KIKAZI
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 1,370
- 1,511
kwa hapa bongo hilo halipo aiseWawapokonye mali zao hapo itakuwa safi zaidi...lakin kumfunga mtu miaka mitatu kisha aendelee kutumbua hela alizoiba bora waache tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa hapa bongo hilo halipo aiseWawapokonye mali zao hapo itakuwa safi zaidi...lakin kumfunga mtu miaka mitatu kisha aendelee kutumbua hela alizoiba bora waache tu
Bongo lala wewe hivi una akili kweli????Kama maghufuli hatajitumbuwa kwa nyumba za serikali MV Dar es salaam na meli ya samaki nitamuona ni mnafiki sana msumeno ukate kote sio kuchagua na kama Mkapa na KIkwete sitawaona basi ajenge nchi kwa kutuletea miradi sitahiki sio sifa
Huyo bibi uzi kama huu huwezi kumwona yaani huyu dau alistahili kipigwa mawe mpaka kufa kwa ufisadi uliotukukaHahhahhahha
The big show
Ritz
Faiza foxy
Zamiluni zamiluni
Mpo wapi kumenoga huku
Sema Serikali ya Raisi Dr.John Pombe Joseph Magufuli ya awamu ya Tano haina masiahara na ubadhirifu wa fedha za umma.Sasa hivi ni awamu ya mtu sio chama,mpaka kusafishwe kutakasike ndio chama kiingie.Mungu akupe maisha marefu Raisi wetu,unatufariji sana.[/QUO Anatufariji kwa lipi hasa wakati huku mtaani mambo yanaZidi kuwa magumu
Lakini nani alikuwa mhusika mkuu katika wizara husika??Nyumba ninuwamuzi wa balaza la MAwaziri -Sumaye
MV DSM - procurement zote hufanywa na taasisi husika, Sumatra kawaulize.
Meli ya Samaki - weakness na leakage za sheria zenu ndo zilisababisha hasara kwa sababu meli ile iliingia sehemu ya Tanzania. Kutokana na lile tulifunguka na kuanza jitihada za kujihami zaidi.
Boss wa Takukuru Hosea alishafukuzwa kwa tuhuma hizihizi za rushwa..Ha ha ha ha
Mnayoyataman hayawezi kuwaaa...
Roho zinawasokota sana lkn mwisho wa siku mtabakia na maumivu zaid...
Hebu tupe chanzo cha taarifa yako tuipitie..
Report ya Takukuru inaonesha kuwa Nssf chin ya Dr Dau ndiyo least corrupt institution in Tz..wao wenyewe wanalijua hilo..
Tatizo la huyu jamaa ameweka nyuzi kadhaa humu za kupotosha, nasema za kupotosha sababu anachosema hakitokeagi!Source Please!
Dah ..! kwa hiyo balozi ataenda kubeba mtondoo..magu ana akili sana ndio maana hakutaja nchi,atakuwa balozi wa segerea kama sio ukonga gerezani
Meli ya 1979 kwa 7.9bn halafu unakaa kimya .....lazma nae atumbuliwe tu mda ukifikaKama maghufuli hatajitumbuwa kwa nyumba za serikali MV Dar es salaam na meli ya samaki nitamuona ni mnafiki sana msumeno ukate kote sio kuchagua na kama Mkapa na KIkwete sitawaona basi ajenge nchi kwa kutuletea miradi sitahiki sio sifa
Escrow hawezi kuigusa.. Waliokula ni ndugu zake wa kanda ya ziwa na kanisa lake katoliki... Hata hivyo amshughulikie huyu dau kwanza.....ANGEIGUSA "ESCROW" NINGEMKUBALI ZAIDI.
ESCROW NI YA JUZIJUZI TENA BADO MBICHI KABISA.
Akili zako huwa unatumia kusoma misafu msikitini nini???Ha ha ha ha
Mnayoyataman hayawezi kuwaaa...
Roho zinawasokota sana lkn mwisho wa siku mtabakia na maumivu zaid...
Hebu tupe chanzo cha taarifa yako tuipitie..
Report ya Takukuru inaonesha kuwa Nssf chin ya Dr Dau ndiyo least corrupt institution in Tz..wao wenyewe wanalijua hilo..
Tunataka serikali ya sampuli hii, no one is above the lawSasa ni wazi masaa na dakika za Dr. Dau (Mkurugenzi mstaafu wa NSSF) kukaa uraiani zinahesabika, baada ya jana Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa kumhoji "kumfanyia interogation" kwa zaidi ya masaa 4. Hii inatokana na unadhirifu wa zaidi ya Billion 179 uliofanyika chini yake akiwa ni DG wa NSSF..
Dr. Dau anashitakiwa kwa makosa zaidi ya 5 ikiwemo ubadhirifu na matumizi mabaya ya madaraka, kinyume na sheria ya PCCA No. 11/2007...
NB: Asante Rais Magufuli kwa kuamua kupambana na mafisadi na majizi, waliotuibia kwa zaidi ya miaka 10.
Msiwe na was I wasi huko kote atatumbua majipu si alikuwemo bungeni unajuwa kila kitu anawavutia pumzi tuEscrow hawezi kuigusa.. Waliokula ni ndugu zake wa kanda ya ziwa na kanisa lake katoliki... Hata hivyo amshughulikie huyu dau kwanza
Aliwekwa pendingJamani huyu si tuliambiwa atakuwa balozi, kumbe yamekuwa hayo tena, mweeeeeeee
Kwan ushatumbuliwa? Mbona povu linaanza kukutoka mapemaKama maghufuli hatajitumbuwa kwa nyumba za serikali MV Dar es salaam na meli ya samaki nitamuona ni mnafiki sana msumeno ukate kote sio kuchagua na kama Mkapa na KIkwete sitawaona basi ajenge nchi kwa kutuletea miradi sitahiki sio sifa
mkuu hii ya dau imekaa vibaya mana ccm ndio huchukua hela hizo nakumbuka kipindi cha 2010 mwz ......marehemu mabina aliuza eka 50 ya shamba kwa zaidi ya 700m kwa nssf kilometa 30 nje ya mji kwa maagizo toka ccm.....yeye alibaki na 400m zingine akaambiwa awape ccm mkoa kwa ajili ya uchaguzi.Escrow hawezi kuigusa.. Waliokula ni ndugu zake wa kanda ya ziwa na kanisa lake katoliki... Hata hivyo amshughulikie huyu dau kwanza