Tetesi: Dr. Dau kufikishwa mahakamani. Yasemekana kahojiwa TAKUKURU

Tetesi: Dr. Dau kufikishwa mahakamani. Yasemekana kahojiwa TAKUKURU

Status
Not open for further replies.
Wawapokonye mali zao hapo itakuwa safi zaidi...lakin kumfunga mtu miaka mitatu kisha aendelee kutumbua hela alizoiba bora waache tu
kwa hapa bongo hilo halipo aise
 
Kama maghufuli hatajitumbuwa kwa nyumba za serikali MV Dar es salaam na meli ya samaki nitamuona ni mnafiki sana msumeno ukate kote sio kuchagua na kama Mkapa na KIkwete sitawaona basi ajenge nchi kwa kutuletea miradi sitahiki sio sifa
Bongo lala wewe hivi una akili kweli????
 
.....ANGEIGUSA "ESCROW" NINGEMKUBALI ZAIDI.
ESCROW NI YA JUZIJUZI TENA BADO MBICHI KABISA.
 
Anku
Sema Serikali ya Raisi Dr.John Pombe Joseph Magufuli ya awamu ya Tano haina masiahara na ubadhirifu wa fedha za umma.Sasa hivi ni awamu ya mtu sio chama,mpaka kusafishwe kutakasike ndio chama kiingie.Mungu akupe maisha marefu Raisi wetu,unatufariji sana.[/QUO Anatufariji kwa lipi hasa wakati huku mtaani mambo yanaZidi kuwa magumu
 
Nyumba ninuwamuzi wa balaza la MAwaziri -Sumaye
MV DSM - procurement zote hufanywa na taasisi husika, Sumatra kawaulize.
Meli ya Samaki - weakness na leakage za sheria zenu ndo zilisababisha hasara kwa sababu meli ile iliingia sehemu ya Tanzania. Kutokana na lile tulifunguka na kuanza jitihada za kujihami zaidi.
Lakini nani alikuwa mhusika mkuu katika wizara husika??

KwaniDAU yeye ndiye alikula hzo pesa za NSSF au ni watendaji wake ambao yeye alishindwa kuwasimamia na kufuatilia vizuri.
 
Ha ha ha ha

Mnayoyataman hayawezi kuwaaa...

Roho zinawasokota sana lkn mwisho wa siku mtabakia na maumivu zaid...

Hebu tupe chanzo cha taarifa yako tuipitie..

Report ya Takukuru inaonesha kuwa Nssf chin ya Dr Dau ndiyo least corrupt institution in Tz..wao wenyewe wanalijua hilo..
Boss wa Takukuru Hosea alishafukuzwa kwa tuhuma hizihizi za rushwa..
 
Kama maghufuli hatajitumbuwa kwa nyumba za serikali MV Dar es salaam na meli ya samaki nitamuona ni mnafiki sana msumeno ukate kote sio kuchagua na kama Mkapa na KIkwete sitawaona basi ajenge nchi kwa kutuletea miradi sitahiki sio sifa
Meli ya 1979 kwa 7.9bn halafu unakaa kimya .....lazma nae atumbuliwe tu mda ukifika
 
.....ANGEIGUSA "ESCROW" NINGEMKUBALI ZAIDI.
ESCROW NI YA JUZIJUZI TENA BADO MBICHI KABISA.
Escrow hawezi kuigusa.. Waliokula ni ndugu zake wa kanda ya ziwa na kanisa lake katoliki... Hata hivyo amshughulikie huyu dau kwanza
 
Ha ha ha ha

Mnayoyataman hayawezi kuwaaa...

Roho zinawasokota sana lkn mwisho wa siku mtabakia na maumivu zaid...

Hebu tupe chanzo cha taarifa yako tuipitie..

Report ya Takukuru inaonesha kuwa Nssf chin ya Dr Dau ndiyo least corrupt institution in Tz..wao wenyewe wanalijua hilo..
Akili zako huwa unatumia kusoma misafu msikitini nini???
 
Sasa ni wazi masaa na dakika za Dr. Dau (Mkurugenzi mstaafu wa NSSF) kukaa uraiani zinahesabika, baada ya jana Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa kumhoji "kumfanyia interogation" kwa zaidi ya masaa 4. Hii inatokana na unadhirifu wa zaidi ya Billion 179 uliofanyika chini yake akiwa ni DG wa NSSF..

Dr. Dau anashitakiwa kwa makosa zaidi ya 5 ikiwemo ubadhirifu na matumizi mabaya ya madaraka, kinyume na sheria ya PCCA No. 11/2007...

NB: Asante Rais Magufuli kwa kuamua kupambana na mafisadi na majizi, waliotuibia kwa zaidi ya miaka 10.
Tunataka serikali ya sampuli hii, no one is above the law
 
Escrow hawezi kuigusa.. Waliokula ni ndugu zake wa kanda ya ziwa na kanisa lake katoliki... Hata hivyo amshughulikie huyu dau kwanza
Msiwe na was I wasi huko kote atatumbua majipu si alikuwemo bungeni unajuwa kila kitu anawavutia pumzi tu
 
Kama maghufuli hatajitumbuwa kwa nyumba za serikali MV Dar es salaam na meli ya samaki nitamuona ni mnafiki sana msumeno ukate kote sio kuchagua na kama Mkapa na KIkwete sitawaona basi ajenge nchi kwa kutuletea miradi sitahiki sio sifa
Kwan ushatumbuliwa? Mbona povu linaanza kukutoka mapema
 
Escrow hawezi kuigusa.. Waliokula ni ndugu zake wa kanda ya ziwa na kanisa lake katoliki... Hata hivyo amshughulikie huyu dau kwanza
mkuu hii ya dau imekaa vibaya mana ccm ndio huchukua hela hizo nakumbuka kipindi cha 2010 mwz ......marehemu mabina aliuza eka 50 ya shamba kwa zaidi ya 700m kwa nssf kilometa 30 nje ya mji kwa maagizo toka ccm.....yeye alibaki na 400m zingine akaambiwa awape ccm mkoa kwa ajili ya uchaguzi.
Dau ataondoka na wengi kwenye hiyo kashfa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom