Tetesi: Dr Dau kurudishwa nyumbani kimya kimya!!

Tetesi: Dr Dau kurudishwa nyumbani kimya kimya!!

Dr Dau lazima arudishwe nyumbani haraka sana na uteuzi wake unatakiwa kutenguliwa kupisha uchunguzi kuhusu tuhuma za hizo bilioni zimeliwa.
 
Kuna tetesi kuwa Dau atarudishwa nyumbani muda wowote kuhojiwa na maafisa wa Takukuru .

Pia atatakiwa kuwataja washirika wake waliofanikisha ukwapuaji wa mamilioni pale NSSF

Inasemekana mkuu anataka kujua ukweli kwanza kabla ya kuchukua hatua za kumtumbua.

Bumbuli Development Iniatiative hawachomoki.... Mr. February nasikia anahaha vibaya sana
 
Kuna tetesi kuwa Dau atarudishwa nyumbani muda wowote kuhojiwa na maafisa wa Takukuru .

Pia atatakiwa kuwataja washirika wake waliofanikisha ukwapuaji wa mamilioni pale NSSF

Inasemekana mkuu anataka kujua ukweli kwanza kabla ya kuchukua hatua za kumtumbua.
Mkuu dau na maofisa wote waliosimamishwa Nssf walishahojiwa kinachosubiriwa ni ripoti baada ya kufanya ukaguzi/uchunguzi mpya,ishu hapa syo dege tu Bali kuna tuhuma nyingi vijiweni viwanja hewa,can u imagine uongozi mpya ulienda kutembelea shamba LA kuwekeza kulima miwa walipowasiliana na wenyeji kutaka waongezewe eneo wakaambiwa lazima wawasiliane kwanza na mwenye eneo kuuliza mwenye eneo nani wakaambiwa ni Nssf,na mwenyeji alikuwa hajui anaongea nao ni viongozi toka Nssf,na hilo shamba halimo ktk register ya assets za shirika.ukiambia madudu yote ya Nssf utafariki mkuu
 
haa haa kwa tuhuma ya shirika kutumika kuanzisha chama cha upinzani ni hatari. Dau ni vizuri akahojiwa....
 
Bumbuli saccos ni kina nani? hii nchi kila mfanya kazi wa umma mwenye kacheo kidogo ni mwizi sijui ni kwa nini? kikwete aliizinisha wizi nchini kama kazi ya kujipatia kipato kwa wafanyakazi wa umma. Na nchi hii Tanzania wasomi ndo wanaliangamiza Taifa, hawako pale kusaidia Taifa wako pale kuiba tu,wasomi wanatakiwa wajue kuwa ukitaka pesa za haraka na nyingi ni kufanya biashara sio kuiwaibia watanzania, binafsi naona katika nchi za Afrika mashariki Tanzania tunaongoza kwa ufisadi kwa sasa, maana kila sehemu ni wizi wizi tu,sio wanasiasa, sio watumishi wa umma , imefikia wakati serikali itoe adhabu kali kwa hawa mafisadi, ikibidi tuanze kuwanyoga ,tutoe adhabu kali ili liwe fundisho kwa kizazi hiki na kichajo, lasivyo watu hawataongopa rushwa, watachukulia ni swala la kawaida ,watu wanaiba wanatumia hizo pesa kwenda mahakamani kuendesha kesi na wanashinda. Ifike mahali hata maafisa wa Takururu/DPP waanze kuchunguzwa na kupewa adhabu kali wanaposhindwa kesi hizi za ufisadi. Huu mchezo wa kuwasimamisha au kuwafukuza kazi bila kufunga au kunyonga watu hatuwezi kufika, hakuna mtu atakae ogopa rushwa kwa mchezo huu tunaocheza kwa sasa.
 
nashangaa sana huyu mtukufu wetu, Kutumbua DED wa mkinga Ndugu Mkumbo Ilikuwa Rahisi sana. Sielewi kwanini hachukui hatua kwa huu wizi wa pesa zetu wanachama wa nssf. hii inaprove sababu ya kwanini zzk alikuwa anaunga mkono toka zamani kuzuia fao la kujitoa maana alishaona kwa wizi huu pesa za kuwapa wanachama zisingekuwepo.
Natamani kusikia mkuu amemtumbua, maana asiwe biased kwa kutumbua mtu kwa trafic case na kumwacha aliyetuletea wizi mkubwa kiasi hiki kwenye mfuko wetu wa hifadhi za uzeen.
 
