Tetesi: Dr. Dau kufikishwa mahakamani. Yasemekana kahojiwa TAKUKURU

Tetesi: Dr. Dau kufikishwa mahakamani. Yasemekana kahojiwa TAKUKURU

Status
Not open for further replies.
Sawa, Serikali ya CCM awamu ya Tano haina undugu na yeyote, ubadhirifu wa fedha za uma ni makosa wacha sheria ifuate mkondo wake, na haki ionekane kwa pande zote.
Sema Serikali ya Raisi Dr.John Pombe Joseph Magufuli ya awamu ya Tano haina masiahara na ubadhirifu wa fedha za umma.Sasa hivi ni awamu ya mtu sio chama,mpaka kusafishwe kutakasike ndio chama kiingie.Mungu akupe maisha marefu Raisi wetu,unatufariji sana.
 
Wawapokonye mali zao hapo itakuwa safi zaidi...lakin kumfunga mtu miaka mitatu kisha aendelee kutumbua hela alizoiba bora waache tu
Teh,teh....kumfunga miaka mitatu kisha anakata rufaa kupitia wakili wake yeye akiwa huko kifungoni anashinda kisha inakuwa miaka miwili halafu anaambiwa hu mwaka uliobakia akafanye usafi amana hospitali pia akawasaidie wahasibu wa pale jinsi ya kurekebisha bajeti aisee ONLY IN TANZANIA.
 
Sema Serikali ya Raisi Dr.John Pombe Joseph Magufuli ya awamu ya Tano haina masiahara na ubadhirifu wa fedha za umma.
Vyovyote vile ila the Good thing is, kila aliyefanya isivyosahihi ni vyema akakumbushwa alichokifanya kua kilikua sio sawa.
 
Mimi sio CCM, ila Ninamuombea Rais Magufuli kama MTANZANIA mzalendo.

Akiwezesha na makada wa chama chake, wale WAKUBWA kuchukuliwa hatua kwa kuifisadi hii nchi ... NITAZIDISHA maombi zaidi..!
Atawafikia tu. Hata mimi siyo ccm ila nina imani na msgufuli siyo ccm. Tusubiri june akishika kila kitu atafanya ksma rais wa china ataanzia ktk ccm alishasema hataki kuishi na wsnafiki
 
Tunataka kuona Ana hukumiwa miaka ya kutosha akibainika!na wasipewe mwanya wa kutoa dhamana maana mtu kama dau unaweza kutoa hata bio 10 ya dhamana

Kwanza ataifishwe kisha hukumu ifuate.
 
Nilisema humu kuwa Balozi sio issue...
Nadhani JPM ameanza kusomeka...
 
Sasa ni wazi masaa na dakika za Dr. Dau (Mkurugenzi mstaafu wa NSSF) kukaa uraiani zinahesabika, baada ya jana Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa kumhoji "kumfanyia interogation" kwa zaidi ya masaa 4. Hii inatokana na unadhirifu wa zaidi ya Billion 179 uliofanyika chini yake akiwa ni DG wa NSSF..

Dr. Dau anashitakiwa kwa makosa zaidi ya 5 ikiwemo ubadhirifu na matumizi mabaya ya madaraka, kinyume na sheria ya PCCA No. 11/2007...

NB: Asante Rais Magufuli kwa kuamua kupambana na mafisadi na majizi, waliotuibia kwa zaidi ya miaka 10.


Kuna ule mgodi wa makaa ya mawe kule kyela mkoani mbeya mbona serikali siisikii kuufuatilia na mwenendo wake au washaususa ? Hapo mwanzo niliwah kusikia kuna kiongozi kajimilikisha mali ya umma ilikuwaje?
 
Tunataka atugusie na wahusika walioiba ESCROW na kuchukua mapesa viroba pale STANBIC.

Na pia kuhojiwa na TAKUKURU siyo dawa tunapenda wafirisiwe ili kufidia.

wewe unadhani rais kaenda rwanda kutembea tu. Hapana kaenda kupata dozi ya kupambana na mungu watu na bado wakubwa zaidi watapukutika.wewe subiri.
 
