DR Congo, kubwa jinga linalokula mayenu tu bila aibu!

DR Congo, kubwa jinga linalokula mayenu tu bila aibu!

Utajiri wao wa madini, misitu, ardhi na rasilimali nyingi umegeuka laana.
DRC Congo kutokuwa serious na kitu chochote ndiko kumewafikisha hapo.
Nchi ina utajiri, watu(vijana ) wapo, wanashindwa nini kuunda jeshi la watu 100,000 hadi 200,000 na mapambano yaishie Kigali?
Jamaa hawa hawajui mass warfare ambayo ina guerilla tactics.
Wenzao huku Nchi za Kusini mwa Afrika tumefuzu sana kwa aina hizi za vita.
 
Nchi ya Congo na uongozi wake wanatutia aibu Afrika.

Kwa miaka nenda rudi wamejitawala lakini wana mindset ya kufanyiwa mambo yote na wau wengine.

Sasa hivi wanasumbuliwa na M23, lakini wao wanaona kulitatua tatizo ni kuwaite watu wa nchi nyingine wawatatulie tatizo hilo.

Huo ni ukubwa jinga!

Congo na utajiri wake, inashindwaje kutengeneza jeshi la askari 100,000 na kuwakabaili vilivyo M23?

Congo ujanja wao wote ni mayenu na kula bata tu, waache wafundishwe dunia na ka bwana mdogo Kagame.
Wanatia aibu sana.Yaani kwao kula mabata na kunengua ndio mwisho wa akili zao.
 
DRC Congo kutokuwa serious na kitu chochote ndiko kumewafikisha hapo.
Nchi ina utajiri, watu(vijana ) wapo, wanashindwa nini kuunda jeshi la watu 10,000 hadi 200,000 na mapambano yaishie Kigali?
Jamaa hawa hawajui mass warfare ambayo ina guerilla tactics.
Wenzao huku Nchi za Kusini mwa Afrika tumefuzu sana kwa aina hizi za vita.
Kufanya hayo inahitaji kujitoa hasa na utashi wa kisiasa, bado hawajawa tayari kwa hilo.
 
Kufanya hayo inahitaji kujitoa hasa na utashi wa kisiasa, bado hawajawa tayari kwa hilo.
Kila siku wanalilia majeshi ya UN, mara mjeshi ya East Africa. mara majeshi ya SADCC, inatia aibu kwa kweli, nchi kubwa kulia lia!
 
Nchi ya Congo na uongozi wake wanatutia aibu Afrika.

Kwa miaka nenda rudi wamejitawala lakini wana mindset ya kufanyiwa mambo yote na wau wengine.

Sasa hivi wanasumbuliwa na M23, lakini wao wanaona kulitatua tatizo ni kuwaite watu wa nchi nyingine wawatatulie tatizo hilo.

Huo ni ukubwa jinga!

Congo na utajiri wake, inashindwaje kutengeneza jeshi la askari 100,000 na kuwakabaili vilivyo M23?

Congo ujanja wao wote ni mayenu na kula bata tu, waache wafundishwe dunia na ka bwana mdogo Kagame.
Nchi yako ina tofauti gani na CONGO 🇨🇩? Au kwakua kule zinatumika siraha za moto ndo kinakufanya we uhisi kua bora ktk huu uso wa dunia
 
Back
Top Bottom