua yafuatayo Congo itagawanyika na kutoa nchi nyingine ya kivu(North) na makao makuu yatakuwa Goma. Na pia South kivu nayo wataanzisha nchi yao na makao makuu yatakuwa Katanga. Reference is made to Southern Sudan 🇸🇩
(Jubanese)
A selfish point of view.
Nani asiyejua kuwa M23 ni mkono wa Kagame unaovuna madini ya dhahabu Congo.

Tatizo si M23 bali wale mayenu DRC.
 
Tanzania ndiyo ya hovyo sasa.toka tupate uhuru tunaongozwa na chama kimoja tena kwa kuiba kura na wtz wanaona safi tu.wacongo wanajitambua hawataki unafiki wa viongozi wezi ndiyo maana wanaamua kuwashughulikia kwa kupigana na hao wahuni .
Hamia huko Congo,
 
Back
Top Bottom