Sawa, Serikali ya CCM awamu ya Tano haina undugu na yeyote, ubadhirifu wa fedha za uma ni makosa wacha sheria ifuate mkondo wake, na haki ionekane kwa pande zote.

mbona lowasa hapandishi mahakamani...lowasa fisadi sana yule jamaa...naitaka serikali impandishe mahakamani haraka sana....la sivyo sisi vijana wazalendo tutaandamana hadi ikulu
 
Tunataka tuone wahusika wa Richmond wakipandishwa mahakamani

RICHMOND

RICHMOND

RICHMOND

RICHMOND
 
Kazi ipo ,mwaka huu kuna watu watajinyonga tu. Maana mibuyu inadondoka . Lakini nina hofu na mzee wa kuzungusha mikono ,sijui watamfikia?

Ungesema Nkapa na KJ ningekuelewa zaidi
 
mbona lowasa hapandishi mahakamani...lowasa fisadi sana yule jamaa...naitaka serikali impandishe mahakamani haraka sana....la sivyo sisi vijana wazalendo tutaandamana hadi ikulu

Mkuu vuta subira.Atadakwa tu.Na yule mpeleka pesa dubai sijui wapi AANZE KUJIANDAA
 
Hizo ngoma zina kinga ya maisha ya kikatiba ya kutoshtakiwa wala kuhojiwa popote na yeyote ndani ya Jamhuri. La muhimu kwa sasa Rais apambane na mafisadi kwa nguvu zote regardless yeye alifanya nini enzi hizo.
Kinga inaweza kuondolewa na bunge tukufu kama kuna tuhuma zenye mashiko na kama kuna utashi wa kufanya hivyo
 
Sina tatizo na kila Mtuhumiwa kupelekwa mahakamani maana hiyo sehemu ya mtu kujietetea !
Lajini anayedhani magifuli ni Mtakatifu na anaweza kukata Tawi alilokalia anajidanganya !
Kuhusu Lowassa anayesubiri kupelekwa mahakamani kwa issue ya Richmond anajidanganya !

Labda atanguliw Yeye kikwete

Mawaziri waliotajwa bungeni na makatibu wakuu !

Hapa Mbwembwe !!

Mkuu, usiwanyime watu raha. Lowasa keshapewa nembo ya fisadi kuu na imemkaa. Magufuli anashinda kwenye maombi kwa ajili ya kazi ngumu anayofanya ya kutumbua majipu hatari.

Ni vyema basi ukae kando kama mtazamaji na kuwaachia wananchi raha ya kushuhudia majipu yakitumbuliwa hadi kumfikia "fisadi mkuu" na hapohapo kuthibitisha utakatifu wa Magufuli. Imeshasemwa kuwa hana mipaka kwenye utumbuaji majipu tena ni msema kweli tupu. Hivyo majibu ya maswali yote yanayoning'inia yatapatikana muda si mrefu.
 
mbona lowasa hapandishi mahakamani...lowasa fisadi sana yule jamaa...naitaka serikali impandishe mahakamani haraka sana....la sivyo sisi vijana wazalendo tutaandamana hadi ikulu


Mmeshindwa kuandamana alipojiuzuru 2008 leo utaweza.
 
Sasa ni wazi masaa na dakika za Dr. Dau (Mkurugenzi mstaafu wa NSSF) kukaa uraiani zinahesabika, baada ya jana Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa kumhoji "kumfanyia interogation" kwa zaidi ya masaa 4. Hii inatokana na unadhirifu wa zaidi ya Billion 179 uliofanyika chini yake akiwa ni DG wa NSSF..

Dr. Dau anashitakiwa kwa makosa zaidi ya 5 ikiwemo ubadhirifu na matumizi mabaya ya madaraka, kinyume na sheria ya PCCA No. 11/2007...

NB: Asante Rais Magufuli kwa kuamua kupambana na mafisadi na majizi, waliotuibia kwa zaidi ya miaka 10.
Tunamshukuru Mh Rais kwa lipi? Kama mitandao isinge weka wazi haya mambo system yote ilikuwa imesha mlinda. Na ungekuta jamaa sasa ni balozi akiendelea kuula
 
After all madili ya kutisha kama kununua ekari moja kwa zaidi ya milioni mia nane (800,000,00/=) chini ya uongozi wake, this is what zitto have to say?
Kuna mahari popote TZ unaweza kununua ekari moja kwa zaidi ya milioni mianane?
kama haoni kosa lolote basi tuseme TZ hakuna fisadi tena.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom