Camp Gilgal
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,453
- 4,592
Sure! Lakini huo ni mtihani mkubwa kwake.Atawafikia tu. Hata mimi siyo ccm ila nina imani na msgufuli siyo ccm. Tusubiri june akishika kila kitu atafanya ksma rais wa china ataanzia ktk ccm alishasema hataki kuishi na wsnafiki
Mimi sizungumzii wale makada anaowaita wanafiki kwa kuwa walimpinga au wamepishana naye kwenye kauli/sera na mambo kama hayo.
Mimi nataka wale makada walio IFISADI nchi hii kwa kuifanya yao washitakiwe! Hao tu!!!