nashangaa sana huyu mtukufu wetu, Kutumbua DED wa mkinga Ndugu Mkumbo Ilikuwa Rahisi sana. Sielewi kwanini hachukui hatua kwa huu wizi wa pesa zetu wanachama wa nssf. hii inaprove sababu ya kwanini zzk alikuwa anaunga mkono toka zamani kuzuia fao la kujitoa maana alishaona kwa wizi huu pesa za kuwapa wanachama zisingekuwepo.
Natamani kusikia mkuu amemtumbua, maana asiwe biased kwa kutumbua mtu kwa trafic case na kumwacha aliyetuletea wizi mkubwa kiasi hiki kwenye mfuko wetu wa hifadhi za uzeen.
mkuu dau angekuwa amehama chama kama sumaye leo angekuwa keko...
 
Bumbuli saccos ni kina nani? hii nchi kila mfanya kazi wa umma mwenye kacheo kidogo ni mwizi sijui ni kwa nini? kikwete aliizinisha wizi nchini kama kazi ya kujipatia kipato kwa wafanyakazi wa umma. Na nchi hii Tanzania wasomi ndo wanaliangamiza Taifa, hawako pale kusaidia Taifa wako pale kuiba tu,wasomi wanatakiwa wajue kuwa ukitaka pesa za haraka na nyingi ni kufanya biashara sio kuiwaibia watanzania, binafsi naona katika nchi za Afrika mashariki Tanzania tunaongoza kwa ufisadi kwa sasa, maana kila sehemu ni wizi wizi tu,sio wanasiasa, sio watumishi wa umma , imefikia wakati serikali itoe adhabu kali kwa hawa mafisadi, ikibidi tuanze kuwanyoga ,tutoe adhabu kali ili liwe fundisho kwa kizazi hiki na kichajo, lasivyo watu hawataongopa rushwa, watachukulia ni swala la kawaida ,watu wanaiba wanatumia hizo pesa kwenda mahakamani kuendesha kesi na wanashinda. Ifike mahali hata maafisa wa Takururu/DPP waanze kuchunguzwa na kupewa adhabu kali wanaposhindwa kesi hizi za ufisadi. Huu mchezo wa kuwasimamisha au kuwafukuza kazi bila kufunga au kunyonga watu hatuwezi kufika, hakuna mtu atakae ogopa rushwa kwa mchezo huu tunaocheza kwa sasa.

Serikali hipi hiyo?
 
Huyu Dr Dau toka aanze kumfadhili bwana yule mimi namuona msaliti tu bora atumbuliwe
 
Mkuu dau na maofisa wote waliosimamishwa Nssf walishahojiwa kinachosubiriwa ni ripoti baada ya kufanya ukaguzi/uchunguzi mpya,ishu hapa syo dege tu Bali kuna tuhuma nyingi vijiweni viwanja hewa,can u imagine uongozi mpya ulienda kutembelea shamba LA kuwekeza kulima miwa walipowasiliana na wenyeji kutaka waongezewe eneo wakaambiwa lazima wawasiliane kwanza na mwenye eneo kuuliza mwenye eneo nani wakaambiwa ni Nssf,na mwenyeji alikuwa hajui anaongea nao ni viongozi toka Nssf,na hilo shamba halimo ktk register ya assets za shirika.ukiambia madudu yote ya Nssf utafariki mkuu
FaizaFoxy
 
haa haa ndo jinsi hawa ndugu walivyo. juzi wameahaidiwa kujengewa msikiti mkubwa lakini hawaridhiki tu.
Hii misaada ya kujengewa misikiti itasababisha na wa upande wa pili nao watafute wa kuwajengea makanisa. Najaribu tu kufikiri...Msikiti wa Ghadafi Dodoma. Sasa huu sijui utakuwa msikiti wa Morocco (Dar)?
 
Back
Top Bottom