Tetesi: Dr. Dau kufikishwa mahakamani. Yasemekana kahojiwa TAKUKURU

Tetesi: Dr. Dau kufikishwa mahakamani. Yasemekana kahojiwa TAKUKURU

Status
Not open for further replies.
mbona lowasa hapandishi mahakamani...lowasa fisadi sana yule jamaa...naitaka serikali impandishe mahakamani haraka sana....la sivyo sisi vijana wazalendo tutaandamana hadi ikulu

Magufuli yupo Rwanda kukutana na Kamanda Mkuu wa huko ambaye alikwishasema, 'there is a line, if he crossess ------'

Unapokuwa na rafiki yako lakini rafiki yako ghafla anaamua kuwa rafiki mkubwa wa adui yako, tafsiri yake ni nini? Au anataka kukupa ujumbe gani? Naiona Tanzania na Rwanda, chini ya Kagame na Magufuli watatengeneza one block of leadership and purpose within EAC. Na kwa mbali itaunganishwa na Uganda. Kenya chini ya Uhuru huenda ikawa pembeni.
 
After all madili ya kutisha kama kununua ekari moja kwa zaidi ya milioni mia nane (800,000,00/=) chini ya uongozi wake, this is what zitto have to say?
Kuna mahari popote TZ unaweza kununua ekari moja kwa zaidi ya milioni mianane?
kama haoni kosa lolote basi tuseme TZ hakuna fisadi tena.

Zito naye ni kati ya watu wanafiki na wenye kuangalia maslahi binafsi.
 
Imani yangu inanituma kwamba kinga ya Kikwete kutoshtakiwa itaondolewa na bunge ndani ya miaka miwili ya kwanza ya JPM.

Na si kumwondolea kinga Kikwete tu isipokuwa mheshimiwa Rais ataifuta kabisa sheria hiyo, sisi tuendelee kumwombea tu kama anavyo tusisitiza.

Na kama Kikwete ataondolewa kinga hiyo sioni kama kuna mwanya atakaocholopokea asiingie Segerea.
hili jambo siyo rahisi kutokea kwa sasa ,unahitaji kwanza upate uungwaji mkono wa idadi kubwa ya wabunge, jambo ambalo kwa sasa sio rahisi,lakini pia kunahitajika utashi wa kufanya hivyo kutoka kwa wakuu wa taasisi husika
 
mkuu hii ya dau imekaa vibaya mana ccm ndio huchukua hela hizo nakumbuka kipindi cha 2010 mwz ......marehemu mabina aliuza eka 50 ya shamba kwa zaidi ya 700m kwa nssf kilometa 30 nje ya mji kwa maagizo toka ccm.....yeye alibaki na 400m zingine akaambiwa awape ccm mkoa kwa ajili ya uchaguzi.
Dau ataondoka na wengi kwenye hiyo kashfa
Hicho ndicho tunachotaka... Mambo ya CCM kukomba pesa ya serikali yakomee. Kwani upinzani wanapata wapi pesa za kanpeni?? Wao si wanasema wana wanachama Million 8 na zaidi?? Na ni bora safari hii Magufuli kakata kupeleka pesa Lumumba mpaka JK anawaombea vijana wa mtandao kwenye majukwaa
 
eheee, Baghosha, mbona watumbuaga majipu hiv? jamani huyu si ni swala TANO jaman sasa anaswali nini, ebu Mungu Mlipue kumbe kweli si kira mpiga goti na si kira mbenguaji makalio juu, ataiona mbengu.
 
Kama maghufuli hatajitumbuwa kwa nyumba za serikali MV Dar es salaam na meli ya samaki nitamuona ni mnafiki sana msumeno ukate kote sio kuchagua na kama Mkapa na KIkwete sitawaona basi ajenge nchi kwa kutuletea miradi sitahiki sio sifa


Kosa dau kushtakiwa ndo unafiki wa Jpm mbona kiongozi waandamiZi kuanzia enzi za maalumu kina mramba walifungwa,kwani yeye jk alokuwa msafi sana wakati ndo source ya EPA,mtake msitake dau atafungwa tu
 
Sasa ni wazi masaa na dakika za Dr. Dau (Mkurugenzi mstaafu wa NSSF) kukaa uraiani zinahesabika, baada ya jana Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa kumhoji "kumfanyia interogation" kwa zaidi ya masaa 4. Hii inatokana na ubadhirifu wa zaidi ya Billion 179 uliofanyika chini yake akiwa ni DG wa NSSF..

Dr. Dau anashitakiwa kwa makosa zaidi ya 5 ikiwemo ubadhirifu na matumizi mabaya ya madaraka, kinyume na sheria ya PCCA No. 11/2007...

NB: Asante Rais Magufuli kwa kuamua kupambana na mafisadi na majizi, waliotuibia kwa zaidi ya miaka 10.
Daaa kama ni kweli basi ni hatari , sasa ule ubalozi ulikuwa wa nini?Daah
 
Hakuna aliye na ubavu kuhusu sakata la Radda..Escrow...Richmond...nk..nk..nk. sembuse sakata la Dr.Dau.Tuandike tu humu jf na yaishie humuhumu.
Anaweza kumgusa Dr Dau watamwambie sasa mzee unajua sare,mafuta na mbwembwe zote kipindi cha uchaguzi vilitoka wapi,ataambiwa huyu ni mwenzetu wa Lumumba kadi yake ya zamani kuliko yako Mheshimiwa, tutakususia chama 2020 usimame mwenyewe,kama tulivokuweka 2015 tutafanya figisufigu.Bila shaka Dau alikuwepo tu kama kivuli
 
Kile kigorofa chake cha pale kinondoni karibu na kwa mwambalasu ndio kimefika mwisho.
 
Kazi ipo ,mwaka huu kuna watu watajinyonga tu. Maana mibuyu inadondoka . Lakini nina hofu na mzee wa kuzungusha mikono ,sijui watamfikia?
Ngoja nikusaidie wewe kumama! Sema hivi baba riz haponi kwenye huu mtiti!
 
Kuna ule mgodi wa makaa ya mawe kule kyela mkoani mbeya mbona serikali siisikii kuufuatilia na mwenendo wake au washaususa ? Hapo mwanzo niliwah kusikia kuna kiongozi kajimilikisha mali ya umma ilikuwaje?
mkuu tunajadili hili wewe unatuletea kingine, usichanganye madawa.
 
Hicho ndicho tunachotaka... Mambo ya CCM kukomba pesa ya serikali yakomee. Kwani upinzani wanapata wapi pesa za kanpeni?? Wao si wanasema wana wanachama Million 8 na zaidi?? Na ni bora safari hii Magufuli kakata kupeleka pesa Lumumba mpaka JK anawaombea vijana wa mtandao kwenye majukwaa
Usemalo ni sawa mana hata 2015 walichukua pesa nyingi huku kwenye mifuko ya jamii....ngoja tuone huu mtinange dau hatakubali kwenda n maji atawataja wote
 
Kweli cheo ni dhamana, naomba nipandishwe cheo zitapungua sana serikalini na ofisi za umma.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom