mizambwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2008
- 4,422
- 1,791
wewe unadhani rais kaenda rwanda kutembea tu. Hapana kaenda kupata dozi ya kupambana na mungu watu na bado wakubwa zaidi watapukutika.wewe subiri.
YANGU MACHO NASUBIRIA MATOKEO........
HUKO RWANDA AKIRUDI TUNAOMBA ATUMBUE NA JIPU LA MV DSM, KWANI IMEPOTEA TUNAPATA SHIDA KWENDA BAGAMOYO KUTOKA FERRY.
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!